Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hiiyo miti Magufuli alipanda wapi? Toka lini mfugaji akapanda miti😀😀😀
Yani kuna mambo husemwa humu Hadi nacheka. Watu wanadhani miti milioni 20 ni mchezo mchezo you. Yani Wangari Maathai alipanda miti 51M over a period of 30 years akapewa Nobel Prize akajulikana ulimwengu mzima alafu mtu apande 20 million trees every year for 6 years - hizo ni miti 120M over just 6 years - na tusimskie hata kidogo?🤣🤣🤣
 
Where did you get this information? Kenya exports $1.44 billion to East Africa while Tanzania exports $0.9 billion to East Africa. Sasa Kati us hizo gani kubwa?

Kenya leads both in importation and exportation. Jua babako.
All the way from your anus, isn't it? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Screenshot_20220102-211435.png
FIJkgBlWUAAKzjQ.jpeg
 
Hiiyo miti Magufuli alipanda wapi? Toka lini mfugaji akapanda miti😀😀😀
Tatizo lenu mna chuki na mtu na sio hoja, Magufuli atabaki kua Rais bora kabisa aliewahi kuongoza nchi barani Africa, sio kwa sababu ninyi mtajisikia vipi bali sababu hiyo ndio fact na hamna la kufanya zaidi ya sonona

Yapo mashamba makubwa mawili Magufuli aliyaanzisha yakiunganishwa ukubwa yanazidi Sao Hill

Moja wapo ni hili
 
Uganda imports from Kenya = $ 773M
Uganda imports from Tanzania = $743M
Kenya wins

Rwanda imports from Kenya = $278M
Rwanda imports from Tanzania = $269
Kenya wins

Burundi imports from Kenya = $47M
Burundi imports from Tanzania = $77M
Tanzania wins

Tanzania imports from Kenya = $294M
Kenya imports from Tanzania = $258M
Kenya wins


Tanzania only wins in Burundi. So who's the real giant.
 
Yani kuna mambo husemwa humu Hadi nacheka. Watu wanadhani miti milioni 20 ni mchezo mchezo you. Yani Wangari Maathai alipanda miti 51M over a period of 30 years akapewa Nobel Prize akajulikana ulimwengu mzima alafu mtu apande 20 million trees every year for 6 years - hizo ni miti 120M over just 6 years - na tusimskie hata kidogo?🤣🤣🤣
Tanzania ni miti michache sana kwa TFSA

 
Uganda imports from Kenya = $ 773M
Uganda imports from Tanzania = $743M
Kenya wins

Rwanda imports from Kenya = $278M
Rwanda imports from Tanzania = $269
Kenya wins

Burundi imports from Kenya = $47M
Burundi imports from Tanzania = $77M
Tanzania wins

Tanzania imports from Kenya = $294M
Kenya imports from Tanzania = $258M
Kenya wins


Tanzania only wins in Burundi. So who's the real giant.
LOL Uganda central Bank says otherwise 🤣🤣🤣🤣

 
What you're posting is statistics for the month of June 2021 alone. I am posting annual statistics for 2020. When the annual statistics for 2021 will suffice, we shall be here. Shida yenu ni akili ndogo.🚮🚮
Kila siku nasema elimu yenu ni shittiest

English yenyewe tu inawapiga danadana

"In June, Uganda imported goods worth $125.12m from Tanzania, which indicated a 43% increase from $70.07m recorded in the same month last year."

These phases illustrate monthly reports? 🤣🤣🤣🤣

Do. You even know government fiscal year?
 
Kila siku nasema elimu yenu ni shittiest

English yenyewe tu inawapiga danadana

"In June, Uganda imported goods worth $125.12m from Tanzania, which indicated a 43% increase from $70.07m recorded in the same month last year."

These phases illustrate monthly reports? 🤣🤣🤣🤣

Do. You even know government fiscal year?
I said it's statistics from the month of June last year. You're repeating the same and thinking you're right and I'm wrong. Yani nyinyi ni wa kupuuza tu.🚮🚮
 
What you're posting is statistics for the month of June 2021 alone. I am posting annual statistics for 2020. When the annual statistics for 2021 will suffice, we shall be here. Shida yenu ni akili ndogo.[emoji706][emoji706]
Usijifanye hujaelewa kilichopostiwa pumbavu, soma tena.
 
Tunajenga Kwa Hera zetu ,[emoji848][emoji3]
Hapo kuna bridges mbili ya kwanza ni Kigamboni bridge (Nyerere bridge) ambayo ndiyo ilikuwa the longest in sub saharan na ya pili ndio Tanzanite ambayo ndiyo imeipindua Kigamboni na kuwa the longest in the region. Hiyo Kigamboni bridge imejengwa kwa pesa za ndani 100% so ni kweli kabisa tunajenga kwa pesa za ndani.
 
You buy from Tanzania than any other east African country, while we buy less from you, we are the giant in this region, is it clear?[emoji23][emoji23][emoji23]
No, the vice versa is true. 74% of Tanzania's imports within the EAC is from Kenya. Other countries only account for 26%. Kenya imports 24% from Tanzania, other countries account for 76%. Let that sink in!
 
Back
Top Bottom