The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Kwenye sector ya afya tumeanza kuweka urafiki na India, yani madokta wetu waliopata elimu bora wameanza kupigiana simu na wenzao wa India, ma Dr wa Kenya wabaki kupigiana simu na wenzao wa Uganda, Congo, Djibout, Somalia na Sudan 

























