Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa wanao visit Dubai na SA, Tanzania imeshikania na South Sudan. Hamna pesa.
More Kenyans visit SA than Tanzanians, despite you having Visa free access.

Dubai ata tusiongee. There are 10 Kenyans visiting Dubai for every one Tanzanian.
Wakenya wanaokwenda Dubai wengi ni wale wa kazi majumbani.
 
Umehamisha magoli kutoka hoja yangu kwa wakenya Kufeli mtihani wa lugha Uingereza. Hakuna ushahidi wa watanzania kufeli mtihani huo.
Nimeongezea tu. Sijahamisha.

Huoni kuwa maneno haya yanahusu wakenya zaidi kuliko sisi?
Based on the context of the argument, your Tanzanian friend failed to comprehend an English statement and tried to justify it on the premise that it is a colonial language and he doesn't have to be good in it.
 
oneni kitu amepost huyu kilaza View attachment 2028596
Jamaa cjui kwnn huwa ni waongo, cjui wanafaidika na nini, wanaona wakishaweka article wengi watakuwa hawasomi na ndiyo maana wala ckujisumbua kusoma mana iko wazi kwa East and Central Africa ni cc pekee tunaofanya bone marrow transplant hata tweet imesema hivyo, yn watu waweke tweet world wide alafu waongope?

Wakenya kwa ss tumewaacha mbali mno katika sector ya afya, mtazoea taratibu na mmeshaanza kuja kufanyiwa matibabu hapa Tz, na co nyie tu nchi nyingi zimeanza kuja Tanzania kwa matibabu.
 
leo nimecheka sana kilaza mmoja kila za mkoja kaskia tanzania imekua nchi ya 6 africa kufanya bone marrow transplant sasa kaleta hii link kudanganya umma😂😂😂 ohhh my ribs
E48DF7DE-F47E-4032-8266-9FAEA22A4558.png
 
Jamaa cjui kwnn huwa ni waongo, cjui wanafaidika na nini, wanaona wakishaweka article wengi watakuwa hawasomi na ndiyo maana wala ckujisumbua kusoma mana iko wazi kwa East and Central Africa ni cc pekee tunaofanya bone marrow transplant hata tweet imesema hivyo, yn watu waweke tweet world wide alafu waongope?

Wakenya kwa ss tumewaacha mbali mno katika sector ya afya, mtazoea taratibu na mmeshaanza kuja kufanyiwa matibabu hapa Tz, na co nyie tu nchi nyingi zimeanza kuja Tanzania kwa matibabu.
nakwambia akipata link kenya imefanya hvo mm nafunga acc jamii forum 😂😂😂😂

kaleta link yenyewe ndio hiii sasa 😂😂😂

fungueni hii link sasa muone yaliyomo ndani😁😁😁😁😁😁😁
 
Nimeongezea tu. Sijahamisha.


Based on the context of the argument, your Tanzanian friend failed to comprehend an English statement and tried to justify it on the premise that it is a colonial language and he doesn't have to be good in it.
Usijifanye huoni, mjibu ichoboy01 kwenye bone marrow transplant issue alafu tuambie ulidanganya kwa faida gn.
 
nakwambia akipata link kenya imefanya hvo mm nafunga acc jamii forum

kaleta link yenyewe ndio hiii sasa

fungueni hii link sasa muone yaliyomo ndani
Sasa kuanzia leo mjadala wa sekta ya afya tumeufunga rasmi.
 
Jamaa cjui kwnn huwa ni waongo, cjui wanafaidika na nini, wanaona wakishaweka article wengi watakuwa hawasomi na ndiyo maana wala ckujisumbua kusoma mana iko wazi kwa East and Central Africa ni cc pekee tunaofanya bone marrow transplant hata tweet imesema hivyo, yn watu waweke tweet world wide alafu waongope?

Wakenya kwa ss tumewaacha mbali mno katika sector ya afya, mtazoea taratibu na mmeshaanza kuja kufanyiwa matibabu hapa Tz, na co nyie tu nchi nyingi zimeanza kuja Tanzania kwa matibabu.
mkenya anaeza kufa na njaa akajisifu ameshiba trust me hawa watu wanamaisha ya ajabu kuliko mnyama yoyote duniani 😂😂😂😂😂 yuko tayar amfurahishe mzungu aonekane kaendelea kumbe analala slum kwneye maisha hata nguruwe hawezi ishi

usia wangu kwenye maneno 100 chukua moja uondoke 😀😀😀

nimeaona na huyu komora096 nayeye anamshangilia kiazi mwenzie bila kujua anashangilia nn alaf anakwambia eti wameimaliza mada 😁😁😁
 
Aga Khan Hospital.

Watanzania kujeni muone huyu kima, watu tunaweka pesa kuwekeza wao wanaiba alafu bado wanataka kushindana
 
Back
Top Bottom