Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yaani Baba Levo alivo kuja kenya ...aliuona mradi huu wa ubungo kuwa upuuzi tu....imagine ...ikiwa hii inawatisha NYIE WA tz ....25 YEARS ZA BABALEVO NDIO MTUFIKIE ...HOW BEAUTIFUL IS KENYA
Tuwafikie hapa? 🤣🤣🤣 Hii darfur?

Screenshot_20211212-114613.png
 
Yani kuna mambo husemwa humu Hadi nacheka. Watu wanadhani miti milioni 20 ni mchezo mchezo you. Yani Wangari Maathai alipanda miti 51M over a period of 30 years akapewa Nobel Prize akajulikana ulimwengu mzima alafu mtu apande 20 million trees every year for 6 years - hizo ni miti 120M over just 6 years - na tusimskie hata kidogo?
Hiyo ni kazi ndogo sana kwa serikali usijidanganye serikali inaweza kupanda hata miti milioni 100per/yr
 
Tatizo lenu mna chuki na mtu na sio hoja, Magufuli atabaki kua Rais bora kabisa aliewahi kuongoza nchi barani Africa, sio kwa sababu ninyi mtajisikia vipi bali sababu hiyo ndio fact na hamna la kufanya zaidi ya sonona

Yapo mashamba makubwa mawili Magufuli aliyaanzisha yakiunganishwa ukubwa yanazidi Sao Hill

Moja wapo ni hili
Hao wapumbavu achana nao mipango ilikuwa ni kupanda miti milion 20 kila mwaka nchi nzima
 
Huyu lwiva sometimes awe anatulia vingine vimpite.
Kuna muda nikisoma replies zake humu aibu naona mimi.
Wewe akili hauna mimi ninajua yanayo endelea serikalini vizuri kama u amini muulize gera ulole atakujulisha kuhusu mimi
 
Huyu lwiva sometimes awe anatulia vingine vimpite.
Kuna muda nikisoma replies zake humu aibu naona mimi.
Watu kama nyinyi mimi nawaita wapumbavu kwani mlikuwa wapi wakati mipango na mikakati inafanyika ya miti ,kuna mtu humu kawaonyesha baadhi ya ushahidi magufuli alipanga kufungua mashamba ya kimkakati 12 nchi nzima kwa ajili ya kupanda miti na kuzarisha miche hadi milioni 60 kwa mwaka
 
Yani kuna mambo husemwa humu Hadi nacheka. Watu wanadhani miti milioni 20 ni mchezo mchezo you. Yani Wangari Maathai alipanda miti 51M over a period of 30 years akapewa Nobel Prize akajulikana ulimwengu mzima alafu mtu apande 20 million trees every year for 6 years - hizo ni miti 120M over just 6 years - na tusimskie hata kidogo?
 
Unadandia tu mashine kama shoga hata uelewi unauliza nini ,
Tatizo lako ni uwezo mdogo ulionao ndio maana kila muda mdomo wako umejaa matusi,upumbavu na kuongea Ovyo ovyo.Jamiiforum ni ya great thinkers pamoja.Great thinkers wanaongea vitu tangible
 
Tatizo lako ni uwezo mdogo ulionao ndio maana kila muda mdomo wako umejaa matusi,upumbavu na kuongea Ovyo ovyo.Jamiiforum ni ya great thinkers pamoja.Great thinkers wanaongea vitu tangible
Kwa hiyo wewe unanishinda mm kwa logic gani au ugreat thinker upo ? Mimi humu jf situmia akili yoyote nyingi kufafanua mbambo kwa sababu wengi ni vilaza ila nipo konki very genius in logic ndiyo maana wasomi wengi wanao nijua uwa wananitambua kuwa ni genius ,hadi kuna afisa mmoja wa serikali aliwai kucheki usalama wa taifa maana alinihisi kuwa siyo mtu wa kawaida, ila kama nyinyi wapumbavu na vilaza mnataka kunijaribu ruksa babayao255 mkuje ,unionyeshe mada ulizo sema nimechangia aibu ukaona wewe ili nikuonyeshe kazi
 
Tatizo lako ni uwezo mdogo ulionao ndio maana kila muda mdomo wako umejaa matusi,upumbavu na kuongea Ovyo ovyo.Jamiiforum ni ya great thinkers pamoja.Great thinkers wanaongea vitu tangible
Rafiki wenu ni aibu tupu.🤣🤣🤣
 
When did Nairobi got high-rises?
since 1967, IPS building being the pioneer at 13flrs,. 1969, Hilton hotel at 18flrs., 1973 NSSF building at 27flrs,. 1973, Kicc at 28flrs,. (imagine by 1974 we already had buildings standing at 27 and 28flrs!, tanganyika sijui ilikua kwa giza gani hizo enzi). ata j.nyerere mwenyewe kaitaja nairobi kama london kwa wakati moja
Screenshot_20220103-151753_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom