Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tapatalk_1638263908910.jpg

Dodoma 2121
 
Play road with zebra crossing and marks za kijua kali on it!!!! my foot
You won't understand because yours is a bogus state. In Kenya, they're found in every county.

Here's another one in Nairobi. It's called a children's traffic park where children come with their toy cars and bikes to play and learn traffic rules.

images - 2021-11-30T123137.451.jpeg
 
Nishasema hapa maji ya Ziwa Turkana ina chumvi. Inahitaji desalination plant kujengwa kwanza. Na kiwanda hicho ni expensive kujenga.
Halafu kwenye swala la ziwa Victoria, kujenga bomba la 1,000 km ya maji itagharimu pesa nyingi. Nyie bomba lenu ni kilomita ngapi na liligharimu pesa ngapi? Halafu ukigusa maji ya Victoria, Egypt huwa anabweka kama mbwa koko.
Mbona sisi tumegusa na Egypt hajabweka? Halafu Kenya umbali wa 1000km umeutoa wapi toka lake victoria?
 
The whole country has 2.7m household connected.
Funga mjadala ,fala.
Ichoboi kasema kila nyumba ina watu 15 sasa ywataka tu multiply
Jamani, acheni Mungu aitwe Mungu tu..
Kw akili zake hao watu kumi na tano pia ni wateja
 
according to who mama ngina?? umebadilisha topic tayar

ikiwa rural areas in tanzania mainland tumefika 86% connection je urban areas na kwa taarifa yako rural areas ndio kwenye watu wengi sana kuliko mijini
Ukiniletea sehemu mko na connectivity kijijini hata 50% natoka jf
 
Back
Top Bottom