Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani ilikua ipeleke taifa fukara hasara?, a misuse of taxpayers money kwa ajili ya wivu tu., yani serikali inakurupuka tu na vi project bila kutilia maanani pros and cons, bora pia na wao wakue na ndege kama Kenya! ona vile ndege linapata tabu 😂 😂 😂 , mnashindana na ndovu kukunya ona mnavyo pasuka msamba kila siku 😂 😂 😂
hujielewi wewe, kubwa jinga
 
Zero point, hakuna jibu 😂 😂 😂 😂 😂 😂 bongolala kwa ubora 😂 😂 😂
Sasa ndugu yangu umepost kitu gani cha maana hapo.? Hiyo calvat au.? Kisumu kuna kipi cha maana mzee.? Mbona unataka kuongea uongo.? Kisumu ni kijijini kabisa uko watu wanatumia boda boda za baskeli.? 😂😂😂 Hiyo City center yao ndio ndogo mno
 
Na ndio zinaongoza kwa hizo airport zenu uchwara, pia akina Jambo jet.., meza wembe, ATCL halijui maana ya neno "profit" ni nini, bure kabisa 😂 😂 😂 😂 😂
wezi wa mizigo ya abiria, kq itapandwa na asiyeifahamu tu
 
Yaani pengine wajukuu wenu ndio wataviona., SGR tu inawachukua huu mda wote kasehemu kadogo! eti Natural Gas $30B., taifa nzima revenue ata nusu ya hiyo hamuwezi, na hamukopesheki kihivyo, ufukara, hizo projects ziko kwa makaratasi, ngoja pesa itolewe kisha uje 😂 😂 😂 😂 ., Bagamoyo pia msipo mpa mchina haibanduki 😂 😂 😂 😂 😂 ., hivyo vi project unaanika humu, kwa uwezo wa uchumi wenu hafifu itawachukua miaka mia moja msipo kopa, wewe ni jinga type 😂 😂 😂 😂
Wew jamaa unaongea nini .? 😂😂😂 Ni kama una bweka bweka
 
Kabarabara kamoja, no interchange anywhere.., Kisumu sio size yenu nyambaff 😂 😂 😂 ., hii Arusha ndio iko nafuu kidogo outside Dar, yet ni sehemu tu😂 😂 😂 😂 😂 ., dogo naona umejimwaya mwaya uwanjani eti?., una nini leo hii?
Kwani Kisumu Ina barabara ngapi.? 😂😂 Ile ni interchange au unnecessary calvat inside your village center, Kisumu haiwezani na ARUSHA hata dakika moja .. upo hapa kutaja taja Mwanza, unakichaa.? 😂😂😂
 
serikali ya kenya inanamilki hisa ngapi KQ ukiacha majengo? ATCL % ni mali ya watanzania
So what? sisi mabepari ba mzee., hiyo umiliki wa 100% faida iko wapi?., route za dala dala mnazo piga pia hamuna faida 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Kwani Kisumu Ina barabara ngapi.? 😂😂 Ile ni interchange au unnecessary calvat inside your village center, Kisumu haiwezani na ARUSHA hata dakika moja .. upo hapa kutaja taja Mwanza, unakichaa.? 😂😂😂
Sawa pia mimi nimeona, Tz iko na cities nje ya Dar, sawa tuliza moyo usikufe kwa pressure 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
So what? sisi mabepari ba mzee., hiyo umiliki wa 100% faida iko wapi?., route za dala dala pia hamuna faida 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
sasa tunaenda sawa na ndiyo maana wakenya na majanga kama njaa, kipindupindu, ukosefu wa usalama ni sehemu ya maisha yenu all means of kenyan economy are owned by minority and most of them are foreigners. wakenya ni wanunuzi na wachuuzi
 
Yaani pengine wajukuu wenu ndio wataviona., SGR tu inawachukua huu mda wote kasehemu kadogo! eti Natural Gas $30B., taifa nzima revenue ata nusu ya hiyo hamuwezi, na hamukopesheki kihivyo, ufukara, hizo projects ziko kwa makaratasi, ngoja pesa itolewe kisha uje ., Bagamoyo pia msipo mpa mchina haibanduki ., hivyo vi project unaanika humu, kwa uwezo wa uchumi wenu hafifu itawachukua miaka mia moja msipo kopa, wewe ni jinga type
mwaka uliopita wamekusanya around $9 billion. Kwa revenues kama hizi mbna wasikope kujenga madarasa
 
sasa tunaenda sawa na ndiyo maana wakenya na majanga kama njaa, kipindupindu, ukosefu wa usalama ni sehemu ya maisha yenu all means of kenyan economy are owned by minority and most of them are foreigners. wakenya ni wanunuzi na wachuuzi
The baboon is not seeing his ass!.., mifukara hamuna lenyu Tz, nenda kadanganye pengine wamalawi, ila wale wanawajua na wamewadharau., jidanganyeni tu
 
mwaka uliopita wamekusanya around $9 billion. Kwa revenues kama hizi mbna wasikope kujenga madarasa
$9B!!., alafu mtu anaitaja Tz kwa sentensi moja na Kenya, ina maana with big populace, raiya wengi ni fukara sana., mama kaongeza tozo wamelia! Tz is poor, a software problem!
 
Back
Top Bottom