Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,607
- 15,711
Picha tumepiga tukiwa Kenya, so tunawezalenga upande wowoteKuna siri gani mkipiga picha ya Amboseli lazima mlenge upande wa Tanzania
Picha tumepiga tukiwa Kenya, so tunawezalenga upande wowoteKuna siri gani mkipiga picha ya Amboseli lazima mlenge upande wa Tanzania
😂😂😂😂 kisumu ni uozo wa bata yani huo mji hakuna anaeza nidanganya mm hapaHalafu kuna wapuuzi humuhumu wanajipiga kifua eti Tz ni nchi ya City moja.. 😂😂 swali la kujiuliza kama hii Kisumu ni City, Arusha iwe nini.?
Tanzania ina Helicopters tano, kama hufuraishwi unaezajinyonga.ww ndio ulinunua au ??😂😂 hebu tutajie kila moja na bei yake
mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serekali
sawa ww ndio ulioagiza tutajie bei zake sasa 🤣🤣🤣🤣🤣Tanzania ina Helicopters tano, kama hufuraishwi unaezajinyonga.
Za gharama kuliko ndege zote za jeshi la kizembe na lisilo na historia ya kushinda vitaOne of the five helicopters available in Tanzania.




Kama wewe ni mwanaume kweli ebu leta picha za helicopters zaidi ya tano na registration namba zao.sawa ww ndio ulioagiza tutajie bei zake sasa 🤣🤣🤣🤣🤣
na hii iko zanzibar mamaee😂😂😂 utahara bure nakwambiatuende pole pole, baada ya premier, which countries were the first to order? Najua South Africa Toyota ilikua supplied in August,
Kenya zimekua kabla ya launch na Toyota Kenya, niko kwa fb group ya magari, tuliziona mapema kidogo kwa streets, ata na za plate ya south sudan SSD, wewe unabweka humu tu., same na Landrover Kenya., gari zilifika kabla ya Landrover Kenya ku launch., wacha nikufunze, unaeza kununua kwa dealers, ama kwa Toyota wenyewe., am sure imefika Toyota Tanzania hii November ama December, lakini kuna matajiri walinunua direct from international dealers kabla ifike Tz rasmi, nadhani unanielewa., fanya hivi, check with Toyota Tanzania kisha rudi unielezee, get their number kwa website yao kisha uwapigie simu uulize nikama unataka kununua, ask them when they received, ama kama zimeisha when is the next delivery, uje unia hadithie., mimi sio mwehu kaka.,
Hehehe yani picha zinatafutwa kwa torch.Za gharama kuliko ndege zote za jeshi la kizembe na lisilo na historia ya kushinda vitaView attachment 2038699
Sent using Jamii Forums mobile app
ushasema ziko tano sasa nimeomba takwimu za manunuzi ww ndio umeagiza 🤣🤣🤣Kama wewe ni mwanaume kweli ebu leta picha za helicopters zaidi ya tano na registration namba zao.
Manunuzi kwani huwa mnanunua vitu? Nashuku hata hizo tano most of them ni donations.ushasema ziko tano sasa nimeomba takwimu za manunuzi ww ndio umeagiza 🤣🤣🤣
kwann ukose usingizi
Kwn tanzania km nchi ilishinda vita liniZa gharama kuliko ndege zote za jeshi la kizembe na lisilo na historia ya kushinda vitaView attachment 2038699
Sent using Jamii Forums mobile app
CCM ndiyo serikali ya Tanzania na Serikali ya Tanzania bado ni CCM.
Mbona zipo tu za kumwaga, tatizo wanaonua wanapigwa, facelift ndio inawazuzua watu wasiojielewana hii iko zanzibar mamaeeutahara bure nakwambia
na hapa kajibiwa ziko kama 6 arusha just imagine sasa
🤣🤣🤣🤣🤣povuu tayari nimekuuliza swali dogo tu manunuzi ya ndege ni kiasi gani??Manunuzi kwani huwa mnanunua vitu? Nashuku hata hizo tano most of them ni donations.
Kununua gari toyota direct sio rahisi mzeetuende pole pole, baada ya premier, which countries were the first to order? Najua South Africa Toyota ilikua supplied in August,
Kenya zimekua kabla ya launch na Toyota Kenya, niko kwa fb group ya magari, tuliziona mapema kidogo kwa streets, ata na za plate ya south sudan SSD, wewe unabweka humu tu., same na Landrover Kenya., gari zilifika kabla ya Landrover Kenya ku launch., wacha nikufunze, unaeza kununua kwa dealers, ama kwa Toyota wenyewe., am sure imefika Toyota Tanzania hii November ama December, lakini kuna matajiri walinunua direct from international dealers kabla ifike Tz rasmi, nadhani unanielewa., fanya hivi, check with Toyota Tanzania kisha rudi unielezee, get their number kwa website yao kisha uwapigie simu uulize nikama unataka kununua, ask them when they received, ama kama zimeisha when is the next delivery, uje unia hadithie., mimi sio mwehu kaka.,
Siezikosa usingizi juu ya nchi maskini kama Tanzania.🤣🤣🤣🤣🤣povuu tayari nimekuuliza swali dogo tu manunuzi ya ndege ni kiasi gani??
mkaguzi na mdhibiti wa hesabu za serekali anaekosa usingizi juu ya 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Siezikosa usingizi kwa nchi maskini kama Tanzania.