Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mmeona uhuni wa wakunya? Picha mbili kazizungusha hizo hizo mradi tu Kisumu iwe sawa na Arusha
Nimekuwekea hadi estates., size ya miji yenu., pia hii hapa 👇 👇 👇 pembeni mwa bichi kidimbwi; Kondele/Migosi/carwash area(haiyonekani vizuri sijui mwenzako kaokota wapi hii picha) huu mtaa kule Tz ni mji kivyake(town), maana iko na supermarkets, shopping centres, Banks, vilabu(anasa kwa wingi), etc, yaani hapa Kisumu hii 👇 👇 ni estate tu!., Kondele/Migosi/Carwash area.., nje ya Dar hakuna mji inakaribia Kisumu., tusidanganyane., mtaniletea tu CBD zenu angles tofauti., makazi je???.., Kisumu is King 🔥 🔥 🔥
1639577184201.png
 
Mwisho wa picture ndio mwisho wa lami 😀😀😀😀

View attachment 2045160
Unajaribu kulazimisha fikra zako lakini wapi.., hiyo ni Busia Uganda road.., lami hadi ndani ya Uganda.., wivu inakutesa.., Kisumu barabara zimejengwa zikajengeka, estates ni size ya miji yenu., mko hovyo 😂 😂 😂 😂 😂
 
Estates pekee za Kisumu ni kubwa kubwa, tena zimejengwa, yaani zinaweza ku battle na CBD ya miji mingi za TZ.., Tanzania wangoje miaka 50 pengine.., Levo Kasema Dar itangoja miaka 25 kwa Nairobi., mzungu kasema Kenya kwa ujumla is the most developed country in East Africa and not just East Africa most of the Sub-saharan Africa., alizuru na Mwanza pia, akajionea second best city in Tz kabla ya conclusion, watanzania wakamuibia bag 😂 😂 😂 😂 😂 .,


 
Umeona CBD hapo kwa picha zenye nimepost wewe? hakuna!.., mimi nimekuwekea picha za nje ya CBD, yaani kuku dhihirishia mko nyuma sana, estates za Kisumu zinalingana ama kushinda CBD ya miji yenu mingi., so hizo estates zenu kwa hayo miji size ya estates za Kisumu ziko vipi? uswazi kama Dar ama?.., yaani in Kisumu estates ni size ya miji yenu, hauoni haya wewe 😂 😂 😂 😂 😂 😂
We umehawi kuziona wapi estates za Arusha.? Mbona unatusemea.? Kisumu level yake ni moshi bro na sio Arusha, unataja vigorofa vya udongo asee 😂😂 Unajua kwamba Arusha iko na CBD tatu.?
 
Excuse ya kipuzi tu, kutumia kiswahili itazuia aje mtu asiende kuwatch movie kwa cinema? Kufanya uchaguzi kwa amani itazuia aje mtu asiingie KFC kula kuku?
Daah! Tunatofautiana mengi sana watanzania na wakenya aisee,,, wakenya vitu mnavyovipenda na kuvishobokea huku kwetu watu hawana habari nazo. Mtu unaona ufahari kura kuku wa mtumba KFC kwa tsh 20k wakati hichohicho kiasi nikienda sokoni nanunua kuku wakinyeji Safi kabisaa nakula na familia pia
 
FYI:
Tanzania total revenue collection $9 billion
Kenya education budget $5 billion
Yet sisi ndio tunawashikia namba kwenye projects zote .. vip hizo bajeti Huwa mnapeleka kwenye nini.? GMT schools uko ni hovyo kabisa, Alaf uko hapa kujisifu kwamba mko na bajeti kubwa shame on you
 
Estates pekee za Kisumu ni kubwa kubwa, tena zimejengwa, yaani zinaweza ku battle na CBD ya miji mingi za TZ.., Tanzania wangoje miaka 50 pengine.., Levo Kasema Dar itangoja miaka 25 kwa Nairobi., mzungu kasema Kenya kwa ujumla is the most developed country in East Africa and not just East Africa most of the Sub-saharan Africa., alizuru na Mwanza pia, akajionea second best city in Tz kabla ya conclusion, watanzania wakamuibia bag 😂 😂 😂 😂 😂 .,



Usitusemee mzee nikupeleke ground uone vile estates za Chuga vyenye zinakaaa.?
 
Back
Top Bottom