The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Usiku mwema.
Wewe ChoiceVariable huwa ni msenge sn wewe.
R.I.P MagufuliTsh 27,000/= is no more
Gharama kuunganishwa kupanda
Hatuna Rais tuko kwenye kipindi cha mpitoHuyu Rais wenu mm bado sielewi kabisa.
Huyo mimi nishaga ignore post zakeMuone huyu malaya wa kisiasa![]()
Hatuna Rais tuko kwenye kipindi cha mpito

🔨🔨🔨 Unafaaa wewetoo bad anajikuta/anajiona anafaa bado kuwa rais 2025![]()
Siti ya kwanza nione wanaopigania maiti,sukuma gang kwisha habari yenuHatuna Rais tuko kwenye kipindi cha mpito
kumbe kuna new CBD nairobi 😃😃😃 ni vichekesho vya mwaka 2021Africa arise.., Nairobi. (tumetoka mbali, na bado kuna mwendo) Am proud!
Old CBD
View attachment 2068401
View attachment 2068397
View attachment 2068357
View attachment 2068359
Upper Hill Business District
View attachment 2068368
View attachment 2068372
View attachment 2068374
Westlands Business District
View attachment 2068379
View attachment 2068380
View attachment 2068382
Parklands Business District
View attachment 2068392
View attachment 2068394
kulingana na maelezo yako ulifaa kusema westaland + upperhill + CBD + kilimaniAfrica arise.., Nairobi. (tumetoka mbali, na bado kuna mwendo) Am proud!
Old CBD
View attachment 2068401
View attachment 2068397
View attachment 2068357
View attachment 2068359
Upper Hill Business District
View attachment 2068368
View attachment 2068372
View attachment 2068374
Westlands Business District
View attachment 2068379
View attachment 2068380
View attachment 2068382
Parklands Business District
View attachment 2068392
View attachment 2068394
Serikali inataka ulipie nguzo nyaya, gari la nguzo si ajabu ukatakiwa kujaza mafuta, ni sawa na kusema elimu ijiendeshe kwa ada si tutafunga vyuo na mashule?ni opportunity cost huyo mpotezee!..
mim niko TANESCO..naelewa kila kitu kwenye hizo ishu... sasa ishu sio uhalisia wa gharama ya kuunganisha umeme.. ishu ni serikali inakwepa jukumu lake la kumsaidia mwananchi kuunganishwa umeme.. yan iko hiv.. kama gharama ni laki moja.. serikali iseme mwananchi lipa 27k then serikali italipa 73k ili uunganishwe umeme.. lkn serikali hii inakimbia hili jukumu.. mzigo wote anataka abebeshwe mwananchi ili unganishwe umeme nyumban kwako..
kwa hali hii tusahau kupata idadi kubwa ya consumers
Unaongea Kwa niaba ya kila mtanzania? Au unasemea maisha yako binafsi Ndio yako kama mortuary?Tanzania imekosa raha siku hizi, nchi ipo kama mortuary
Nchi haina vibe kabisa, watu wanakula bata lakini bado hakuna happy
Amesema katika mkopo wamechukua pesa nyingine kulipa madeni, sasa kama miezi 6 tumekusanya 11.11T, kweli hizi pesa zisitoshe, maana mishahara huwa kama bilioni 600 tu, tunabakiwa na Trilioni 1.3 kila mwezi, kweli haitoshi?too bad anajikuta/anajiona anafaa bado kuwa rais 2025![]()
Hahaa!!ukweli mtupu aisee, wazee wa maneno ya majukwaani wako wapi akina The best 007I always expect such a response from you because you always take things personally. Nimesema asilimia ya kutisha ya watanzania hawana awareness ya mambo ya dunia. Sijasema watanzania wote hawana hiyo awareness. Na ni ukweli kuwa watanzania wengi mambo ya dunia hawayajui. Kawaida ni hadithi za kwenye kahawa na superficial information zinazotolewa na viongozi wa serikali/ dini Ndio mambo wanayofahamu na kuyashikilia. Pia elimu inayotolewa kwenye hii nchi bado ina changamoto nyingi. Mwenzako anafikiri kuwa na maghorofa mengi Ndio umasikini hakuna. Hivi huoni kasoro hapo?
Unaona kuwa mimi ni arrogant? I’m simply stating what I’ve observed. Unavyojibizana na watu humu Kwa kiburi, arrogance yako huwa huioni? I bet Wewe ni mmoja wa hao watanzania wasio na awareness ya mambo ya dunia Ndio Maana post yangu imekugusa.
Hku mkililipia toll fee eeHapo kuna bridges mbili ya kwanza ni Kigamboni bridge (Nyerere bridge) ambayo ndiyo ilikuwa the longest in sub saharan na ya pili ndio Tanzanite ambayo ndiyo imeipindua Kigamboni na kuwa the longest in the region. Hiyo Kigamboni bridge imejengwa kwa pesa za ndani 100% so ni kweli kabisa tunajenga kwa pesa za ndani.
We itakua umetumbuliwa aisee, manake kw akili hzo sio bure ungelikuja hata kulipua nchi mr.geniusMimi nimefanya kazi wizara ya mambo ya ndani kipingi cha kikwete ninajua vizuri hii nchi sema huwa sipendi kujionyesha
Huyu Rais wenu mm bado sielewi kabisa.
Ni economic hit woman huyo.mzigo wote anataka abebeshwe mwananchi ili unganishwe umeme nyumban kwako..
kwa hali hii tusahau kupata idadi kubwa ya consumers