Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Does your town have KFC ama tuwaache kwa amani
168470688_3950659701646850_87948211077173876_n.jpg
168524956_3950659708313516_7635869966642132410_n.jpg
168695191_3950659704980183_4657478668466753484_n.jpg
167634318_3943416539037833_3495360657822701040_n.jpg
 
Daladala za kutokea Buza, gongo la Mboto, kigamboni n.k hazina mahali pa kuegesha zimekuwa zikibanana pale machinga complex wkt sehemu kubwa ipo pale Karume. Wajenge bus stand pale.
Mkuu kwa bus stop bado maana brt phase 2 na 3 zinakutana hapo so kwa daladala kinachofuata ni natural death!!!zitaondoka!Tufikirie kitu gani cha public kinachoweza kuwekwa pale at the same time serikali iweze kukusanya kodi na watu kufaidika!Walioishi kwenye majiji mengine watusaidie kwa uzoefu wao.Kwa masoko yako karibu karibu sana!Machinga,kariakoo na hilo la jangwani tena mbele kuna kisutu!!!.What if wabongo tukiachana na nguo za mitumba!!!Karume itakuwa vp?!☺️
 
Pale Karume pasijengwe soko bali ijengwe bus stop, plan gani hizi? Unajengaje soko karume wkt kuna traffic lights? Lkn pia pale Karume c kuna Machinga complex? Mbn wanataka kutengeneza msongamano usiokuwa wa lazima?
Pale panafaa papigwe intechange kwanza pana msongamano kweli kama soko wajenge nyuma ya sheli ya total au panauwazi wakutosha tuu
 
Back
Top Bottom