Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

What makes a city Green? Where do most of the energy come from (GEOTHERMAL?) , energy uses in the city, Matatu yanatumia kitu gani green? Githeri? 🤣 How many green buildings in Nairobi? The terracotta tower? plant life and water features in the city? ukiachilia kile ki pavement walichoweka mwaka huu,i s it a walkable city? au huwa wanamanisha ukijani mimea mjini?
Let's wait for his answers 😃
 
Huaga mnaumia mnapoona matatu culture kenya imeshamiri
Eti led karne hii watu tayari wameanza kunengua wakati hku kwetu ni kawaida mpka hata hazishughulikiwi
Ni kweli imeshamiri Ila investors Wana enjoy 😃what about the commuters? Is it safe and reliable to them?
 
Yeah nimekubali kuwa Mwanza shipyard ni matope, vumbio na msitu😂😂😂

1640669830552.png
 
Ni kweli imeshamiri Ila investors Wana enjoy 😃what about the commuters? Is it safe and reliable to them?
You wuill never see a passenger standing on matatu na kufinyana kama gunia like in the case of your dalala and BRT. The only thing BRT inashindia matatu is that they are not affected by traffic jam.
 
You wuill never see a passenger standing on matatu na kufinyana kama gunia like in the case of your dalala and BRT. The only thing BRT inashindia matatu is that they are not affected by traffic jam.
Umeelewa nilicho kiuliza au umekurupuka kujibu?
Watu kusimama kwenye public transport system IPO Kwa cities nyingi worldwide!
Nakama matatu ni Bora kuliko brt why are you dreaming about having one?
 
Umeelewa nilicho kiuliza au umekurupuka kujibu?
Watu kusimama kwenye public transport system IPO Kwa cities nyingi worldwide!
Nakama matatu ni Bora kuliko brt why are you dreaming about having one?
BRT is not affected by traffic jam. That`s the only reason.
 
Tanzania will be in the list of only 8 countries in Africa to have universal electrification in Africa, Kenya will join this list in 2040 if god wishes
Tony254
Don YF
Uongo . Wewe na ichoboy01 wacheni uongo. Kenya sasa hivi inaproduce 3,000 MW. Uganda inaproduce 1,500 MW. Total Uganda na Kenya tunaproduce 4,500 MW. Tanzania baada ya kuzindua JNHPP itakuwa inaproduce 3,700 MW.
 
BRT is not affected by traffic jam. That`s the only reason.
Khaaa we Jamaa sometimes Una nishangaza!🙄🙄🙄
Is matatu safe? Is it build with passengers safety in mind? Is it reliable? and why is Nairobi investing in brt as the future mode of transportation?
 
Khaaa we Jamaa sometimes Una nishangaza!🙄🙄🙄
Is matatu safe? Is it build with passengers safety in mind? Is it reliable? and why is Nairobi investing in brt as the future mode of transportation?
Matatu is much safer than your BRT, how many times have you had that Nairobi matatu has got an accident as compared to your BRT? How many times have you seen a Nairobi matatu bust into flames the way your BRT does on a regular basis?
 
Back
Top Bottom