ndughuri msuya
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 2,065
- 3,218
wanaomba hii thread ifungwe hata leo😂😂
[/Q Watanzania wabaya sana mlimtanguliza mkenya kwy sgr ili mumfuge goli la kisigino,mumwombe radhi jirani.
wanaomba hii thread ifungwe hata leo😂😂
[/Q Watanzania wabaya sana mlimtanguliza mkenya kwy sgr ili mumfuge goli la kisigino,mumwombe radhi jirani.
Hahaha!!yani hana uhakika, alafu extra cost ikiwepo ataongezea sio


Wewe zenye mlileta hapa ulipata ni za mwaka gani?We Jamaa mbona mko desperate hivo🙂 picha za 1999 daah!View attachment 2030443View attachment 2030444
Kumbe likija ni suala la kwenu mnaumwa sio


Zipi hizo?Wewe zenye mlileta hapa ulipata ni za mwaka gani?
Unaweka kitu na uhalisia umenielewa 🙂Kumbe likija ni suala la kwenu mnaumwa sio![]()
Ya kwetu mliyopost ni ya liniUnaweka kitu na uhalisia umenielewa![]()
Umeshajieleza Tabia zenu 🙂Unafiki mbaya sana![]()
Muulize mama ngina🙂Ya kwetu mliyopost ni ya lini

Zipi hizo?
Njoo kilima hewa nikuagizie sangara😃😃Nimefika Mwanza naona Mv Mwanza ikitake shape real good, alafu nikakumbuka hawa jamaa zetu jana wakituringishia ‘mtumbwi’ wao wanauita Mv Uhuru ukiwa kwenye Slipway ya shimoView attachment 2030490
Hapo yellowstone tuWazee wa movie naona series
sci-fi,drama, nzuriView attachment 2030478View attachment 2030479View attachment 2030480View attachment 2030481View attachment 2030482View attachment 2030483