Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya hebu wacheni aibu ndogo ndogo basiii, hii ni hospitali ya kufanya bone marrow transplant hii? Nairobi hospital
Screenshot_20211201-224947.jpg
Screenshot_20211201-224909.jpg
Screenshot_20211201-224847.jpg
Screenshot_20211201-224829.jpg
Screenshot_20211201-224805.jpg
 
Jamaa wanashangaa tumewaachaje kwa miaka 6 tu, tumefanya mambo watakayofanya wajukuu zao, Wakenya hawatokuja kuwa na BRT system kwa miaka 20 ijayo, hawatakuwa na electrical SGR kwa miaka 100 ijayo na hawatafanya bone marrow transplant kwa miaka 200 ijayo.

Inauma sana
 
The Muhimbili Hospital👇🏽
images (48).jpeg

ubaya ma Daktari wa Tz walisomea Bachelor of Medicine (MBChB), kwa lugha ya kiswahili.. sasa hao ni madaktari kweli wakuu!!?🤔
 
Back
Top Bottom