Umekosa kwani, nionyeshe mall ya Kimara basi? Dar ni jiji la kishamba. 🤣🤣🤣Kwahiyo we jamaa, maandeleo ni mitaa kuwa na malls au.? Akili hizi unazitolea wapi wewe.? 😂😂😂
Umekosa kwani, nionyeshe mall ya Kimara basi? Dar ni jiji la kishamba. 🤣🤣🤣Kwahiyo we jamaa, maandeleo ni mitaa kuwa na malls au.? Akili hizi unazitolea wapi wewe.? 😂😂😂
Leta Arial view ya hiyo East land yote tulinganisheEastlands Ina estates zaidi ya 50, so huwezi linganisha avic kiestate kimoja chenye nyumba kumi🙄
Sasa kama hizo ni cheap buildings, hizi Swahili hovels zilizosambaa kila corner Dar tutaziitaje😂😂😂 Ila we Chizi unachekesha sana picha zote ulizopost mara ooh East land ni mtaa sijui nini na nini 😂😂 kumbe ni summary ya kitu hiki hapa 👇View attachment 2042127cheap buildings kibao 😂😂😂 kama itajitahidi size yake mikocheni 👇View attachment 2042128View attachment 2042137
300 acres of stalled project 🤣🤣🤣🤣 mind you embakasi estate alone is 960 🚮🚮Vi apartments havina hata rangi alafu uje kulinganisha na huu mziki mnene, yn hapa zilipo hazijaisha lkn thamani yake ni kubwa kuliko vi apartments vyote vya Kenya, na ndiyo maana World bank ikai rank Tz mbele ya Kenya kwa mbali mno.View attachment 2042146View attachment 2042147View attachment 2042149View attachment 2042150View attachment 2042151View attachment 2042152View attachment 2042155View attachment 2042156View attachment 2042157View attachment 2042158
Utafsiri wa ramani.Ndugu, unajua kitu kinaitwa 'scale' katika usomaji na utafsiri ya maps?
Hawajakuelewa, ngoja leo niwaoneshe kwnn WB imei rank Tz mbele ya Kenya interms of real estate investment, apartments za MikocheniSize yake ni mikocheni, unabisha.?


Usijifurahishe kijana tupo hapa kulinganisha estate za middle class na ndio mana mimi sijapost kibera wala slums zenu zingine .. mbona huwa hampendi Fair comparison.? Nini shida.? Ni ukweli mtupu kwamba mahali wanakaa middle class kenya ni cheap apartmentsSasa kama hizo ni cheap buildings, hizi Swahili hovels zilizosambaa kila corner Dar tutaziitaje View attachment 2042145View attachment 2042148View attachment 2042154View attachment 2042159View attachment 2042160View attachment 2042161View attachment 2042162
Vi apartments vya bati nyekundu juuUsijifurahishe kijana tupo hapa kulinganisha estate za middle class na ndio mana mimi sijapost kibera wala slums zenu zingine .. mbona huwa hampendi Fair comparison.? Nini shida.? Ni ukweli mtupu kwamba mahali wanakaa middle class kenya ni cheap apartments






Wasichokijua ni kwamba suala la apartments DSM ni kitu cha thamani, hatujengi tu hovyo hovyo, nyumba cheap na ambazo hazina madirisha kama kwao 😂😂😂Hawajakuelewa, ngoja leo niwaoneshe kwnn WB imei rank Tz mbele ya Kenya interms of real estate investment, apartments za MikocheniView attachment 2042163View attachment 2042164View attachment 2042165View attachment 2042166View attachment 2042167View attachment 2042168View attachment 2042169View attachment 2042170View attachment 2042171View attachment 2042172View attachment 2042173View attachment 2042174
Ss ukitaka battle ya maeneo mabovu ndio utakimbia, ww shikilia kwenye vi apartments vya bati nyekundu juu basiSasa kama hizo ni cheap buildings, hizi Swahili hovels zilizosambaa kila corner Dar tutaziitaje View attachment 2042145View attachment 2042148View attachment 2042154View attachment 2042159View attachment 2042160View attachment 2042161View attachment 2042162







Tena mwambie atulie tuli, akaze kamba uko uko kwenye apartments zao cheap huu mziki wa maeneo mabovu ndio hauwez kabisa atakasirika, mana uko kwao watu wanaishi kwenye nyumba za mabati kama ndege 😂😂Ss ukitaka battle ya maeneo mabovu ndio utakimbia, ww shikilia kwenye vi apartments vya bati nyekundu juu basi![]()
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Keep consoling yourselvesWasichokijua ni kwamba suala la apartments DSM ni kitu cha thamani, hatujengi tu hovyo hovyo, nyumba cheap na ambazo hazina madirisha kama kwao 😂😂😂
Huwa wanaona tunakaa kmy basi wanadhani hatuna apartments, cc tunajenga kote kote, isitoshe wao vi apartments vya bati nyekundu juu vipo tuu Nairobi, cc zipo Dar, Zanzibar, Moshi, na Dodoma.Wasichokijua ni kwamba suala la apartments DSM ni kitu cha thamani, hatujengi tu hovyo hovyo, nyumba cheap na ambazo hazina madirisha kama kwao![]()
Aliyekuambia kwamba scale inayotumika on a higher altitude ni tofauti na inayotumika on a lower altitude ni nani? Eti Kwamba Kilimani paonekane pakubwa kwenye map when in real sense ni padogo on the ground simply because it's on a higher altitude na sehemu hapo Dar paonekane ni padogo kwenye map wakati in real sense ni pakubwa kuliko inavyokadiriwa kwenye map just because ni lower altitude. Hii ulisoma wapi ndugu?Utafsiri wa ramani.
Kabisa... unataka kusemaje rafiki.
Kwahiyo kilimani ni kubwa kuliko Dar, hivi unajisikia upuuzi unaoongea wewe jaluo?Aliyekuambia kwamba scale inayotumika on a higher altitude ni tofauti na inayotumika on a lower altitude ni nani? Eti Kwamba Kilimani paonekane pakubwa kwenye map when in real sense ni padogo on the ground simply because it's on a higher altitude na sehemu hapo Dar paonekane ni padogo kwenye map wakati in real sense ni pakubwa kuliko inavyokadiriwa kwenye map just because in lower altitude. Hii ulisoma wapi ndugu?
Mimi ninavyojua ni kwamba scale ndio inadetermine ukubwa au udogo wa eneo kwenye map. Hii ya lower altitude na higher altitude nimesikia hapa na leo
Dar kuna middle-class zaidi ya hizo changaduo za uswazi mnazoita dreamhouses?Usijifurahishe kijana tupo hapa kulinganisha estate za middle class na ndio mana mimi sijapost kibera wala slums zenu zingine .. mbona huwa hampendi Fair comparison.? Nini shida.? Ni ukweli mtupu kwamba mahali wanakaa middle class kenya ni cheap apartments









Mzee super market ni nyingi mno hapa DSM picha ndio kikwazo .. kuna supermarkets au malls kali maeneo ambayo wala hujawahi kuyaskia yakitajwa humuNikama hamna malls kwa suburbs kama kigamboni au kimara , basi tuonyesheni supermarkets za mtaani kama hii hapa. 😂😂🤣🤣 si mlisema mkona middle class kubwa.
![]()
This is beyond your comprehension bongolala. Stick to your empty rhetoric as alwaysKwahiyo kilimani ni kubwa kuliko Dar, hivi unajisikia upuuzi unaoongea wewe jaluo?