Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa hivyo Nairobi mtu anaishi slum na anamiliki gari. Sasa si ukubali tu basi kwamba slum dwellers wetu wako na unafuu kuwaliko. Wakati mtu anamiliki gari jamani na anaishi slum huoni ni maajabu?!
yani mtu akipanga bed sitter tayar middle class wakat ndoto ya aradhi hana wala ya nyumba mpaka kiyama 😀😀😀😀

mm nasubiria maumivu twitter na nimesave nitakukumbusha wakat wa maumivi ya mchina kwenye toll zake kwa muda wa miaka 30 🤣🤣🤣

mchinaaaa🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

nani anamiliki gari na anaishi slum hebu tuoneshe hapa 😂😂😂😂😂
 
Amboseli National Park, Kenya 😂 😂 😂
FB_IMG_1638265762965.jpg
 
yani mtu akipanga bed sitter tayar middle class wakat ndoto ya aradhi hana wala ya nyumba mpaka kiyama 😀😀😀😀

mm nasubiria maumivu twitter na nimesave nitakukumbusha wakat wa maumivi ya mchina kwenye toll zake kwa muda wa miaka 30 🤣🤣🤣

mchinaaaa🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

nani anamiliki gari na anaishi slum hebu tuoneshe hapa 😂😂😂😂😂
Si wewe ndo umesema 75% ya Nairobians hawatatumia hiyo Barabara coz ni watu wa slums? Ndio nakuuliza hivi, expressway inajengwa kwa ajili ya magari au wapita kwa miguu?
 
So you've just confirmed what we've been saying here all along. That Magufuli was secretly airlifted to Nairobi wakati nyinyi mkiaminishwa alikuwa bize anachapa kazi.

How confirmed, did I mentioned anything about JPM and Nairobery!?
 
Back
Top Bottom