The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Sawa ila cc ni zaidi yenu na tumewaacha mbali sn, unabisha?Despite Kenya being arid, there's very good supply of clean water in Kenya. We have more dams and generally a better supply.
Sawa ila cc ni zaidi yenu na tumewaacha mbali sn, unabisha?Despite Kenya being arid, there's very good supply of clean water in Kenya. We have more dams and generally a better supply.
Wakikopa kuna hako kamsemo ka riba nafuu si wanakapenda sana kujifariji nakoYani hata kujenga shule mnakopa wana-tumejenga na hera zetu wenyewe.![]()


Unajuaje zenu hazijaliwa? Unadhani huwa zinaliwa 100%. Tofauti yetu, tunademand accountability from government.....Sio kama nyie mnaliwa mkiangalia.wote tumepewa mkopo na IMF.. zenu zimeliwa na kuwaneemesha akina Uhunye na Raila.. sisi tumezitumia kujenga shule, kununua ambulance, kuchimba visima..
umejiona jinsi huna akili na ulivyo boya kuchekacheka ovyo!![]()
Sisi shule tunajenga wenyewe, vifaa vya ma hospitalini tunanunua wenyewe, masoko pia vile vile...wote tumepewa mkopo na IMF.. zenu zimeliwa na kuwaneemesha akina Uhunye na Raila.. sisi tumezitumia kujenga shule, kununua ambulance, kuchimba visima..
umejiona jinsi huna akili na ulivyo boya kuchekacheka ovyo!![]()
Dhibitisha maneno yako.Sawa ila cc ni zaidi yenu na tumewaacha mbali sn, unabisha?
Understanding a language is not being a slave. Failing to understand a crucial language used officially in your country is being a slave. But would a bongolala know.🚮🚮
Kama wale wauguzi wenu waliofeli Uingereza.Ukijua kiingereza utaelewa na kuinterpret maandishi yaliyoandikwa kwa kiingereza na kuacha kuwa kilaza kama ulivyo.
Ule mtiani wangepewa wabongo sidhani kuna mwenye angepita.Kama wale wauguzi wenu waliofeli Uingereza.
Unaanza kuhamisha magoli.Ule mtiani wangepewa wabongo sidhani kuna mwenye angepita.
Nimeamisha aje? Sijakana ulichosema. Nimeongezea tu ingekuwa bongo, mngeanguka wore.Unaanza kuhamisha magoli.
Tuonyeshe shule kenya iliyojengwa kw mkopo..serekali yetu ni ya kipigaji lkn hawatafikia levels hzo


Umehamisha magoli kutoka hoja yangu kwa wakenya Kufeli mtihani wa lugha Uingereza. Hakuna ushahidi wa watanzania kufeli mtihani huo.Nimeamisha aje? Sijakana ulichosema. Nimeongezea tu ingekuwa bongo, mngeanguka wore.
Huoni kuwa maneno haya yanahusu wakenya zaidi kuliko sisi?Understanding a language is not being a slave. Failing to understand a crucial language used officially in your country is being a slave. But would a bongolala know.🚮🚮
Nilitaka nimjibu nikaona umeshamjibu.wote tumepewa mkopo na IMF.. zenu zimeliwa na kuwaneemesha akina Uhunye na Raila.. sisi tumezitumia kujenga shule, kununua ambulance, kuchimba visima..
umejiona jinsi huna akili na ulivyo boya kuchekacheka ovyo!![]()



Ss msione wivu tunapowaonesha mahali pesa zimeenda, hii ndiyo tofauti ya akili kubwa na ndogo.Hazijaliwa zote. Zimeliwa kidogo na ujumbe umeupata kisa tumeteta. Hapo kwenu zikiliwa zinazama tu - labda mwanahabari wa nje ayatoboe.![]()
Ss msione wivu tunapowaonesha mahali pesa zimeenda, hii ndiyo tofauti ya akili kubwa na ndogo.
oneni kitu amepost huyu kilaza 🤣🤣🤣🤣Aga Khan Hospital.
Bone Marrow Transplant Cost in Kenya | BMT in Kenya
Get a FREE Quote & Expert Advice from top Bone Marrow Transplant hospitals in Kenya. Lyfboat connects you directly with Top Bone Marrow Transplant Specialists for quality care at Affordable prices. Get a FREE Second Opinion!www.lyfboat.com
komora096 hebu fungua hii link utuoneshe wapi kenya imefanya bone marrow transplant 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Aga Khan Hospital.
Bone Marrow Transplant Cost in Kenya | BMT in Kenya
Get a FREE Quote & Expert Advice from top Bone Marrow Transplant hospitals in Kenya. Lyfboat connects you directly with Top Bone Marrow Transplant Specialists for quality care at Affordable prices. Get a FREE Second Opinion!www.lyfboat.com
nimefungua link nimekutana na huu ushuzi alaf unamsifu bwege mwenzio 😂😂😂NairobiWalker wamekimbia na ishu yao ya bone marrow
Wamesahau km huku kwetu kuna mpka booking online ndio ukakute na hao mabingwa wa kupandikiza kabisa
Naona ishu ya bone marrow umeachana nayo
Yani nyie mkifanya kitu basi mnajikuta duniani kote hakijawahi tokea, ona mnavyoumbuka kizembe sasa
hii 🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇🤣🤣🤣
Hawa majamaa vitu vingine wameanza kuviona juzi wanaona maajabu. Kama Ile ishu ya skyscrapers.
Si nilidhani debt to GDP ratio ya Kenya ni 90% according to ichoboy01 ,Geza Ulole and joto la jiwe ? Ni aje tena unatuchanganya na ya 69%?