Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

huyo mpuzi huwa simjibu. Kama ungekuwa na uelewa ungerealize anayoongea ni uharo.
usinijibu mm ila post ulichopost kwanza 😂😂😂👇👇👇👇 utueleze vzr watazamaji

 
Hakuna Safar yoyote ya kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine hapa tz ambapo hakuna barabara ya lami,na usichokijua tz ni kubwa geographically mara moja na nusu kwa kenya, kwahyo ni moja kwa moja tz iko na km nyingi za lami kuliko KE .. mkitaja suala la barabara mnaniacha hoi sana
Hakuna mwenye amepinga but the state of those roads hazifikii kenya, sijui mnaimba quality hapa aje, your quality roads labda mjini i.e barak obama road, new bagamoyo and such nje ya mjini bara bara kidogo ni ya zamani especially moro road juu ya trucks
 
NairobiWalker wamekimbia na ishu yao ya bone marrow

Wamesahau km huku kwetu kuna mpka booking online ndio ukakute na hao mabingwa wa kupandikiza kabisa
Bado namtafakari huyu mbwa, alafu kuna wehu wame like, Wakenya huwa hawapingani kwa uozo wowote ule, ni wajinga sana hawa jamaa, ona hapa hizi kima zime like
Screenshot_20211130-213659.jpg
 
huyo mpuzi huwa simjibu. Kama ungekuwa na uelewa ungerealize anayoongea ni uharo.
ww usinijibu mm ila tunaomba post ulichopost mwanzo utueleze sisi watazamaji 🤣🤣🤣🤣🤣 komora096 waswahili husema nyumba ya gorofa haifugi kuku

 
Huyo huaga ni fuata upepo mazee, yani hata hajui ka screenshot nini
Yeye ana support tu
kataa sasa sio ww uliokua bata mnyonge 🤣🤣🤣👇👇👇👇👇

 
Back
Top Bottom