komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Ndio uanze kujitafakari basi, manake haiwezakani mwanaume uanze kutamani kuolewa kirahisi rahisi hvouna matatizo we
JamiiForums mobile app
Ndio uanze kujitafakari basi, manake haiwezakani mwanaume uanze kutamani kuolewa kirahisi rahisi hvouna matatizo we
huyo ako na uwelewa kidogo sana ikija mambo economics, hajui wao hawana GDP ya maana wanaishi kubahatisha tu, tazama vile serikali inahangaika kumaliza miradi kwa sasa imebidi wakope peupe 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Ndio ujue kwamba walimu wako hawajui kitu kuhusu Tz, wacha nikurudishe shule leo, haya mtera dam 👇The funny thing, sijawai skia dam yoyote kutoka tanzania wakati nilipokua shule katika somo la GHC
JamiiForums mobile app
Aksombo dam ipo EANdio ujue kwamba walimu wako hawajui kitu kuhusu Tz, wacha nikurudishe shule leo, haya mtera damView attachment 2073224View attachment 2073226mnafundishwa na waalimu ambao hata EA hawaijui
ndio watajua nini sasa kuhusu dunia.?


Mkenya anamcheka mtanzania kuhusu kukopa 😂😂😂 ni jambo la ajabu sana,huyo ako na uwelewa kidogo sana ikija mambo economics, hajua wao hawana GDP ya maana wanaishi kubahatisha tu, tazama vile serikali inahangaika kumaliza miradi kwa sasa imebidi wakope peupe 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Wewe tena.? 😂😂 Huyu si wewe huyu 👇Aksombo dam ipo EA
Watu ilikua wanafundishwa vitu vya maana wala sio huo udubwasha
JamiiForums mobile app
The funny thing, sijawai skia dam yyte kutoka tanzania wakati nilipokua shule katika somo la GHC
JamiiForums mobile app
Hyo umeleta mzee ni akasombo damWewe tena.?Huyu si wewe huyu
![]()






Miradi imekwama maskiniMkenya anamcheka mtanzania kuhusu kukopani jambo la ajabu sana,
😂😂😂 We ni fala sana Akasombo dam👇
The funny thing, sijawai skia dam yyte kutoka tanzania wakati nilipokua shule katika somo la GHC
JamiiForums mobile app
Jamaa analeta Akasombo dam huku akisema ipo tz
Sama boy 255 bana, yani nimecheka sana
Nimekukimbiza maskini
JamiiForums mobile app
☝️ Hizo hapo juu😂😂😂 We ni fala sana Akasombo dam👇View attachment 2073243View attachment 2073245Mtera dam👇View attachment 2073246kumbe hizi ni kitu kimoja eeh.?
Umeongea kwa maumivu sana,.., skiza mziki hapa 👇 uwache kuota ni jumamosi.., Dar ni hafifu sana inabidi u support your manicured pictures kwa maneno yaani upake Nairobi matope na kuitaja pamoja na Juba ili angalau Dar ionekane lakini wapi, napenda unavyohangaika kutetea visivyo, hehehe 😂 😂 😂 😂Dar es Salaam, the East Africa’s Largest, Developed, Modern, Clean, bold, neat, authentic, organized and safe,
other towns like Nairobi and Juba are enriched with slums, hunger, poverty, thieves, terrorism, chaos and garbage.
View attachment 2073056
View attachment 2073057
View attachment 2073058
haujapata picha bado, baki hapo hapo 😂 😂 😂 😂 😂Mkenya anamcheka mtanzania kuhusu kukopa 😂😂😂 ni jambo la ajabu sana,
Msenge una wivu na roho mbaya 😂😂😂 pitia hapa 👇. .Jamaa analeta Akasombo dam huku akisema ipo tz
Sama boy 255 bana, yani nimecheka sana
Nimekukimbiza maskini
JamiiForums mobile app
Picha ya nini mzee.?haujapata picha bado, baki hapo hapo 😂 😂 😂 😂 😂
Nikuulize kaka...na hiyo GDP yenu kidogo...mkishalipa mishahara ya wafanyikazi wa umma mnabaki bure....mtatoa wapi pesa za kumalizia miradi zenu nyiiiingi mnazozifanya eti kushindana na kenya...hata kwa umaskini ..kuna masikini aliye tajiri...huko huko uswahilini kuna wanao heshimika kwa utajiri wao...vivyo hivyo ndio kenya inaheshimika kwa utajiri wake hapa east and central africa....hapana machezo bro...Huu upumbavu wenu ndio sababu kubwa ya nchi yenu kuwa haina uwezo wa kulipa mishahara ya watumishi wake, kushindwa kumalizia reli iliyoachwa porini na Mchina, kuendelea kufa kwa njaa baada ya kushindwa kumalizia ujenzi wa Galana kulalu project.
Hivi kweli wewe unaweza kushindana na Chris Kirubi katika kukopa, hivi kwanini IMF imeweka kikomo kwa nchi masikini kuchukua mikopo isizidi 55% ya GDP Yao lakini nchi tajiri wakaziacha bila kuweka kikomo au kikomo Chao kipo juu sana?.
Sasa wewe kwa upuuzi wako nenda KCB ukaombe mkopo na utumie kigezo cha kwamba kwanini Chris Kirubi anaendelea kukopesheka wakati bado deni lake la nyuma hajalipa.
Jamaa huamini unachokiona kama hii ni mtera dam 👇Jamaa analeta Akasombo dam huku akisema ipo tz
Sama boy 255 bana, yani nimecheka sana
Nimekukimbiza maskini
JamiiForums mobile app
Ni amani umoja na utalii tu pengine.., fikra zako ni ndogo sana, ama unamaanisha biashara kwa ajili ya recent data, a momentary change not sustainable, Uganda wamefanya same sio mara moja., hizo products za kilimo can't be relied upon, leo mna soko kesho soko haipo., uliza waganda 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 ., alafu on average. total income ya biashara on global scale(Africa na nje) ata robo hamfikii., nyie ni watoto sana.., mbona wewe boya hivi 😂 😂 😂 😂Tanzania tumewapita katika
1)Utalii
2)Biashara
3)Kilimo
4)Usafiri na usafirishajj
5)Amani
6)Umoja
7)![]()
$1.44 billion ndio biashara nyinyi hu export to EA na ni 64.3 percent ya biashara yote nyie hufanya Afrika at large 😂😂😂, data za sasa zinaonyesha sisi ndio wababe wa EA, kule SADC sisi tunafanya nao biashara (tuna export) of almost $1 billion. Ndio mtatuweza sasa 😂😂😂 uko duniani wala usitaje mana hakuna kitu cha gharama chenye mta export, chai.? Matunda.? 😂😂😂Ni amani umoja na utalii tu pengine.., fikra zako ni ndogo sana, ama unamaanisha biashara kwa ajili ya recent data, a momentary change not sustainable, Uganda wamefanya same sio mara moja., hizo products za kilimo can't be relied upon, leo mna soko kesho soko haipo., uliza waganda 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 ., alafu on average. total income ya biashara on global scale(Africa na nje) ata robo hamfikii., nyie ni watoto sana.., mbona wewe boya hivi 😂 😂 😂 😂