Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832
Kwaiyo ndio umeandika nini hapaaa
Kindly i advice you to use English....Nikuulize kaka...na hiyo GDP yenu kidogo...mkishalipa mishahara ya wafanyikazi wa umma mnabaki bure....mtatoa wapi pesa za kumalizia miradi zenu nyiiiingi mnazozifanya eti kushindana na kenya...hata kwa umaskini ..kuna masikini aliye tajiri...huko huko uswahilini kuna wanao heshimika kwa utajiri wao...vivyo hivyo ndio kenya inaheshimika kwa utajiri wake hapa east and central africa....hapana machezo bro...
kisha usikosee ukaiweka kenya kwa category moja na tz...sisi kwa kusema kweli sio wenzenu bana...a difference of 35 billion dollars is not your peer brother. tuko level tofauti sana na ni kwa sababu ya akili yetu...sio mafuta...wala nini ,,,ni ujanja wetu...na hili ndio Rais suluhu anajaribu kuwaletea lakini aiseee upumbavu wenu umekita mizizi...ndio maana corona..mliichukulia juu juu sahiii mnatahadhari...very late ....ilibidi imle kichwa mmoja wenu ndio mkaagutuka...yaani akili ndogo kweli...
Issue hapa sio kukopa kiwango cha chris kirubi ila ni kukopa ..but kwa kiwango changu...Tanzania is a very pooor country na laZIMA MKOPE NDIO RELI YENU SGR ANGAA IANZE KAZI....by the way itaanza lini tuko 2022 bro siku zaenda chungeni isishike kutu...shida ya kuiga kenya blindly...ni nini yenu inafanya kazo? blue prints ndio nyingi lakini hakuna hatua wala completed projects.
aCHENI RAis akope ili nchi yenu ipanuke kiasi


