joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Jeff Kainange anawakilisha kwa vitendo jinsi wakenya walivyo vichwani mwao, ujuaji, kujifanya wao ndio kila kitu, yaani wakitembea wanaibeba duniani yote vichwani mwao, kujifanya dunia nzima inawatizama na kuwajadili au kuwafikiria wao.Mkuu hivi huyo Jeff huwa unamuelewaga?
Naonaga kama anazidisha mikogo sana kwenye utangazaji wake hadi anakuwa kero? Hasa body movements na facial expressions.. Ah totally boring anavyofinya finya na kunyanyua shingo na macho...
Bora yule Dada alieshinda tuzo ya BBC- Komla Dumor..
Wakenya Wana tatizo la kisaikolojia "depression", ndio sababu mauaji mitaani ni mengi Sana, kitu kidogo tu utasikia wameuana wapenzi, au mama ameua watoto wake, au polisi amejiua na Mambo Kama hayo.

