Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
So GTC ni magorofa kwa makaratasi? Kweli wewe ni kichaa🤣🤣renders za nn sisi tunataka real buildings sio renders kwa sasa 🤣🤣🤣 hazisaidii kua na magorofa kwenye makaratasi
So GTC ni magorofa kwa makaratasi? Kweli wewe ni kichaa🤣🤣renders za nn sisi tunataka real buildings sio renders kwa sasa 🤣🤣🤣 hazisaidii kua na magorofa kwenye makaratasi
Upcoming hzo mpka umeshtuka unaita rendersasante kwa kujaza vitu renders asante sana![]()


Curfew ilitolewa ili wasahau ile pandora papers!Kwasababu wakenya ni mazezeta, Kenyatta family inawaibia kila siku lakini hamna uwezo hata wa kuanzisha uchunguzi.



Haya nyinyi ebu fanyeni uchunguzi why only 37% of Tanzanian households are connected to electricity.Kwasababu wakenya ni mazezeta, Kenyatta family inawaibia kila siku lakini hamna uwezo hata wa kuanzisha uchunguzi.
Tanzania imejenga irrigation schemes zenye ukubwa mara tatu zaidi ya Kenya, wakati eneo linafanya kilimo cha umwagulia Kenya ni hekta 200K, Tanzania ni 800K, wakati Kenya ndiyo nchi kame zaidi ya TZYet Kenya imejenga dams mingi kuwashinda since independence.
Unaweza fungua thread we compare





World bank na IMF inawatambua ndani nje, juzi mumepewa mkopo usiokuwa na ribaKwasababu wakenya ni mazezeta, Kenyatta family inawaibia kila siku lakini hamna uwezo hata wa kuanzisha uchunguzi.


Tanzania tumewapita katikaHahaha tumesubiri mpaka tumechoka. Sio mara ya kwanza nyinyi kutuambia tusubiri kwamba mtatupita.






Huwa anaumwa sana akiona tall buildings are rising daily in Nairobi while in Dar hakuna hata proposal😂😂Upcoming hzo mpka umeshtuka unaita renders
Naona umepigwa na kitu kizito kizito kichwani ghafla
JamiiForums mobile app
Yet you are still ranked among the poorest people in Africa😂😂😂Tanzania tumewapita katika
1)Utalii
2)Biashara
3)Kilimo
4)Usafiri na usafirishajj
5)Amani
6)Umoja
7)![]()
Umekimbia kwenye dam manake umeona hapagusikiTanzania imejenga irrigation schemes zenye ukubwa mara tatu zaidi ya Kenya, wakati eneo linafanya kilimo cha umwagulia Kenya ni hekta 200K, Tanzania ni 800K, wakati Kenya ndiyo nchi kame zaidi ya TZ![]()
, ukulima ni umaskini tu ukilinganisha na sekta zingine...They are still in the Agrarian revolution.Umekimbia kwenye dam manake umeona hapagusiki, ukulima ni umaskini tu ukilinganisha na sekta zingine...
Km gunia moja la mahindi linauzwa kw mfano ksh 2k ina maana wewe km mkulima hata ukiuza magunia 42 hununui hata iphone 12pro max..
Sasa hapo ukulima una faida gani kw dunia sasa
JamiiForums mobile app
kumenoga mkuu
Msukuma na biashara wapi na wapi😂Tanzania tumewapita katika
1)Utalii
2)Biashara
3)Kilimo
4)Usafiri na usafirishajj
5)Amani
6)Umoja
7)[emojh
unaongea makorokocho mzeeYet Kenya imejenga dams mingi kuwashinda since independence.
Unaweza fungua thread we compare
kama mahindi pekee mnashindwa kusafirisha south Sudan Sasa mnasafirisha nini😁Tanzania tumewapita katika
1)Utalii
2)Biashara
3)Kilimo
4)Usafiri na usafirishajj
5)Amani
6)Umoja
7)![]()
Ukulima ni kuumizana tu walai, yani km unafanya ukulima basi unatakiwa ujichanganye sana manake haswa..They are still in the Agrarian revolution.
Kenya dams zipo tangia 80s nyie ndio mumezinduka saiunaongea makorokocho mzee
Madaraja ni muhimu sana mzee wangu yawe ni costful or not nilazima tujenge, kwasababu Madaraja huunganisha sehemu moja kwenda semehemu nyingine na hataimae kufungua shughuli za kiuchumi, kwa mfano daraja la Wami, daraja lililokuepo zamani lilikua jembamba lisoloruhus kupishana magari mawili wakati mmoja na lilikua likisababisha ajali zilizopelekea vifo na upotevu wa mali za watu, hata hivyo ni daraja linaloiunganisha mikoa ya kaskazini na Dar es Salaam, hivyo ni daraja muhimu kiuchumi ukizingatia usafiri mkubwa unaotumika Tz ni magari.. daraja la zamani 👇Uwingi wa Mito Tanzania ni double edged sword..Upande mmoja ni advantage kwani..Kilimo, Uzalishaji wa umeme yote hutumia maziwa na mito....
Upande mwingine sasa ni disadavantage ..maana madaraja ni very costful kujenga...Daraja kama la Kigogo Busisi litacost 700billion tsh hela inatosha kujenga Kilometer 350 plus za lami ...kama Bei ni billion 2 tsh per kilometer .including Taa na drainage system
Kilometer 350 ni sawa na kwenda hadi Dar hadi karibia na Tanga ...
Building of bridges ..slows down Tanzania economy somehow(if money could be spent on hospitals ,education , developing Human capital)...but also bridges are needed as connection and to save time