komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Vipi kuhusu umeme wa mgao dar, yenu yanewashinda ndio mtayaweza ya wajirGDP inajinyea![]()
JamiiForums mobile app
Vipi kuhusu umeme wa mgao dar, yenu yanewashinda ndio mtayaweza ya wajirGDP inajinyea![]()
wewe nawe unahangaika sana ,hebu olewa tu utulie na ndoa yako
Mitumbwi 21st century kisha eti mnatupigia kelele ya kwamba eti nyie nchi yenu imeunganishwa kila sehemuMadaraja ni muhimu sana mzee wangu yawe ni costful or not nilazima tujenge, kwasababu Madaraja huunganisha sehemu moja kwenda semehemu nyingine na hataimae kufungua shughuli za kiuchumi, kwa mfano daraja la Wami, daraja lililokuepo zamani lilikua jembamba lisoloruhus kupishana magari mawili wakati mmoja na lilikua likisababisha ajali zilizopelekea vifo na upotevu wa mali za watu, hata hivyo ni daraja linaloiunganisha mikoa ya kaskazini na Dar es Salaam, hivyo ni daraja muhimu kiuchumi ukizingatia usafiri mkubwa unaotumika Tz ni magari.. daraja la zamaniView attachment 2073159View attachment 2073161View attachment 2073162ujenzi wa daraja jipya
View attachment 2073163View attachment 2073164View attachment 2073165halkadhalika kwa ujenzi wa daraja la Kigongo Busisi, lile eneo kama umewahi kufika lakini, ni 3km+ na ni eneo muhimu sana kwa uchumi wa Kanda ya ziwa kwa maana linaunganisha wilaya ya sengerema ambayo ndio njia ya kwenda Mkoa wa Geita na Kagera, maelfu ya watu pamoja na vyombo vyao vya usafiri hupita pale kila siku kwa kutumia vivuko/mitumbwi ambavyo ni westage of time, and it's very risk (zipo record za watu kuzama na vivuko pale), pia kutokuwepo kwa daraja pale kunazorotesha ukuaji wa uchumi wa mikoa hii ya kanda ya ziwa kwasababu, watu pamoja na mizigo husafirishwa kila siku kutoka bukoba kuelekea Mwanza kwa meli kwa zaidi ya masaa 11, ila ujenzi wa daraja hili ukikamilika utarahisisha safari hiyo kutoka masaa 11 hadi masaa 5, lakini kwa wanaotumia kile kivuko pia mabasi yakifika pale husimama na kusubur vivuko. there for ujenzi wa madaja ni cost full nakubaliana na wewe
lakini pia Madaraja ni muhimu tujenge ili tuweze ku Link maeneo yetu ya uzalishaji na maeneo ya biashara ili tufungue uchumi wetu..
Kwn weye ushaolewa tayariwewe nawe unahangaika sana ,hebu olewa tu utulie na ndoa yako
hapz tupo wanaume wa shoka,wewe ndiyo wa kuolewa utulie
Mbona basi nkm na wewe una uhitaji sana wa kuolewahapz tupo wanaume wa shoka,wewe ndiyo wa kuolewa utulie
umewahi ona wapi male anaolewa ?
😂😂😂 Tz kuna dams kibao mdogo angu, tangu 70s .. kama unajua tumeanza leo pole sana,.
Nne tu na tayari unaitisha usaidizi?😂😂😂 Tz kuna dams kibao mdogo angu, tangu 70s .. kama unajua tumeanza leo pole sana,.
1. bwawa la Mtera
2. Kidatu
3. Hale
4. Nyumba ya Mungu n.k watu wa umeme mnisaidia kutaja mabwawa ambayo hayapo kwenye list hapo juu..
Fungua uzi mzeeTz kuna dams kibao mdogo angu, tangu 70s .. kama unajua tumeanza leo pole sana,.
1. bwawa la Mtera
2. Kidatu
3. Hale
4. Nyumba ya Mungu n.k watu wa umeme mnisaidia kutaja mabwawa ambayo hayapo kwenye list hapo juu..


Hta google pia imeshindwa kumsaidia kuleta, nne tu tayari chaliNne tu na tayari unaitisha usaidizi?


Got your perspective.Growth ya vitu vingi chini ya jua (mfano population, viral infection rate, mitosis rate, chemical reaction, economic growth n.k) huwa vina fuata a natural curve.
Mwanzoni mabadiliko hayaonekani ila itafika wakati mabadiliko yanakuwa ya haraka sana na kudhani kama ndipo yalipoanzia, mfano mzuri ni acid base titration.
Maendelo ya China yameonekana kukimbia miaka 20 iliyopita lakini siyo kuwa ndipo yalipoanzia (au walifanya mabadiliko makubwa). Hayo ni matokeo tuu ya investment waliyofanya kweye elimu, umoja, viwanda, ujenzi wa vijiji vya ujamaa (ambavyo leo ndiyo majiji ), miaka mingi iliyopita.
The funny thing, sijawai skia dam yyte kutoka tanzania wakati nilipokua shule katika somo la GHCTz kuna dams kibao mdogo angu, tangu 70s .. kama unajua tumeanza leo pole sana,.
1. bwawa la Mtera
2. Kidatu
3. Hale
4. Nyumba ya Mungu n.k watu wa umeme mnisaidia kutaja mabwawa ambayo hayapo kwenye list hapo juu..
Mitumbwi ilitumika zamani kidogo, kwasasa mambo yapo hivi 👇 Mwanza kwasasa iko na vivuko 5-6 hatutumii mitumbwi Ila hivi vivuko navyo ni westage of timeMitumbwi 21st century kisha eti mnatupigia kelele ya kwamba eti nyie nchi yenu imeunganishwa kila sehemu
JamiiForums mobile app
Mbona utamani kuolewa basiumewahi ona wapi male anaolewa ?
huku siyo india we mwanamama
Mlishafeli kitambo sana aiseeMitumbwi ilitumika zamani kidogo, kwasasa mambo yapo hiviMwanza kwasasa iko na vivuko 5-6 hatutumii mitumbwi Ila hivi vivuko navyo ni westage of timeView attachment 2073208View attachment 2073209View attachment 2073210View attachment 2073215View attachment 2073216View attachment 2073217


GTC city alone, looks more worldclass, more western, classic, just outstanding!. furthermore it dwarfs your only 3 'national' structures to nothing



unaota.., can't you see the accelerated growth in Kenya ama unajitia hamnazo, kwani inajengwa kwa msingi upi?.., we have a solid vision 2030 blue print., and everything is built on that, even the elevated expressway iko kwa render ya vision 2030 since 2004.., sio jambo la kushtukia kama nyie; "Kenya wamefanya pia na sisi tujenge tuwapiku" mentality, mnatuangalia sana 😂 😂 😂 mnakurupuka na viprojects ambazo zinawachukua mda kukamilisha kisha unaumiza uchunmi wenu hafifu, sasa meanza kutafuta mikopo kuongeza zaidi, no plan, jiangalie mlivyo ovyo 😂 😂 😂 😂 😂 ., we are following a blue print, establishing a solid foundation.., Uhuru Kenyatta amejenga juu ya msingi ya Kibaki regime.., yeye kile ameleta jipya ni Huduma centres bringing government services under one roof kila sehemu mashinani faster and affordable..,Your last sentence carries the point of this point, unfortunately Kenya lacks "established foundation" shall never get anywhere
🤣🤣🤣
una matatizo we