Siwasemi wanaigeria ila lagos hapavutii hata...Kiukweli kabisa labda izo projects zikamilike ndio panaweza eleweka...Kuna Wabongo fulani huku ambao wamezoea tabia ya kusema kwamba Gdp ni ya kwenye makaratasi. Maanake ni kwamba IMF na World Bank ni Wajinga wakisema Nigeria ina uchumi mkubwa kushinda South Africa. Kwamba wengi wenu hamuamini kwamba Nigeria ina uchumi mkubwa kushinda South Africa. Kwanza uchumi wa Lagos city pekee inatoshana na uchumi wa Kenya. Hebu tazama projects 20 za Nigeria ambazo zitakamilika mwaka huu. Hawa wanaija msiwadharau sana, huwa mnasema kwamba uchumi wao ni wa mafuta pekee lakini sivyo.
Frustration,kwani SS ndio tuliwaambia mzaliwe kwenye ya hovyo?
eti middle income country 😂 😂 😂 😂 😂 hivyo ndio propaganda machine ya CCM ilikua inatangaza, hawawezi kusema Lower Middle income 😂 😂 😂 😂 😂 pia Zimbabwe ni LMIC and they look like it.., wafikie kwanza..,Harare has far better looks than Dar and Bulawayo is far better than Mwanza.., fikeni hizi levels, BRT isi wadanganye..,How can a middle income country be poorest country, do you understand the meaning of "Middle Income country?", Are you still in slums?
Yaani mwenye njaa anamuona aliyeshiba hana akili? Subiri msosi wa msaada toka China acheni longolongoWatanzania wakati mwingine mna akili ndogo sana...hivi mtasaidika aje nyinyi???? kipato chenu kama nchi ni kidogo sana na hakiwezi kukidhi mahitaji ya nchi yenu ...kumbukeni...mna majeshi, madakitari, mawizara na walimu wa SHULE za umma nakadhalika...your GDP is only 69 billion dolars. ..hii haiwezi kuwasaidia hata kulipa mishahara zenu vizuri....nchi yetu ya kenya GDP yetu ni 109 billion dollARS NA BADO TUNA KOPA...NA HAPA mkumbuke idadi yetu ya watu ni ndogo kuliko yenu na watu karibia milioni kumi hivi..halafu pia nchi yenu ni kubwa, area wise....Rais suluhu anajaribu kuwasaidia lakini hamuoni....hivi mtaerevuka lini nyinyi...na ni masomo gani hii mnafunzwa shuleni? upumbavu umewajaa sana. jameni jaribuni for once and try to listen to this great leader you have...kwa kweli anasuluhu. ikiwa nchi kama marekani na japan wana madeni na GDP zao ni kubwa mno...itakuwa aje nyinyi mnajaribu kupinga issue ya deni? stupid
Kumbe mnaendaga tibiwa hawwasa hospital huko Addis Ababa halafu. Sasa GDP ila faida gani maana basic needs zinapiga chenga no food , shelter mnaonesha viapartment vichache , hospitali ndio hivyo maji na umeme utata. Kunyaland kweli kugumu
i can say, zimbabwe, just like kenya or ghana or even zambia, etc. were built on very strong colonial foundation, that can clearly be read on their architecture, infrastructure, urban planning, education systems, english as official language, and the whole systems of country in general..Harare.., Lower middle income indeed.., just a matter of time they will rise again.,
View attachment 2073478
View attachment 2073465
View attachment 2073466
View attachment 2073467
View attachment 2073468
View attachment 2073469
View attachment 2073470
View attachment 2073471
View attachment 2073472
View attachment 2073473
View attachment 2073474
View attachment 2073475
View attachment 2073476
View attachment 2073477
