Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 21,157
- 29,775
Nchi imekuwa ya kichoko ,kifara ,kizuzuFreedom of speech ni noma bana.
Nchi imekuwa ya kichoko ,kifara ,kizuzuFreedom of speech ni noma bana.
Wametushinda mwezi moja pekee - June 2021. Usiwape sifa za bure.Balance of trade imekua pande yetu for years, 2021 tuliongeza imports za mahindi due to rising local demand na zingine za South Sudan. Mbao na paper products pia tumeongeza kwa idadi kubwa ju tumerevive pan paper mills so tunahitaji raw materials kwa wingi.
Hizo finished products unataja mbona sio top earners kwenu. Hizo ni a drop in the ocean.
Inabidi wajenge na jangwani pale . Maana mvua zikiwa kubwa inakuga disaster
Na ww unaamini kabisa ilikuwa kama London mwaka huo wa 1968.since 1968, ata mw. j.nyerere kaitaja nairobi kama London kwa wakati moja






Hakuna neno "top earner", jumla ya pesa tunayokusanya kwa kuwauzia bidhaa zote kwa ujumla hata Kama ni kiberiti, onyesha ni bidhaa gani kubwa Kenya inauzia Tanzania zaidi ya maziwa na SigaraBalance of trade imekua pande yetu for years, 2021 tuliongeza imports za mahindi due to rising local demand na zingine za South Sudan. Mbao na paper products pia tumeongeza kwa idadi kubwa ju tumerevive pan paper mills so tunahitaji raw materials kwa wingi.
Hizo finished products unataja mbona sio top earners kwenu. Hizo ni a drop in the ocean.




Unajua miaka 15 iliyo pita mambo yalikuwaje ? Siku zote nasema wakenya hawana akili wala awajui wanaenda wapiUganda imports from Kenya = $ 773M
Uganda imports from Tanzania = $743M
Kenya wins
Rwanda imports from Kenya = $278M
Rwanda imports from Tanzania = $269
Kenya wins
Burundi imports from Kenya = $47M
Burundi imports from Tanzania = $77M
Tanzania wins
Tanzania imports from Kenya = $294M
Kenya imports from Tanzania = $258M
Kenya wins
Tanzania only wins in Burundi. So who's the real giant.
Hawataki kusikia huu ukweli mchungu.Hahahaha, Kenya ndiyo ilikua biggest Exporter to all other EA Countries, tangu Magufuli ameingia madarakani vitu vimegeuka "upside-down
Kumbuka "to overtake is not an event rather than gradual process", kila mwaka tulikua tunapunguza "gap", mlikua mnaona na mlishindwa kuzuia![]()



anakimbia ligi imekua ngumu


Na ww unaamini kabisa ilikuwa kama London mwaka huo wa 1968.
Huku ni kutapatapa haiwezi kusaidia Kenya Wala KQ, kumbuka sectors zote Kenya ziko kwenye hali mbaya, tourism, Agriculture, hotculture, manufacturing, railways, Sports na nyingine nyingi.anakimbia ligi imekua ngumu
Mbona Kenya wanasaidiwa maghorofa na mchina INA maana population imekuwa kubwa kuliko uwezo wao .😂😂😂Yes. Indeed hawa watu wanaodhani kuwa maghorofa marefu Ndio inamaanisha kuwa umasikini hakuna wanapaswa kuelimishwa. Na pia watambue kuwa karibu Nchi zote za Far East zina population kubwa sana na rapid urbanization. Hivyo residential buildings nyingi kwenye miji ni maghorofa. Hence, sababu ya aina hiyo ya majengo ipo. European cities, on the other hand, are dotted with centuries old buildings. Na pia hawapendi kujenga maghorofa marefu ili ku-preserve architecture yao ya kale kama ulivyosema. Japokuwa majengo yao ni ya zamani, nchi za Europe zina HDI kubwa. Hivyo correlation wanayojaribu kuisema haina mantiki yoyote.
Kwa data zako hizo sasa huoni Tanzania kwa kipindi kifupi inakuja kwa kasi kuwa east Africa giant.Uganda imports from Kenya = $ 773M
Uganda imports from Tanzania = $743M
Kenya wins
Rwanda imports from Kenya = $278M
Rwanda imports from Tanzania = $269
Kenya wins
Burundi imports from Kenya = $47M
Burundi imports from Tanzania = $77M
Tanzania wins
Tanzania imports from Kenya = $294M
Kenya imports from Tanzania = $258M
Kenya wins
Tanzania only wins in Burundi. So who's the real giant.
Nimepita jana hapo. Bado kuunga hizo zege za barabara tu. Njia ya kuunganisha na barabara kuu nayo soon wataweka lami. Bonge ya daraja.
Mnata kushindana na giant shauri yenu 😁
Miaka 15 iliyopita, ndio Kenya ilikuwa imepita Tanzania kiuchumi. Hadi 2004, uchumi wa Tanzania ulikuwa juu ya Kenya - sahii uchumi wa Kenya unakaribia double wa Tanzania. Sasa anayeelekea pabaya?Unajua miaka 15 iliyo pita mambo yalikuwaje ? Siku zote nasema wakenya hawana akili wala awajui wanaenda wapi