Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
unawanyoosha mzeeAerospace Engineering to Europe
unawanyoosha mzeeAerospace Engineering to Europe
kabisaWakenya mpo wapi? Kama nawaona jinsi mnavyosakura backfire
kwenye hili wala msijisumbue sababu hamna huo uchumi wa kusomesha first world's universities
![]()
kabisa huo ndiyo ukweliMikunya inaenda kufundishwa biashara ni nini.![]()
ujumbe umefika huoKuanzia leo ni marufuku wakenya kusema wanafunzi wa Tanzania wanategemea vyuo vyenu kupata elimu bora, kuanzia leo ni marufuku wakenya kusema mna wanafunzi wengi abroad kuliko Tanzania
Tanzania inaongoza Africa kwa kuwa na wanafunzi wengi kwenye international universities worldwide
Therefore ni marufuku Kenya kujilinganisha na Tanzania kiuchumi and social standards of life
ndinga zao zina swimcapital city of kenya
Tukiwaambia bado wamelala wao huona ni km tuna wakebehi kumbe akili zao ndio mgandoAga Khan Hospital.
Bone Marrow Transplant Cost in Kenya | BMT in Kenya
Get a FREE Quote & Expert Advice from top Bone Marrow Transplant hospitals in Kenya. Lyfboat connects you directly with Top Bone Marrow Transplant Specialists for quality care at Affordable prices. Get a FREE Second Opinion!www.lyfboat.com



Naona ishu ya bone marrow umeachana nayoHamjawahi na hamuwezi kufanya bone marrow transport, weka ushahidi, sisi sio level yenu


🤣🤣🤣NairobiWalker wamekimbia na ishu yao ya bone marrow
Wamesahau km huku kwetu kuna mpka booking online ndio ukakute na hao mabingwa wa kupandikiza kabisa
Mombasa hoiyee
Huwa nacheka sana nikiona Wakenya wanajilinganisha na Tz kwenye huduma za afyaHahahaha, weka ushahidi Kama Kuna nchi yoyote hapa East and Central Africa iliyowahi kufanya bone marrow transplant. Tanzania runs this region in many aspect![]()






Kwani nini shida kati ya kunya land na roads marking


For the sake of battle huwezi kubali najua.Hamtukaribii kwa barabara na hio ndio ukweli, kenya we factor in alot of climbing lanes, hio barabara ya dar-morogoro-iringa shida tu, especially since imejaza trucks to zambia
Acha kujifanya unaijua Tanzania we fala, ni tabia yetu ya kutosema kila kitu kinachoendelea, tukiamua kusema kila kitu ndio mtajua tumewapiga parefu.. owky hii ni vid ya 2 years ago, mradi wa zaidi ya 600 billions kutoka lake Victoria kwenda Tabora 👇Show me proof you're harvesting water from Lake Victoria to those reasons. Acha kupayuka.