Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapa umekosea...

"Installation of electrical cables or lines" hii tayari imefanyika,
electricity inakuwa transimiited kwenye hizo lines.

Process yote inaitwa electrification.
Huyu anajua installation of power Wana fanya tanesco na sio the great trc sema ubishi 🙂
 
Ukiangalia mabishano yenu utagundua kabisa wakunya hawana akili.

Unamuuliza hiki anakujibu kile!

Inasemekana haya ndio maswali waliyopewa wakafeli 290 kati ya 300.

According to the Standard, the questions included the following five multiple answer questions.

1). My teacher_______ from the United Kingdom.
a).are
b). is
c). am
d). be


2). What’s _______ name?
a). —
b). his
c). him
d). he


3. My friend_______ in London.
a). living
b). live
c).lives
d).is live


4. Where_______?
a). works Tom
b). Tom works
c). Tom does work
d). does Tom work


5). I_______ coffee
a). no like
b). not like
c). like don’t
d). don’t like
Hayo ndo maswali waliyochemka wajuba????..duh
 
Wewe jua kila kitu ikona its own foundation, and thats where ours lies, whether ni scholarship or not ni Kenyans still who went to study abroad
Sasa alikuekuambia Watanzania hawakusoma nje hata kabla ya uhuru ni nani? Leta wanaoenda kwa hela zao wenyewe tuone kama mna ubavu
 
FB_IMG_16383748365655796.jpg
 
Ndo maana waarabu wanawapiga mabakora Mna roho ngumu Sanayaani ukafanye kazi za ajabu upost picha upo UAE
Dah!

 
Bwahahahaa!!!acha bone marrow tu, kuna na vingine vingi hko kwenu hata hamna ndoto navyo

..

The Aga Khan University Hospital is the first in the region to offer the Neurointerventional surgery, a less invasive procedure

...

Hahaha, hakika umepambana kuandika those medical terminologies
Hope you googled
 
Tanzania worldwide



Rais leo kawapongeza wale wachezaji walemavu kufuzu kombe la dunia, Ilani ya CCM inasema itajenga uwanja Dodoma. lkn mpka sasa siwaelewi hawa viongozi, mpka leo hawaoni umuhimu wa kujenga viwanja kama vya Mkapa zaid ya viwili au vitatu?

hela ya Boeing moja kubwa inatosha kujenga hata viwanja vitatu, lkn siwaelewi kbsa hawa viongozi hasa Rais hawafikirii kujenga
IMG_3233.jpg
 
Rais leo kawapongeza wale wachezaji walemavu kufuzu kombe la dunia, Ilani ya CCM inasema itajenga uwanja Dodoma. lkn mpka sasa siwaelewi hawa viongozi, mpka leo hawaoni umuhimu wa kujenga viwanja kama vya Mkapa zaid ya viwili au vitatu?

hela ya Boeing moja inatosha kujenga hata viwanja vitatu, lkn siwaelewi kbsa viongozi hawafikirii kujenga
View attachment 2029643
Kwani hii nchi ina kiongozi?
 
Back
Top Bottom