Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi unajua statistics wewe? Hao wanaotumia supermarket hawazidi hata 0.09% ya watanzania wote.

99% ya Watanzania wanapata mahitaji yao kwenye maduka ambayo yako kila sehemu. Wewe ndiyo mshamba unayedhani malls ni kitu kinachoonesha status, nimekuambia hizi malls ni zao la 1950s na sasa hivi 60% zimeshafungwa.
Mnapenda sana kutafuta viexcuses nyinyi watu
 
Tunatumia lugha yetu ya kiwashili, nchi nzima. Tunafanya uchaguzi zetu kwa amani, hatuna kambi za jeshi za nchi nyingine ndani ya ardhi yetu. Hiyo ni jamii iliyostaarabika.
Excuse ya kipuzi tu, kutumia kiswahili itazuia aje mtu asiende kuwatch movie kwa cinema? Kufanya uchaguzi kwa amani itazuia aje mtu asiingie KFC kula kuku?
 
Hamna a strong middle class, kuna market trends hii dunia zinafanana kila mahali. Kama ni utamduni sahii hata hamngekua na civilization.
Acha kujifanya unatujua wewe shetani, unataka kuona supermarkets zaidi ya moja kwa neighborhood moja nikuonyeshe hapa.? Na wew ufanye the same, outside your CBDs.?
 
Closed ju ya covid but economy inapick up na wameanza kufungua. Plus US wakona online stores na zinafanya tu vizuri,
Hujui kitu, malls zilianza kufungwa toka 2005, hiyo covid uliileta wewe?
Tanzania hata online bado mumeshindwa. Kenya business retail industry is thriving na inaendelea kugrow kwa kasi sana as many people join the middle class.
What is the unemployment rate in kenya?
 
Hujuikitu, malls zilianza kufungwa toka 2005, hiyo covid uliileta wewe?

What is the unemployment rate in kenya?
Najibu according to context, kwani unadhani hio part nilisema online stores zao zinafanya vizuri ilikua ku kimaksudi. You should learn to read between the lines. As of 2021 unemployment rate is 6.6% which lower than Tanzania's by more than 3%.
 
baba levo atazidi kuushang'aa huu mji
photobysirali-photo-2021_12_13_21_53.jpeg
photobysirali-photo-2021_12_12_19_15.jpeg
 
The economic model of the US is not comparable to ours. And still, some malls in the US are still expanding. IKEA is a good example
... you brought it up, saying the number of malls indicate how well the middle class is doing, So I challenged you, by showing there is no correlation between the two. IKEA is not a mall BTW, it's a department store.
 
nimekujibu kulingana na upepo wako ,hebu nijibu hayo maswali madogo tu ,

mpo na rate kubwa ya unemployment hiyo middle class utaitolea wapi?,au viestate kwenu ndiyo middle class,unasahau kundi kubwa la wakenya lenye hali chovu chokoraa kwa streets kila kona
Bongolala, usinilaximishe fikra zako potovu. Mimi ninachosema ni vitu ziko documented, wewe vitu unasema umetoa akili mwako. Kenya has the highest unemployment rate in the region, that's well documented. Kenya also has the biggest middle-class population in the region. That's documented too. Sasa wewe hapa Mwananyamala unakuja kutoa povu alafu unataka uaminiwe!
 
... you brought it up, saying the number of malls indicate how well the middle class is doing, So I challenged you, by showing there is no correlation between the two. IKEA is not a mall BTW, it's a department store.
Let's say you are in retail business and want to invest in East Africa........which city will you go to?
 
Najibu according to context, kwani unadhani hio part nilisema online stores zao zinafanya vizuri ilikua ku kimaksudi. You should learn to read between the lines. As of 2021 unemployment rate is 6.6% which lower than Tanzania's by more than 3%.
Sisi ni unemployment rate ni 2.16%, acheni bla bla, ongezeni ajira.
 
Bongolala, usinilaximishe fikra zako potovu. Mimi ninachosema ni vitu ziko documented, wewe vitu unasema umetoa akili mwako. Kenya has the highest unemployment rate in the region, that's well documented. Kenya also has the biggest middle-class population in the region. That's documented too. Sasa wewe hapa Mwananyamala unakuja kutoa povu alafu unataka uaminiwe!
those unemployed earn via online hustles like academic writing and so on
 
... you brought it up, saying the number of malls indicate how well the middle class is doing, So I challenged you, by showing there is no correlation between the two. IKEA is not a mall BTW, it's a department store.
Department stores zinapatikana kwa malls pia. Kwa developing economies kuna correlation between increase of malls and economic growth. Angalia some Asian and African countries.
 
Excuse ya kipuzi tu, kutumia kiswahili itazuia aje mtu asiende kuwatch movie kwa cinema? Kufanya uchaguzi kwa amani itazuia aje mtu asiingie KFC kula kuku?
Wewe husomi vizuri na kuelewa, nilikuwa najibu hoja yako ya civilization, nikakupa mifano hiyo ya sisi kutumia lugha moja na kufanya uchaguzi wa amani.

Tena acha ulimbukeni wa kula kuku KFC, siyo kustaaribika huko, hao kuku wanaopigwa masindano kunenepa, watakufanya uwe obese na kuanza kutengeneza kiasi kikubwa cha estrogen. Mtoto wa kiume utaanza kuota nyonyo, kama binti aliyevunja ungo juzi.
 
Back
Top Bottom