Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa Uhuru atahangaika aje na Kenya kuna 75 army helicopters, private helicopters ndio sasa usiseme.
Kwa sababu jeshi Lenu lipo ovyo vifaa vingi Tu aliviona tena hizo no chamtoto tu.nyie ndege zenu nasikia ni old model na zinaanguka kila Siku.
 
Kwa sababu jeshi Lenu lipo ovyo vifaa vingi Tu aliviona tena hizo no chamtoto tu.nyie ndege zenu nasikia ni old model na zinaanguka kila Siku.
Tanzanians are always full of excuses. Leo gani ilianguka? Jana gani ilianguka? What about juzi? And last week? What can you say about last? And the month before?
 
huyu [mention]Teargas [/mention] ni billionaire wetu humu ndan, lkn ni ana wivu mbaya sana.. ni billionaire lkn amekaa kaa kama mlinzi vile wa maeneo ya apartments
Whenever I start the discussion you always feel insecure. Is it that you don`t` like the truth or you are just allergic to straightforward things?
 
IMG_3308.jpg
 
Wasting a whole 2 hrs na upuzi old school za kijeshi
Hadi marais wageni wamechoka, wananchi wanaondoka!!!
Repeating the same same ujinga Kila 9th December
I concur with you BlietzKrieg, I think Magufuli was right mwanzoni mwa kipindi chake cha urais kuhusu sherehe za uhuru. Tunatakiwa kuwa na mtazamo tofauti sana na hizi sherehe za uhuru. Ni ujinga kila mwaka kukaa uwanjani Dar es Salaam au Dodoma kuangalia kwata na vifaa vya kijeshi wakati sehemu nyingine za nchi hakuna activity zozote zinazoendanda na sherehe za uhuru. Kwanza kabisa tunatakiwa kuwa na mwezi/wiki ya uhuru ambapo kunakuwa na program mbalimbali za kimaendeleo zinafanyika nchi nzima kama sehemu ya maadhimisho ya kumbukumbuku ya uhuru wa nchi yetu. Ikiwezekana siku ya kilele cha maadhimisho ziwepo pia program zinazohusisha watu kutoka mikoa mbali mbali ya nchi yetu hasa kwenye suala la maendeleo ya nchi. Tukiendelea kwa mwendo huu wa rais kukaa jukwaani na kuangalia gwaride na ndege za kijeshi itafika mahali hata hzi sherehe zitakosa msisimko kabisa lakini pia tutakuwa tunatumia fedha za walipakodi kwa mambo ambayo hayana tija sana maana kama ni suala la kumbukumbu ya uhuru tu hata mapumziko yanatosha.
 
Whenever I start the discussion you always feel insecure. Is it that you don`t` like the truth or you are just allergic to straightforward things?
Unaongea upumbavu ndio mana unarauliwa, sasa kwaakili zako chache yani jeshi la nchi nzima liwe na chopa tano.? 😂😂😂.mara Ooh raisi wetu alikua anatumia chopa zenu kwaajili ya kampani za uchaguzi 😂😂😂 Unafkiri kwanini usichekwe.?
 
It`s very shameful that a country like Tanzania only has five helicopters, no wonder your President was using Kenya helicopters for campaigning.
Which level of stupidy did you graduate recently? Huwezi hata kutofautisha private from goverment
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Unaongea upumbavu ndio mana unarauliwa, sasa kwaakili zako chache yani jeshi la nchi nzima liwe na chopa tano.? 😂😂😂.mara Ooh raisi wetu alikua anatumia chopa zenu kwaajili ya kampani za uchaguzi 😂😂😂 Unafkiri kwanini usichekwe.?
Ukweli pekee ndui mnaogopa. Ebu kataa kama hii sio ndege ya Kenya.

1639074742027.png
 
Back
Top Bottom