wivu gani hapo yani mm nafurahi vile mchina alivoshika kende zenu 🤣🤣🤣🤣Sijawahi kuona Ichoboy akiwa na wivu namna hii. Ichoboy punguza wivu.
kilimani ina kitu gani 😂😂😂Wapi Kilimani hapo😂Aki si Nairobi iko na CBD nyingi mapaka inachanganya wapoko
Mwenge umewashwa huo kubabeki 🙌🙌
so umenikasirikia 😂😂😂😂 mpaka unanitaja mm nakwambia huo mlima unaingiza watalii wengi kuliko masai mara nasio watalii mpaka mapato ni makubwa kuliko masai maraLeta facts hapa kilimanjaro ina attract mire visitors than maasai mara ,si umbea za ichoboy hapa, ichoboy dera si kanzu![]()
tunakuja kuchukua pesa za masikini huku wasanii ni wengi na ratiba zimejaa🤣🤣 kwenu music industry ilishakufa na sisi ndio tumeshika waache vijana wachukue hela zenu waje kujenga majumba na viwanda tanzaniaTanzania hakuna hela lazima atafute show Kenya., mifukara., cheap entry tickets, la sivyo ni muskize kwa radio tu 😂 😂 😂 😂 😂
hii vp haina nguvu za kiume 😂😂👇 au ni chakavu
😂😂😂😂😂 hata mm nimeshangaaHii ni Habari kweli?
Wachana na dera bana, taarabu zitakuharibu mseeso umenikasirikiampaka unanitaja mm nakwambia huo mlima unaingiza watalii wengi kuliko masai mara nasio watalii mpaka mapato ni makubwa kuliko masai mara
mambo kama haya hamuongelei kabisa 😀
Masai mara ndio kitu gn? Plz nijibu mana nmewahi kuisikia ila siijui kiukweli.Leta facts hapa kilimanjaro ina attract more visitors than maasai mara ,si umbea za ichoboy hapa, ichoboy dera si kanzu![]()
Ni ka-game reserve part of the mighty Serengeti NP!Masai mara ndio kitu gn? Plz nijibu mana nmewahi kuisikia ila siijui kiukweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wasenge bila kutaja anything Tanzanian hawajioni kama wapo alive 😂😂😂😂😂Curtain ya nn wkt mlima uko nyumbani na tuko mbali kimapato au hutaki.
5,801-919=4,882View attachment 2036619
Sent using Jamii Forums mobile app
Kizuri (🇹🇿) chajiuza, kibaya (kunya) chajitembeza
Mara mingi nikisema Tanzania hawajiwezi ila ni nature is taking care of them like Baboons kule porini, wananuna 😂 😂 , yaani kukula na ku kunywa sio kwa nguvu zao, la hasha! ni vya Mungu tu, nyani hawa 😂 😂 😂 😂 , kama vile nimekua nikisema Dar developed area ni sehemu moja na ndogo., yaani "city centre" ya maana ni moja tu(what we call CBD in Kenya)., Baba Levo na mzungu anaye jiita Sabbatical justified my argument on that, na ile ya nature taking care of poverty stricken bongolalas, huyu 👇 👇 dada kadhibitisha., nendeni muwanyonge hawa sio wazalendo kabisaaa 😂 😂 😂 😂 😂 , Sabbatical msimpe visa ya kuingia bongo tena, ni beberu., 😂 😂 😂
View attachment 2036027
View attachment 2036039
View attachment 2036048
Nimeufuatilia hii project tunapaswa kuwapongeza itabadili sura ya Nairobi kwa kiasi kikubwa!!!!Labda shida ije tu kwenye malipo I mean Toll fee!!!Hongereni!!!!