Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wacha ujinga kipindi TPA inabuniwa tender ya K&M Archplan ilikuwa-procured na Dar es Salaam Office iliyokuwa chini ya managing partner Prof wa Kibongo! Ndo maana tangu ajitoe hamna tender za maana K&M Archplan inapata!
Safi Sana 👏👏
 
Wacha ujinga kipindi TPA inabuniwa tender ya K&M Archplan ilikuwa-procured na Dar es Salaam Office iliyokuwa chini ya managing partner Prof wa Kibongo! Ndo maana tangu ajitoe hamna tender za maana K&M Archplan inapata!
Wewe wacha hasira. Parliament yenu mpya huyu Mkenya ndiye aliidesign. Sio jengo la TPA pekee. Nenda kalilie chooni.


Cc NairobiWalker
 
Baboon wewe na nyang'au wenzako
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
1638956538809.jpeg
 
mambo kama haya hamuongelei kabisa 😀

So what?.., bado tunajaza ndege domestic flights na wameongeza fare., tunalipa fare na kununua mafuta ya kupika, wivu isikunyonge leo., 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom