The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Iko wapi stadium hapo, have u ever seen stadium?of all the stadiums ziko under construction napenda hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Iko wapi stadium hapo, have u ever seen stadium?of all the stadiums ziko under construction napenda hii
jibu basi ya mchina au sio ya mchina 🤣🤣🤣So baada ya kuchanganyikiwa sasa unajifariji? 😂 😂
Uliza Baba Levo hilo swali, atakupa jibu
munatamani hii thread ifunge 🤣🤣🤣 lakini wapi wembe ni ule uleWhat a response! 😂
Hawa waliibiwa hadi wakaibiwa na akili zao pia
itatutesa au itawatesa nyinyi kulipia toll fee🤣🤣🤣🤣 yani mchina hamutamsahau mpaka kizazi cha mwishoHii Expressway si tutatesa nayo midanganyika! Look at that first picture. Epic!
is changamwe three level interchange??🤣🤣We have three, kumbuka Changamwe interchange in Mombasa.
Wewe unafaa utafute pahali wanauza akili ukanunue, kwani ulitaka wajenge alafu tutumie bure?itatutesa au itawatesa nyinyi kulipia toll fee🤣🤣🤣🤣 yani mchina hamutamsahau mpaka kizazi cha mwisho
one pic imemaliza kila kitu😂😂😂
jibu swali ni ya mchina au sio ya mchina??🤣Wewe unafaa utafute pahali wanauza akili ukanunue, kwani ulitaka wajenge alafu tutumie bure?
Ila kwa kweli pori ni kubwa sana Nairobi, safi sana EA inapaswa ibadilike bhn wkt cc tunajenga napenda kuona vinchi vingine navyo vinajitahidi ukanda huu ili tuibebe Africa kwa pamoja.
hakuna project kenya inayo zaidi ya hii project ya mchina ambayo mutalwenda kulia kama mbwa kwenywe toll za mchina na tunasubiri maumivu kuleeee twitter😂😂 na pia tutakumbushana musijal
Kuanzia asubuhi mpaka usiku wanapost project moja wkt cc tumepost project zaidi ya 10, mara tumepost ufunguzi wa kiwanda kikubwa cha electrical appliances mara tumepost BRT, mara meli mara roads mara JNHPP mara Air Tanzania hadi rahahakuna project kenya inayo zaidi ya hii project ya mchina ambayo mutalwenda kulia kama mbwa kwenywe toll za mchina na tunasubiri maumivu kuleeee twitterna pia tutakumbushana musijal







