The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Mnapambana kuichafua Tanzania lkn ndiyo kwanza mnaipa umaarufu imepelekea mpk tume double tourism receipts







Mnapambana kuichafua Tanzania lkn ndiyo kwanza mnaipa umaarufu imepelekea mpk tume double tourism receipts







unajua st Andrew's Turi weewe......The most expensive educational institution in the region
Kilimanjaro
View attachment 2043042View attachment 2043043View attachment 2043044View attachment 2043045View attachment 2043047View attachment 2043048View attachment 2043049


Kenya is more focused on manufacturing than jambo bwana nonsense.......Mnapambana kuichafua Tanzania lkn ndiyo kwanza mnaipa umaarufu imepelekea mpk tume double tourism receipts![]()
Wewe, hii shule unaifahamu?
😅😅😅 Kenya kuna shule sasa?Iko na nini......we have thousands of such in Kenya
Malls zilishapitwa na wakati, hayo ni mambo ya 1950's huko, kufika 2005, malls zilianza kufungwa kwenye nchi za watu.Hii dunia mzima ni Dar tu haina malls kwa suburbs na mnasema mkona strong middle class. 😂😂🤣🤣 Kwani wanashop na kuhangout kwa vibanda.
Sio utamaduni wa watanzania kununua vyakula supermarket, hii ni kutokana na historia ya hizi supermaket. Zilipoanzishwa miaka ya 1990 -1992 (mfano Dallas Supermaket na Best Buy Supermarket), walikuwa wanauza baadhi vitu vilivyo expire.Nikama hamna malls kwa suburbs kama kigamboni au kimara , basi tuonyesheni supermarkets za mtaani kama hii hapa. si mlisema mkona middle class kubwa.
Hakuna kitu kama utamaduni, ni pesa hamna.Malls zilishapitwa na wakati, hayo ni mambo ya 1950's huko.
Sio utamaduni wa watanzania kununua vyakula supermarket. Hii ni kutokana na historia ya hizi supermaket, zilipoanzishwa miaka ya 1990 -1992 (mfano Dallas Supermaket na Best Buy supermarket), walikuwa wanauza baadhi vitu vilivyo expire.
Mbona wakikuyu wanapenda kula makande (githeri na mokimoo), vyakula ambayo Tanzania vinaonekana vya kimasikini sana, tena huliwa wakati wa njaa. Lakini sisi tunaelewa kuwa ni utamaduni wenu tuu kula makande siyo kuwa hamna pesa.Hakuna kitu kama utamaduni, ni pesa hamna.
Aliyekuambia kwamba scale inayotumika on a higher altitude ni tofauti na inayotumika on a lower altitude ni nani? Eti Kwamba Kilimani paonekane pakubwa kwenye map when in real sense ni padogo on the ground simply because it's on a higher altitude na sehemu hapo Dar paonekane ni padogo kwenye map wakati in real sense ni pakubwa kuliko inavyokadiriwa kwenye map just because ni lower altitude. Hii ulisoma wapi ndugu?
Mimi ninavyojua ni kwamba scale ndio inadetermine ukubwa au udogo wa eneo kwenye map. Hii ya lower altitude na higher altitude nimesikia hapa na leo
Ukweli uliopo nikua dar cbd ni ndogo sana compared even to Kilimani....picha zote zimechukuliwa 500m kutoka juu sasa tuliza kende uwache kulialiaView attachment 2042357View attachment 2042358
So wale watanzania wanaenda kwa malls hawana utamaduni?😂😂😂 Excuse zingine za kijinga tu, kama disposable income yenu iko chini unakubali tu, sio kuleta excuse hapa eti ni utamaduni. Kwani unadhani malls na supermarkets zinauzwa vyakula tu.Mbona wakikuyu wanapenda kula makande (githeri na mokimoo), vyakula ambayo Tanzania vinaonekana vya kimasikini sana, tena huliwa wakati wa njaa. Lakini sisi tunaelewa kuwa ni utamaduni wenu tuu kula makande siyo kuwa hamna pesa.
Hivi unajua statistics wewe? Hao wanaotumia supermarket hawazidi hata 0.09% ya watanzania wote.So wale watanzania wanaenda kwa malls hawana utamaduni?😂😂😂 Excuse zingine za kijinga tu,
99% ya Watanzania wanapata mahitaji yao kwenye maduka ambayo yako kila sehemu. Wewe ndiyo mshamba unayedhani malls ni kitu kinachoonesha status, nimekuambia hizi malls ni zao la 1950s na sasa hivi 60% zimeshafungwa.kama disposable income yenu iko chini unakubali tu, sio kuleta excuse hapa eti ni utamaduni. Kwani unadhani malls na supermarkets zinauzwa vyakula tu.
Did you know that over 50% of malls in the US are closed right know, what does that indicate?An indication of a growing middle-class population. And just in case you didn't know, it's also a source of employment, both directly and indirectly
Hamna a strong middle class, kuna market trends hii dunia zinafanana kila mahali. Kama ni utamduni sahii hata hamngekua na civilization.Hivi unajua statistics wewe? Hao wanaotumia supermarket hawazidi hata 0.09% ya watanzania wote.
Tunatumia lugha yetu ya kiwashili, nchi nzima. Tunafanya uchaguzi zetu kwa amani, hatuna kambi za jeshi za nchi nyingine ndani ya ardhi yetu. Hiyo ni jamii iliyostaarabika.Hamna a strong middle class, kuna market trends hii dunia zinafanana kila mahali. Kama ni utamduni sahii hata hamngekua na civilization.
Closed ju ya covid but economy inapick up na wameanza kufungua. Plus US wakona online stores na zinafanya tu vizuri, Tanzania hata online bado mumeshindwa. Kenya business retail industry is thriving na inaendelea kugrow kwa kasi sana as many people join the middle class.Did you know that over 50% of malls in the US are closed right know, what does that indicate?
Anaichafuaje? Kwa kupost picha kamili?🤣Mnapambana kuichafua Tanzania lkn ndiyo kwanza mnaipa umaarufu imepelekea mpk tume double tourism receipts![]()
The economic model of the US is not comparable to ours. And still, some malls in the US are still expanding. IKEA is a good exampleDid you know that over 50% of malls in the US are closed right know, what does that indicate?
Online shopping ndiyo sasa wako hovyo kabisa. Even Jumia closed their operations in Tanzania.Closed ju ya covid but economy inapick up na wameanza kufungua. Plus US wakona online stores na zinafanya tu vizuri, Tanzania hata online bado mumeshindwa. Kenya business retail industry is thriving na inaendelea kugrow kwa kasi sana as many people join the middle class.