yani mtu akipanga bed sitter tayar middle class wakat ndoto ya aradhi hana wala ya nyumba mpaka kiyama 😀😀😀😀Kwa hivyo Nairobi mtu anaishi slum na anamiliki gari. Sasa si ukubali tu basi kwamba slum dwellers wetu wako na unafuu kuwaliko. Wakati mtu anamiliki gari jamani na anaishi slum huoni ni maajabu?!
Amboseli National Park, Kenya 😂 😂 😂
Anafosi tufananeStop being desperate. Unasumbuka na Nairobi bure Kijana wa Tandale. Hii picha ya Dar kuna nini kilichobaki?
View attachment 2036589







So njaa imeisha tayariSasa unatarajiaje nchi yenye middle-class population kubwa kama hii yetu watu washindwe kulipa visenti vya toll fee? Hiyo inaweza tu shinda watu kama nyie








Hii wanapita kimyakimya😂😂😍😍 btw this is my favorite interchange of all 10
Na walitumia ndege ya intelligence kumbeba iliyopita chini ya ardhiSo you've just confirmed what we've been saying here all along. That Magufuli was secretly airlifted to Nairobi wakati nyinyi mkiaminishwa alikuwa bize anachapa kazi.









So chakula anapewa na gari?Kwa hivyo Nairobi mtu anaishi slum na anamiliki gari. Sasa si ukubali tu basi kwamba slum dwellers wetu wako na unafuu kuwaliko. Wakati mtu anamiliki gari jamani na anaishi slum huoni ni maajabu?!






Hapa magufuli karibu aweke curtain
Si wewe ndo umesema 75% ya Nairobians hawatatumia hiyo Barabara coz ni watu wa slums? Ndio nakuuliza hivi, expressway inajengwa kwa ajili ya magari au wapita kwa miguu?yani mtu akipanga bed sitter tayar middle class wakat ndoto ya aradhi hana wala ya nyumba mpaka kiyama 😀😀😀😀
mm nasubiria maumivu twitter na nimesave nitakukumbusha wakat wa maumivi ya mchina kwenye toll zake kwa muda wa miaka 30 🤣🤣🤣
mchinaaaa🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
nani anamiliki gari na anaishi slum hebu tuoneshe hapa 😂😂😂😂😂
Hapa magufuli karibu aweke curtainView attachment 2036615
Hebu weka picha ya hizo 10 interchangesHii wanapita kimyakimyabtw this is my favorite interchange of all 10








Ndio, ile ya nyumbu
So you've just confirmed what we've been saying here all along. That Magufuli was secretly airlifted to Nairobi wakati nyinyi mkiaminishwa alikuwa bize anachapa kazi.
Curtain ya nn wkt mlima uko nyumbani na tuko mbali kimapato au hutaki.Hapa magufuli karibu aweke curtainView attachment 2036615









Umasikini ndio imepungua. Mko na masikini wengi kutuliko
Na adabu kawatia kweli kweliYule Jamaa alikuwa na roho mbaya sana. Ingekuwa ni uwezo wake, angehamisha Kenya apeleke kwingine





Your statement isn't different from what we've always said here about MagufuliHow confirmed, did I mentioned anything about JPM and Nairobery!?