Shebby01
JF-Expert Member
- Nov 11, 2020
- 2,520
- 5,872
Mmmmh upendi sci-fi?Hapo yellowstone tu
Mmmmh upendi sci-fi?Hapo yellowstone tu
Sizipendi lkn the 100 nimeifuatiliaMmmmh upendi sci-fi?
Nimefika Mwanza naona Mv Mwanza ikitake shape real good, alafu nikakumbuka hawa jamaa zetu jana wakituringishia ‘mtumbwi’ wao wanauita Mv Uhuru ukiwa kwenye Slipway ya shimoView attachment 2030490





Njoo kilima hewa nikuagizie sangara![]()
Hiyo imekaa vizuri brother, natumai ntakua nipo around 😃😃Nikipata wasaa ntakutafuta Shebby boy alafu tupate picha matata za Rock City tuwachane hawa jamaa zetu.
Yaani home kabisa bro ahsante Sana for the news👏👏👏👏👏Mpanda to Tabora road 216km.
99% done...very important road kwa Western Tz...Western Tz ndo wanaongoza kwa production ya food crops..Goverment ifanye kila hila most roads zipate lamiView attachment 2030665
Hiki anachozindua ni kina nani?
kuna kingine cha Elsewdy cha nyaya za umeme under construction. kipo Pwani. kuna kile kingine cha cement kule Tanga (wanasema hiki ni kikubwa zaidi ya Twiga cement)
Hiki anachozindua ni kina nani?
Like seriously how does a whole Tanzanian president die in a Nairobi slum hospitalNairobi Slum hospital
Like seriously

hizi picha ni kali