Nahisi haujanielewa vizuri bro..Nilichosema..sio kwamba madaraja sio muhimu au hayahitajiki..ni kwamba ..yenyewe ndo yanatufanya tuonekane hatu progress cause yana consume alot of money ..at once ambayo kama ingekuwa hatuna mito mingi ..progress yetu ingekuwa ya haraka..ushaimagine tungekuwa hatujengi wami bridge na kigogo busisi hyo hela ingewekwa SGR si ingekuwa inakarbia kuisha.....Madaraja ni muhimu sana mzee wangu yawe ni costful or not nilazima tujenge, kwasababu Madaraja huunganisha sehemu moja kwenda semehemu nyingine na hataimae kufungua shughuli za kiuchumi, kwa mfano daraja la Wami, daraja lililokuepo zamani lilikua jembamba lisoloruhus kupishana magari mawili wakati mmoja na lilikua likisababisha ajali zilizopelekea vifo na upotevu wa mali za watu, hata hivyo ni daraja linaloiunganisha mikoa ya kaskazini na Dar es Salaam, hivyo ni daraja muhimu kiuchumi ukizingatia usafiri mkubwa unaotumika Tz ni magari.. daraja la zamaniView attachment 2073159View attachment 2073161View attachment 2073162ujenzi wa daraja jipya
View attachment 2073163View attachment 2073164View attachment 2073165halkadhalika kwa ujenzi wa daraja la Kigongo Busisi, lile eneo kama umewahi kufika lakini, ni 3km+ na ni eneo muhimu sana kwa uchumi wa Kanda ya ziwa kwa maana linaunganisha wilaya ya sengerema ambayo ndio njia ya kwenda Mkoa wa Geita na Kagera, maelfu ya watu pamoja na vyombo vyao vya usafiri hupita pale kila siku kwa kutumia vivuko/mitumbwi ambavyo ni westage of time, and it's very risk (zipo record za watu kuzama na vivuko pale), pia kutokuwepo kwa daraja pale kunazorotesha ukuaji wa uchumi wa mikoa hii ya kanda ya ziwa kwasababu, watu pamoja na mizigo husafirishwa kila siku kutoka bukoba kuelekea Mwanza kwa meli kwa zaidi ya masaa 11, ila ujenzi wa daraja hili ukikamilika utarahisisha safari hiyo kutoka masaa 11 hadi masaa 5, lakini kwa wanaotumia kile kivuko pia mabasi yakifika pale husimama na kusubur vivuko. there for ujenzi wa madaja ni cost full nakubaliana na wewe
lakini pia Madaraja ni muhimu tujenge ili tuweze ku Link maeneo yetu ya uzalishaji na maeneo ya biashara ili tufungue uchumi wetu..
Tanzanian National Debt is now over 55% of their GDP😂😂
Kenya is a market based economy bro, wakenya sio wazembeHivi uchumi wa Kenya sio Agriculture based Economy?![]()






Hyo ni mpumbavu sana, hajui chochote kuhusu uchumiinfact agriculture based economy is a true characteristic of a least developed, poor and impoverished country. agriculture in US for instance, contributes only 1% of the national economy, yet again its the biggest producer of maize globaly.
service and industrial based economy is the way to go in this 21st century
GTC won't look western because it's Chinese, at least we got 'national' structures, you got Chinese structures all over, China owns Nairobi and KenyaGTC city alone, looks more worldclass, more western, classic, just outstanding!. furthermore it dwarfs your only 3 'national' structures to nothing
Dah aisee!Umekimbia kwenye dam manake umeona hapagusiki, ukulima ni umaskini tu ukilinganisha na sekta zingine...
Km gunia moja la mahindi linauzwa kw mfano ksh 2k ina maana wewe km mkulima hata ukiuza magunia 42 hununui hata iphone 12pro max..
Sasa hapo ukulima una faida gani kw dunia sasa
JamiiForums mobile app
Wewe ongelea kilimo cha kunyaland huko, usiongee hivi kwa Watanzania sababu unaweza kuuwawa, kuna rafiki yangu aliwekeza million 2 kwenye kilimo cha maharage akapata million 15 halafu umwambie huu upuuzi anaweza kukupiga bastola ufe!Ukulima ni kuumizana tu walai, yani km unafanya ukulima basi unatakiwa ujichanganye sana manake haswa..
Utatoa magunia kibao alafu ukija ukiangalia faida ni hata laki haifiki imagine..
Ukicheki ule mda umetumia na faida yenyewe hata haviendani...
Yani kw mtu mwnye akili ukulima ataufanya km side hustle au basi aendeleze ukulima wenye bidhaa za hela ndefu nao sio rahisi
JamiiForums mobile app