Akili yako iko sawa kweli? Umesema SADC pekee mnafanya nao biashara almost $1 trillion?😂😂😂 Do you know what $1trilion is? Ama unaongea tu hili ujifurahishe?$1.44 trillion ndio biashara nyinyi hu export to EA na ni 64.3 percent ya biashara yote nyie hufanya Afrika at large 😂😂😂, data za sasa zinaonyesha sisi ndio wababe wa EA, kule SADC sisi tunafanya nao biashara (tuna export) of almost $1 trillion. Ndio mtatuweza sasa 😂😂😂 uko duniani wala usitaje mana hakuna kitu cha gharama chenye mta export, chai.? Matunda.? 😂😂😂
😂😂😂 Humini unachokiona au kuskia.? Pitia hapa 👇last year recordAkili yako iko sawa kweli? Umesema SADC pekee mnafanya nao biashara almost $1 trillion?😂😂😂 Do you know what $1trilion is? Ama unaongea tu hili ujifurahishe?
Nenda ukatafute daktari, is $2B closer to $1trilion you were talking about?😂😂😂😂😂😂 Humini unachokiona au kuskia.? Pitia hapa 👇last year recordView attachment 2073277. 👇 Tanzania's exports to Africa rose 11.8 pct in 2020.
Duh sorry sio T bhana ni B ..Akili yako iko sawa kweli? Umesema SADC pekee mnafanya nao biashara almost $1 trillion?😂😂😂 Do you know what $1trilion is? Ama unaongea tu hili ujifurahishe?
wanatumia nguvu nyingi sana na gdp ya 50 billion.....nktUmeongea kwa maumivu sana,.., skiza mziki hapauwache kuota ni jumamosi.., Dar ni hafifu sana inabidi u support your manicured pictures kwa maneno yaani upake Nairobi matope na kuitaja pamoja na Juba ili angalau Dar ionekane lakini wapi, napenda unavyohangaika kutetea visivyo, hehehe
![]()
![]()
![]()
![]()
South Africa wana maisha mazuri kwa sababu ni wachache na wana Gdp kubwa manaake wana high Gni per capita. Nigeria wana maisha magumu kwa sababu wako wengi kwa hivyo wengi wao hawapati kukula matunda ya nchi lakini sio kwamba Nigeria haina miundo mbinu. Ungetazama hio video ungeona miundombinu wanazo na wanaendelea kujenga zaidi ila haifaidi kila Mnigeria, wengi wao bado hawapati faida ya miundo msingi hizi.Kati ya Nigeria na South Africa ni nchi gani imeendelea?, Ukiambiwa uchague kuishi Kati ya Nigeria au South Africa utapenda wapi?, hiyo ndio maana ya GDP ya kwenye makarati, kwamba ukianga vitabu vya IMF na WB vyote vinasema Nigeria Ina GDP kubwa kuzidi South Africa, lakini ukifika Nigeria huoni huo uchumi mkubwa "physically"
Kwa sasa ni kujenga nchi.., adding to the GDP yetu ya "kwenye makaratasi" like what they say wale wenye wivu 😂 😂 😂 😂 😂Thank you President Uhuru Kenyatta, because of you Kenya is currently a construction site.
View attachment 2073286
View attachment 2073287
Ona sasa, I once told you sometimes you should keep silent hausikii! 😂 😂 😂 😂 😂$1.44 billion ndio biashara nyinyi hu export to EA na ni 64.3 percent ya biashara yote nyie hufanya Afrika at large 😂😂😂, data za sasa zinaonyesha sisi ndio wababe wa EA, kule SADC sisi tunafanya nao biashara (tuna export) of almost $1 billion. Ndio mtatuweza sasa 😂😂😂 uko duniani wala usitaje mana hakuna kitu cha gharama chenye mta export, chai.? Matunda.? 😂😂😂
Wanajua vizuri that Kenya is ahead of them lakini kukubali ndio shida. Ebu waambie wakuonyeshe a road like this in their second city.Kwa sasa ni kujenga nchi.., adding to the GDP yetu ya "kwenye makaratasi" like what they say wale wenye wivu 😂 😂 😂 😂 😂