Watanzania wakati mwingine mna akili ndogo sana...hivi mtasaidika aje nyinyi???? kipato chenu kama nchi ni kidogo sana na hakiwezi kukidhi mahitaji ya nchi yenu ...kumbukeni...mna majeshi, madakitari, mawizara na walimu wa SHULE za umma nakadhalika...your GDP is only 69 billion dolars. ..hii haiwezi kuwasaidia hata kulipa mishahara zenu vizuri....nchi yetu ya kenya GDP yetu ni 109 billion dollARS NA BADO TUNA KOPA...NA HAPA mkumbuke idadi yetu ya watu ni ndogo kuliko yenu na watu karibia milioni kumi hivi..halafu pia nchi yenu ni kubwa, area wise....Rais suluhu anajaribu kuwasaidia lakini hamuoni....hivi mtaerevuka lini nyinyi...na ni masomo gani hii mnafunzwa shuleni? upumbavu umewajaa sana. jameni jaribuni for once and try to listen to this great leader you have...kwa kweli anasuluhu. ikiwa nchi kama marekani na japan wana madeni na GDP zao ni kubwa mno...itakuwa aje nyinyi mnajaribu kupinga issue ya deni? stupid