Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hujui unachoongea wewe, raila anajinadi kwa sera za magufuli ili kunyaland mumchague, Tanzania is ahead to kenya on this. hahahahhah. Njoo Tanzania uone wakenya walivyojazana hospitali za mipakani na Dar es salaam kusaka huduma bora
Wewe ndio taga la magufuli. Njoo Kenya uone hospitali ambayo rais magufuli alikufia
 
Tuonyeshe marshalling yard ya SGR kwa port ya danganyika View attachment 2081923

huwa nakupotezeaga.. umekaa kama chokoraa flan hiv mwenye access na JF ila ngoja nikupe hii news

this is the biggest marshaling yard in Africa. Copy That!
IMG_4287.jpg

IMG_4288.jpg

IMG_4289.jpg

IMG_4290.jpg

IMG_4291.jpg

IMG_4292.jpg

IMG_4293.jpg

IMG_4294.jpg

IMG_4295.jpg
 
Raila au Ruto kua rais wa Kenya hainishtui ata kidogo. Tuna katiba murwa. Ukweli ni kwamba magufuli alikufia Nairobi Hospital. Kenya ndo kuna hospitali nzuri.
Katiba inayoruhusu watu kuchukua mali yote ya Kunyaland na kuwaacha 99% ya Wakenya wote kubaki maskini
 

Yaani hapa huwezi tambua taka taka ni ipi na ipi sio takataka maana vyote ni Uchafu. Hili lory linalobeba abiria kwa sura ya kulazimisha ya Bus hamna hata maji ya kumwagia litakate kidogo litofautiane na takataka ? Maji hamna? Mbona pabichi muda wote hapo chini
Johannesburg wanafeli wapi hawa wakuu.

IMG_3972.jpg
 
Yaani hapa huwezi tambua taka taka ni ipi na ipi sio takataka maana vyote ni Uchafu. Hili lory linalobena abiria kwa sura ya kulazimisha ya Bus halna hata maji ya kumwagia litakate kidogo litifautiane na takataka ? Maji hamna? Mbona pabichi muda wote hapo chini
Johannesburg wanafeli wapi hawa wakuu.

View attachment 2081976
Unakuwaga na vimaneno flani nikiuvaa ukunya huwa vinachomaa
 
Yaani hapa huwezi tambua taka taka ni ipi na ipi sio takataka maana vyote ni Uchafu. Hili lory linalobena abiria kwa sura ya kulazimisha ya Bus halna hata maji ya kumwagia litakate kidogo litifautiane na takataka ? Maji hamna? Mbona pabichi muda wote hapo chini
Johannesburg wanafeli wapi hawa wakuu.

View attachment 2081976
hayo maji yakuosha magari wanatoa wapi ikiwa ikulu yenyewe haina maji kwa matumizi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom