Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nyuma ya hizo buildings kunakaa hivi sana sanaView attachment 2040422
Hapa umetudanganya Dar huijui nyuma ya majengo ya kijitonyama pako hivi👇
Screenshot_20211119-230032_1.jpg
3008740_IMG_6632.jpg
3008022_IMG_6705.jpg
122-1536x1024.jpg
3029561_75E33D3D-AEB0-4305-8E54-58C818F8376A.jpeg
sasa ijui Kati ya makumbush hapo chini uperhil wapi panastahili kuwa CBD kwa maoni yako wewe

7ugg-1536x1024.jpg
 
The equivalent of Kilimani in Dar is slum 😂 😂 😂
View attachment 2040430
Huo ni mtaa mmoja tu unaitwa Moroko makumbusho yote haipo hivyo jitahid kuweka fair comparison
While some people are still stuck with linear development of places like kijiko ya nyama and are actually celebrating it, look at Parklands below
View attachment 2040431View attachment 2040434
Ila me Huwa mnanichekesha sana sehemu kukiwa na vijengo viwili basi tayari ni CBD 😂😂😂 umeona hii 👇
3005573_IMG_6473.jpg
rmc-building.jpg
hii ni upanga sio Posta wala sio Kariakoo ona zaidi hapa 👇
Screenshot_20211211-160531.png
Screenshot_20211211-160555.png
na Iko density kubwa kuliko kuliko huo uchafu wenu mnapost hapa na hakuna mtanzania anaweza sema eti hiyo ni CBD pia tho huduma zote zipo hapo.. tatizo ni picha tu ndio kikwazo hapa bongo.. haya linganisha na hiyo CBD yenu sijui ni uperhil 👇
3029561_75E33D3D-AEB0-4305-8E54-58C818F8376A.jpeg
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂, kwa upeo wako mdogo ni sehemu ipi inastahili kuwa CBD .?
 
Mimi nangoja kuona the 8 agreements wataput to pen and paper, hopefully it favors both sides, lakini huyu mama watu watamchukia for opening up the country, but watamwelewa siku moja
Ni muda wa biashara kuchuma pesa ,mabishano ya humu ndani hayaleti ugali mezani.

Screenshot_20211211-070923.png
 
Umeangalia picha yako ya kwanza ukaona the

Shida unajifanya huoni PPF tower hapo like your first pic ama, mbishi tu

View attachment 2040648
Hilo jengo halipo kijitonyama sasa na hata ukipiga picha kutokea kijitonyama hilo jengo hakuonekani kwa umbali huo 😂😂😂 we dar huijui piga kimya.. utachekwa.. ngoja nikuonyeshe ukipiga picha kutokea kijitonyama mpaka hapo inakaa aje 👇
DwVIiyjXcAImVV6.jpg
 
Hilo jengo halipo kijitonyama sasa na hata ukipiga picha kutokea kijitonyama hilo jengo hakuonekani kwa umbali huo 😂😂😂 we dar huijui piga kimya.. utachekwa.. ngoja nikuonyeshe ukipiga picha kutokea kijitonyama mpaka hapo inakaa aje 👇View attachment 2040656
Unasema ukipiga picha Kutoka Kijitonyama hilo jengo halionekani and at the same time unasema hii picha umepiga kutoka Kijitonyama na jengo lenyewe linaonekana vizuri sana!
 
Unasema ukipiga picha Kutoka Kijitonyama hilo jengo halionekani and at the same time unasema hii picha umepiga kutoka Kijitonyama na jengo lenyewe linaonekana vizuri sana!
Hizi ndio akili tunadeal nazo hapa bana jamaa anajipiga own goal
 
Huo ni mtaa mmoja tu unaitwa Moroko makumbusho yote haipo hivyo jitahid kuweka fair comparison

Ila me Huwa mnanichekesha sana sehemu kukiwa na vijengo viwili basi tayari ni CBD 😂😂😂 umeona hii 👇View attachment 2040602View attachment 2040603hii ni upanga sio Posta wala sio Kariakoo ona zaidi hapa 👇View attachment 2040607View attachment 2040608na Iko density kubwa kuliko kuliko huo uchafu wenu mnapost hapa na hakuna mtanzania anaweza sema eti hiyo ni CBD pia tho huduma zote zipo hapo.. tatizo ni picha tu ndio kikwazo hapa bongo.. haya linganisha na hiyo CBD yenu sijui ni uperhil 👇View attachment 2040611😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂, kwa upeo wako mdogo ni sehemu ipi inastahili kuwa CBD .?
Tuache ubishi usiokuwa na haja. Ki ufupi ni kwamba Kijitonyama imejengeka tu kando ya barabara so huwezilinganisha na Upper Hill. Hiyo Upanga unayotaja hapa pengine inawezalinganishwa tu labda na Eestleigh ama Lang'ata in terms of density
 
Huo ni mtaa mmoja tu unaitwa Moroko makumbusho yote haipo hivyo jitahid kuweka fair comparison

Ila me Huwa mnanichekesha sana sehemu kukiwa na vijengo viwili basi tayari ni CBD 😂😂😂 umeona hii 👇View attachment 2040602View attachment 2040603hii ni upanga sio Posta wala sio Kariakoo ona zaidi hapa 👇View attachment 2040607View attachment 2040608na Iko density kubwa kuliko kuliko huo uchafu wenu mnapost hapa na hakuna mtanzania anaweza sema eti hiyo ni CBD pia tho huduma zote zipo hapo.. tatizo ni picha tu ndio kikwazo hapa bongo.. haya linganisha na hiyo CBD yenu sijui ni uperhil 👇View attachment 2040611😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂, kwa upeo wako mdogo ni sehemu ipi inastahili kuwa CBD .?
Sa unataka kutuambia ety Upper Hill chambers haiko Upper Hill. Ebu google NTSA offices zinapatikana wapi uwache kujiaibisha.
 
private company's capacity building harufu ya ufisadi mtupu hapa

Kwanini serikali ikope pesa sababu ya private companies? Ufisadi mtupu huu

Hii serikali ni ya kifisadi na majizi yasiojificha

Screenshot_20211211-175331.png


 
private company's capacity building harufu ya ufisadi mtupu hapa

Kwanini serikali ikope pesa sababu ya private companies? Ufisadi mtupu huu

Hii serikali ni ya kifisadi na majizi yasiojificha

View attachment 2040702


Unajichosha ubongo wako bure kwa kuhangaika na mambo yaliyo nje ya uwezo wa akili yako..

Wewe tulia ugange njaa afu usubiri kuona maendeleo on the grounds.

Hatukurupuki kama Serikali iliyopita,tunasaka concessional loans na grants.

Soma hapa jinsi ambavyo tunalenga kutoa mikopo ya riba ndogo kwa wananchi afu ujishangae kwa kukurupuka👇👇

Screenshot_20211211-191327.png


Screenshot_20211211-191610.png
 
Unasema ukipiga picha Kutoka Kijitonyama hilo jengo halionekani and at the same time unasema hii picha umepiga kutoka Kijitonyama na jengo lenyewe linaonekana vizuri sana!
Umeelewa nilichoadika.? Nimeandika wapi kama ukipiga picha kijitonyama hilo jengo hakuonekani.?
 
Tuache ubishi usiokuwa na haja. Ki ufupi ni kwamba Kijitonyama imejengeka tu kando ya barabara so huwezilinganisha na Upper Hill. Hiyo Upanga unayotaja hapa pengine inawezalinganishwa tu labda na Eestleigh ama Lang'ata in terms of density
😂😂😂😂😂😂 Kwamba .? Unamaanisha huu uchafu ama.? 👇
maxresdefault(44).jpg
0623-OEASTLEIGH-EASTLEIGH-KENYA-SOMALIA.jpg
Kenya-Violance.jpg
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom