The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Kachanganya tu mkuu hakutaka kukujibu wewe, alikuwa anamjibu mkunyaHata unachomaanisha hapa hakijulikani inaelekea leo umeamkia kibera kwa hawara yako so hujalala vzr![]()




Kachanganya tu mkuu hakutaka kukujibu wewe, alikuwa anamjibu mkunyaHata unachomaanisha hapa hakijulikani inaelekea leo umeamkia kibera kwa hawara yako so hujalala vzr![]()




Kutoka nchi gani nn, ndugu zenu hao, hakuna mTz anayevutika kuja Kenya, cc wenyewe hatuvutiki kuja Kenya ndiyo itakuwa maskini aje Kenya? Yani aache maziwa na asali afuate mavi na takatakaWanakimbilia Kenya kutoka nchi gani?







Hizo c ni stika tu au? Unataka na cc tuige Emirates alafu tujiite creative, elimu gani mnasoma nyie watu? Do you know the meaning of creativity? Ukiiga unaitwa creative?Mbona unawashwa kijana wa Tandale? Kama ni jambo la kawaida tuonyeshe yenu
Kumbe maskini wa Tz wana kipato cha juu hivi, yani wanaweza kukata passport na kulipia visa kuishi nchi za njeSi eti ni uzembe, watanzania wote ni wazembe to begin with. Hawa ni umaskini uliokita mizizi ndio inawafanya watoroke Tanzania. Do you think having 28 million people living in extreme poverty is a joke?






Mradi upo huo ila ulikwama tu muda flani, ukiisha hizo mbwa za KUNYA LAND, zitatukoma Kigamboni will not be the same, si unajua kuna miradi ya industrial park, n.k Kigamboni itanoga mnoAisee kumbe mradi uko serious namna hii, ss mbn picha hazipigwi wazee? Yani cc Watz ni watu wa kupotezea mambo mengi sana, mradi kama huu ungekuwa Kenya ungeona hizo picha zake, kushoto kulia katikati alafu na vimaneno vya kejeli mbwa hawa.
Miji yote aliyoitaja hapo ni miji ambayo haijafanikiwa ukilinganisha na DODOMA (Magufuli City), ujue watanzania wengi Wana kasumba za kipuuzi kudharau vyakwao.. ukitazama hiyo miji aliyopigia mfano ni miradi ya miaka zaidi ya 15 and still ni kama hakuna chochote kilichokamilika while Dom City ni mradi usiozidi miaka minne, ila kuna barabara za lami 51 km (dual carriage ways 21 km), majengo ya ministries 24 tena ya kisasa na investments kibao ndani ya mradi na ni mradi uliofanikiwa haujasimama hata mara moja. Huu mradi ukikamilika hiyo Abuja Nigeria yenyewe itasubiri. au labda shida ya Tanzania hatuitangazi sana miradi yetu ndio mana hawa wapuuzi hawajui wao kazi yao kuponda tu 😂😂😂 Eti Kenya pia anaipigia mfano😂😂😂..Kwahiyo Dodoma huioni?
umeuwa ngedele wa kikenya,pia watazame qualityMbona sasa umeenda kuleta miradi ya Nigeria.? Moyo inakuuma kinoma.. alafu bado ni uchafu unaotaka kulinganisha na Dege eco village unakichaa.? Render
. Reality
. Mradi una apartments 7k, Executive villas 68, twin villas 88, detached house 188 .. shule, vituo vya polisi hotels n.k pata maelezo zaidi
. Mradi unafanywa kwenye eneo lenye ukubwa wa 300 hectares ..
Alafu uje umlinganishe na huo uchafu wa Lagos
Huu mradi una ukubwa sawa na eneo zima la .. HUNA HATA AIBU
![]()
hii tiyari ishapita kilichobakia ni kazi kwetu Tz,kukimbiza huu mradi chapWanaosubiri connection ya reli to UG waendelee kuota huku unapigwa mpira mwingi sana ball possesion 99%View attachment 2024766
kwa hiyo wewe kazi ni kucount omba omba pekee wanaotoka Tz nakuwapa permit?Fortunately, my hometown is near the border. I can't count the number of times I have crossed from Isibania in Kenya to Sirare on Tanzanian side without doing paperwork. People freely cross from one side to another on a daily basis, day and night.
wamejisahau kukuza mitiKujenga mji mpya ni mchakato, sio suala la kulala na kuamka. At least wenzetu are trying.
View attachment 2024783
View attachment 2024784
Nigeria Eko Atlantik City
View attachment 2024785
Angola Social Housing Project
Ghana wana Wakanda City of The Return, Kenya wana Konza na Tatu City, japo haziendi kww haraka lakini ukifika unaona kuna kitu kinaendelea. Sisi what do we have to show? Kigamboni imetushinda hata kabla hatujaanza, Maneno tu.
jamaa anakuambia home town kwao ni border hivyo anauwezo wa kuwahesabu omba omba wanaotoka Tz kwani huingia bila permitJaluo akiona kitu ni cha aibu lazima atafute sehemu ya kusingizia au mtu wa kumsingizia.
Natamani wote mfahamu tabia za jaluo humu especially jaluo za kenya.![]()



Amenichekesha sanaMiji yote aliyoitaja hapo ni miji ambayo haijafanikiwa ukilinganisha na DODOMA (Magufuli City), ujue watanzania wengi Wana kasumba za kipuuzi kudharau vyakwao.. ukitazama hiyo miji aliyopigia mfano ni miradi ya miaka zaidi ya 15 and still ni kama hakuna chochote kilichokamilika while Dom City ni mradi usiozidi miaka minne, ila kuna barabara za lami 51 km (dual carriage ways 21 km), majengo ya ministries 24 tena ya kisasa na investments kibao ndani ya mradi na ni mradi uliofanikiwa haujasimama hata mara moja. Huu mradi ukikamilika hiyo Abuja Nigeria yenyewe itasubiri. au labda shida ya Tanzania hatuitangazi sana miradi yetu ndio mana hawa wapuuzi hawajui wao kazi yao kuponda tuEti Kenya pia anaipigia mfano
..
















Jamaa aliwahi kuweka picha ya ghorofa humu akisema ni lake, Wakenya bhnjamaa anakuambia home town kwao ni border hivyo anauwezo wa kuwahesabu omba omba wanaotoka Tz kwani huingia bila permit
nimecheka sana![]()







Shida sio hatupigi picha mkuu bali Dar ni jiji kubwa sana mpaka kusikia habari ya sehemu fulani kuna kitu kinaendelea it takes time maana miradi ni mingi ndio maana umeona huo mradi wa Dege haukupewa profile kubwa sababu mega projects ni nyingi sana.Aisee kumbe mradi uko serious namna hii, ss mbn picha hazipigwi wazee? Yani cc Watz ni watu wa kupotezea mambo mengi sana, mradi kama huu ungekuwa Kenya ungeona hizo picha zake, kushoto kulia katikati alafu na vimaneno vya kejeli mbwa hawa.
huyo jamaa ni utopoloJamaa aliwahi kuweka picha ya ghorofa humu akisema ni lake, Wakenya bhn![]()
Sure.Shida sio hatupigi picha mkuu bali Dar ni jiji kubwa sana mpaka kusikia habari ya sehemu fulani kuna kitu kinaendelea it takes time maana miradi ni mingi ndio maana umeona huo mradi wa Dege haukupewa profile kubwa sababu mega projects ni nyingi sana.
Dodoma in five years itakuwa na modern sgr station, commuter rail, brt, modern airport, modern football stadium, modern sports arena and largest state house this is in addition to the already existing modern bus terminal. Sasa tuangalie facilities kama hizo zitakuwepo Nairobi?Miji yote aliyoitaja hapo ni miji ambayo haijafanikiwa ukilinganisha na DODOMA (Magufuli City), ujue watanzania wengi Wana kasumba za kipuuzi kudharau vyakwao.. ukitazama hiyo miji aliyopigia mfano ni miradi ya miaka zaidi ya 15 and still ni kama hakuna chochote kilichokamilika while Dom City ni mradi usiozidi miaka minne, ila kuna barabara za lami 51 km (dual carriage ways 21 km), majengo ya ministries 24 tena ya kisasa na investments kibao ndani ya mradi na ni mradi uliofanikiwa haujasimama hata mara moja. Huu mradi ukikamilika hiyo Abuja Nigeria yenyewe itasubiri. au labda shida ya Tanzania hatuitangazi sana miradi yetu ndio mana hawa wapuuzi hawajui wao kazi yao kuponda tuEti Kenya pia anaipigia mfano
..
Ndio maana tumeanza na mwanza isakahii tiyari ishapita kilichobakia ni kazi kwetu Tz,kukimbiza huu mradi chap














