Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

NAIROBI kwisha ,

yaani miaka nenda rudi huwa hamnaga vitu vya kupost zaidi ya hizo hizo estate miaka nenda rudi,

kweli mnasafari ndefu sana,mnakazi yaziada sana yakukujenga hako kamji,bado sana
Hii dunia mzima ni Dar tu haina malls kwa suburbs na mnasema mkona strong middle class. 😂😂🤣🤣 Kwani wanashop na kuhangout kwa vibanda.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Ila we Chizi unachekesha sana picha zote ulizopost mara ooh East land ni mtaa sijui nini na nini [emoji23][emoji23] kumbe ni summary ya kitu hiki hapa [emoji116]View attachment 2042127cheap buildings kibao [emoji23][emoji23][emoji23] kama itajitahidi size yake mikocheni [emoji116]View attachment 2042128View attachment 2042137
Walikuwa wanaichukulia poa Dege Eco village, ss leo nimewaonesha jinsi ilivyo na ndiyo unaona kilio chote hicho, Wakenya wana roho mby sn.
 
Mkuu sio kweli kwamba kilimani ni pana/kubwa kushinda hayo maeneo ya Dar es salaam, tena kilimani inawezekana ikawa ndogo mno kwa hayo maeneo.

Hata kwa kuangalia tu unaweza kutambua kua Dar iko too far from ground compared to that section of Nairobi... ijapokua zote ziko measured katika same elevation.

Kwanini Iwe ivyo??? ni kwasababu Dar na Nai zina altitude/elevation tofauti kutoka usawa wa bahari, na kwenye hizo ramani haijazingatia utofauti huo.

=>Dar es salaam ipo lowland with an average of 55M(180ft) kutoka usawa wa bahari. While...

=>Nairobi ipo highland with an average of 1795M(5889ft) kutoka usawa wa bahari.

Kwahiyo bwana mkubwa Pepsi big hizo setilite image ulizoweka zinatofautiana scale hivyo basi mlinganisho wako au wenu majirani unawalakini, la sivyo utafute deference in election iliyopo kati ya Nai na Dar, ndio u-zoom zaidi Dar map ku-compensate, ukifanya hivyo kilimani itatoshana na mtaa ndani kariakoo.

Tizama screenshot hizi nimetumia same elevation lakini features zina-appear kuwa na scale tofauti kutokana na altitude ya eneo husika.

Highland: Nairobi & Arusha
View attachment 2042065View attachment 2042066

Lowland😀ar es salaam & Mombasa.
View attachment 2042067View attachment 2042068

Unaweza ukajihakikishia mwenyewe kama huamini.

Case closed.
Ndugu, unajua kitu kinaitwa 'scale' katika usomaji na utafsiri ya maps?
 
Nataka kuona malls kwa suburbs. Si mlisema mkona middle class. 😂😂
😂😂😂😂 Ila we jamaa unajifurahiisha sana . Okay unataka mall sehem gani unayoijua wewe hapa DSM na unahisi hakuna mall, me nipo kwaajili yako nitakuonyesha hapa leo
 
Leo ni siku ya vituko, Eastlands vs hotels [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe nimekuuliza nikuwekee Eastlands hutaki kujibu, narudia tena taja eneo lolote Kenya nitakuonesha Slums.
 
😂😂😂 Ila we Chizi unachekesha sana picha zote ulizopost mara ooh East land ni mtaa sijui nini na nini 😂😂 kumbe ni summary ya kitu hiki hapa 👇View attachment 2042127cheap buildings kibao 😂😂😂 kama itajitahidi size yake mikocheni 👇View attachment 2042128View attachment 2042137
Hio picha ya kwanza ni pipeline estate na sio Eastlands yote, joke is on you 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ila wakuu nimecheka sana, eti hivi ndiyo vi apartments huwa wanajisifu, vi apartments cheap with vibati vyekundu juu[emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums-2012347612.jpg
JamiiForums808275455.jpg
JamiiForums269112127.jpg
 
90% ya vi apartments havina hata rangi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hii dunia mzima ni Dar tu haina malls kwa suburbs na mnasema mkona strong middle class. 😂😂🤣🤣 Kwani wanashop na kuhangout kwa vibanda.
Kwahiyo we jamaa, maandeleo ni mitaa kuwa na malls au.? Akili hizi unazitolea wapi wewe.? 😂😂😂
 
Oya nilisema hii avic town muipumzishe jamani, Kwani hakuna zingine ni hii hii miaka nenda.🤣🤣🤣
Kwani nyinyi huwa mnapost mitaa mipya jamani.? 😂😂 Si ni hiyo hiyo East land ya cheap apartments 😂😂 a.k.a shule
 
Vi apartments havina hata rangi alafu uje kulinganisha na huu mziki mnene, yn hapa zilipo hazijaisha lkn thamani yake ni kubwa kuliko vi apartments vyote vya Kenya, na ndiyo maana World bank ikai rank Tz mbele ya Kenya kwa mbali mno.
image_downloader_1639343308773.jpg
image_downloader_1639343306969.jpg
image_downloader_1639343303423.jpg
image_downloader_1639343301536.jpg
image_downloader_1639343288502.jpg
image_downloader_1639343285024.jpg
image_downloader_1639343272935.jpg
image_downloader_1639343235227.jpg
image_downloader_1639343278945.jpg
image_downloader_1639343222255.jpg
 
Kwani nyinyi huwa mnapost mitaa mipya jamani.? 😂😂 Si ni hiyo hiyo East land ya cheap apartments 😂😂 a.k.a shule
Eastlands Ina estates zaidi ya 50, so huwezi linganisha na avic kiestate kimoja chenye nyumba kumi🙄
 
Back
Top Bottom