Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahahaha, ninajua vizuri Sana kwamba hawanipendi Hawa jamaa, ni Tony254 na Mkikuyu- Akili timamu pekee ndio wanaonikubali, ninajua jinsi wanavyonichukia, nikifika Nairobi wakinijua watanikatakata vipande vipande na kunitafunia bila hata kunipika.
Kuna majibu unawapa yanawauma sn cz unapowajibu na wewe unageuka wao yn unakuwa mkenya alafu ndio unawajibu adi raha
 
Kuna majibu unawapa yanawauma sn cz unapowajibu na wewe unageuka wao yn unakuwa mkenya alafu ndio unawajibu adi raha
Sasa unashauri nini, nipunguze doze au niendelee kukamatia chini?, Kumbuka hawa ni majirani zetu, japo ni wajinga Sana lakini kumbuka kwamba mtu hawezi kuchagua jirani, au tuinunue Kenya iwe sehemu ya Tanzania ili tuepukane na jirani wa hovyo Kama Kenya?
 
mwaka uliopita wamekusanya around $9 billion. Kwa revenues kama hizi mbna wasikope kujenga madarasa
you know that wote tumekopa hela imf tena nyie 1.5x more than us..we choose to build Emds,icu, ct scans ,expand water services ,projects,build new classrooms , help tourism sector (which already is the best in EA in terms of revenues)..

And what did your goverment do with 700mil usd you took from IMF your citizens dont even know nini kimefanyika na hiyo hela ..kila siku ni kumkopa peter kulipa paul.....Kenya received most covid related loans and grants but wananchi wanalia hawajui hela imeenda wapi...

Tz might be adding new planes and builiding stiglers HEP. kwa kutumia its own cause imf ishakataa kutupa loans on those projects ..so momey ya imf itaenda kufudia kwenye schools and other services
 
Sasa unashauri nini, nipunguze doze au niendelee kukamatia chini?, Kumbuka hawa ni majirani zetu, japo ni wajinga Sana lakini kumbuka kwamba mtu hawezi kuchagua jirani, au tuinunue Kenya iwe sehemu ya Tanzania ili tuepukane na jirani wa hovyo Kama Kenya?
Hawa wajinga hiki kitaifa chao kama ningekuwa na uwezo ningekufukuza hapa EA, hawastahili kuwa huu ukanda, walipaswa wawe West Africa huko kwa wapumbavu wenzao.
 
Sasa unashauri nini, nipunguze doze au niendelee kukamatia chini?, Kumbuka hawa ni majirani zetu, japo ni wajinga Sana lakini kumbuka kwamba mtu hawezi kuchagua jirani, au tuinunue Kenya iwe sehemu ya Tanzania ili tuepukane na jirani wa hovyo Kama Kenya?
Dozi inapaswa kuongezwa, kuna mda wanaongopa dhahiri ila huwa nawaacha tu cz najua huu uongo wa kuukanusha na kupiga msumari ni joto la jiwe tu
 
Eti South Africa 😂😂😂😂 unaropokwa tu kama kawaida. Nimekuambia hakuna transplant munaweza fanya hapo bongo bila kutuma tissue samples Kenya au nchi nyingine yenye machine ya tissue typing.


Hawataki kusikia hii.🤣🤣
 
Geti la kuingilia shuleni, Kenyan lives like a kid from his childhood to adulthood, living in public compound from elementary school to public graveyard

Lini kwenye stage yenu ya maisha your kid will open up your compound gate for you?

Like this Tanzanian life?

View attachment 2045256
Speak for yourself me where I stay I have a more modern gate than that what about you?
 
Dozi inapaswa kuongezwa, kuna mda wanaongopa dhahiri ila huwa nawaacha tu cz najua huu uongo wa kuukanusha na kupiga msumari ni joto la jiwe tu
Wajinga Sana Hawa jamaa, Huwa ninaangalia TV zao hapa YouTube jinsi wanavyofanya mijadala Yao huko NTV, Ktn, Jeph Koinange Live(JKL) na TV stations zao zingine, yaani hadi wasomi wao na viongozi wao wamejaa ujinga, ni Prof. Patric Lumumba na Davidii Ndii na Mukisaa pekee ndio wanaosema ukweli, bahati mbaya Serikali ya Kenya hawawakubali kabisa Hawa watu watatu, ambao kwakweli ndio vichwa hapo Kenya
Tony254
 
Kwasasa Wakenya wana adabu na Tz, cc Watz ndio tuna mentality kwamba Wakenya ni maskini wanaotegemea mikopo, na wanaosumbuliwa na njaa na magonjwa, huku kwetu mtaani mtu akikuomba hela ukimjibu Kenya mwanangu, hapo unakuwa umemaanisha sina kitu.
hahahahahahahahahaha, kenya wanakopa mkopo ili walipe mkopo ONLY IN KUNYALAND
 
Wajinga Sana Hawa jamaa, Huwa ninaangalia TV zao hapa YouTube jinsi wanavyofanya mijadala Yao huko NTV, Ktn, Jeph Koinange Live(JKL) na TV stations zao zingine, yaani hadi wasomi wao na viongozi wao wamejaa ujinga, ni Prof. Patric Lumumba na Davidii Ndii na Mukisaa pekee ndio wanaosema ukweli, bahati mbaya Serikali ya Kenya hawawakubali kabisa Hawa watu watatu, ambao kwakweli ndio vichwa hapo Kenya
Tony254
Mkuu hivi huyo Jeff huwa unamuelewaga?

Naonaga kama anazidisha mikogo sana kwenye utangazaji wake hadi anakuwa kero? Hasa body movements na facial expressions.. Ah totally boring anavyofinya finya na kunyanyua shingo na macho...

Bora yule Dada alieshinda tuzo ya BBC- Komla Dumor..
 
Wajinga Sana Hawa jamaa, Huwa ninaangalia TV zao hapa YouTube jinsi wanavyofanya mijadala Yao huko NTV, Ktn, Jeph Koinange Live(JKL) na TV stations zao zingine, yaani hadi wasomi wao na viongozi wao wamejaa ujinga, ni Prof. Patric Lumumba na Davidii Ndii na Mukisaa pekee ndio wanaosema ukweli, bahati mbaya Serikali ya Kenya hawawakubali kabisa Hawa watu watatu, ambao kwakweli ndio vichwa hapo Kenya
Tony254
Hivi TV za bongo huwa zina mijadala kama hii ama ni Wema Sepetu, Dayamondi, Simba na Yanga tu?
 
Mkuu hivi huyo Jeff huwa unamuelewaga?

Naonaga kama anazidisha mikogo sana kwenye utangazaji wake hadi anakuwa kero? Hasa body movements na facial expressions.. Ah totally boring anavyofinya finya na kunyanyua shingo na macho...

Bora yule Dada alieshinda tuzo ya BBC- Komla Dumor..
Na mnawafuatilia kweli kweli🤣
 
Back
Top Bottom