Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Caretaker committee inawapa startimes National Super league
Hapa naona Supersport ikipewa rights za kuonyesha KPL hivi karibuni

FB_IMG_16379940559199427.jpg
 
Maisha yangekuwa mazuri Tanzania as you want to paint it hamgengukuwa na hao ombaomba in the first place. Na hata hata muwe nao mbona hujiulizi kwa nini wameacha 'asali na maziwa' Tanzania na kuja kutembeza bakuli Kenya?
Ushaambiwa the reason is because Kenya attracts ombaomba Mana wanasikia jinsi nchi yenu inavyoomba misaada kila kukicha so wameona wakimbilie kwenye nchi yao ya origin.
 
Hivi hujui kwamba Sheria ya Tanzania imekataza kuombaomba?, huku Tanzania ombaomba ni "criminal offence by law" ni kama wanawake wanaojiuza barabarani usiku, hao ombaomba hapa Tanzania mara kwa mara wanakamatwa na vyombo vya Dola, hawana Amani wakiwa Tanzania, wakiona polisi huwa wanajificha, nchi pekee ambayo wanahisi kuwa na Amani ni Kenya,
 
, Bro nimecheka sana kwahyo kumbe siku zote hizo hizo jamaa hata barabara za za kulinganisha county zao hawana.. sasa wanasema eti wanatuzid km za barabara za lami nakuuliza kimoyo moyo "kivipi.? Kumbe wao mpaka leo wanasafiri wiki nzima njiani
Kule Kenya kuna sehemu unaambiwa unatembea siku 5 hiyo hujafika na ukae ukijua Kenya ni nusu ya Tz ukubwa wake so hizo propaganda za kutuzidi km of paved roads walishakubali kwamba ni uongo kama ule wa binadamu wa kwanza alikuwa Nyani.
 
Wewe sema huna tarifa ....sio unabwabwaja apa...kwani dege city hujangalia vipi mji wa serikali?
Hata unachomaanisha hapa hakijulikani inaelekea leo umeamkia kibera kwa hawara yako so hujalala vzr
 
Maisha yangekuwa mazuri Tanzania as you want to paint it hamgengukuwa na hao ombaomba in the first place. Na hata hata muwe nao mbona hujiulizi kwa nini wameacha 'asali na maziwa' Tanzania na kuja kutembeza bakuli Kenya?
Birds of the same feathers flock together KE ni ombaomba so ina attract other ombaomba ndio maana ya huo msemo hapo juu
Ombaomba wa kenya ni wakenya wenyewe kama wanasema ni watz basi kwanini wasiwe wanaombea huku tz hadi wakaenda kenya it means the operating conditions are right for them to beg in Kenya unlike Tz. Ssa kama serikali yenyewe ime create platform ya kuombaomba how much so kwa individuals.
 
huku hatutaki omba omba ,huwa tunawafukuza ,njoo dar ujifunze

ukiona omba omba ujue ni mlemavu tena wanzhesabika tena ni nadra sana kuwaona

halafu muache kujazana ujinga hao omba omba mnaosema ni watz ,hiyo nauli ya kuja huko si bora wangefanya biashara ya kuuza uza matunda na mboga mboga,

acheni porojo
Mtu maskini atoke Tz vijijini hukoo apande basi kilomita kibao avuke border aende Kenya kuomba omba inaingia akilini hiyo?

Hao wakunya wa humu tu wanatamani kuja Tanzania lkn pesa ya kutoka huko kijijini kwao kuja huku hawana ndo wapate hao maskini ombaomba wanaosema wanatokea Tanzania? Hivi nikisema Wakenya hawana akili mtasema nawaonea?

Nchi yao inazalisha ombaomba kutokana na ugumu wa maisha ya Kenya na ukweli wanaujua lkn wakiwa mitandaoni wanajiliwaza kwa kuwapa Wakenya wenzao uraia wa Tanzania wakidhani hiyo itamaliza tatizo la omba omba Kenya.

Wakenya hawana akili
 
Ushaambiwa the reason is because Kenya attracts ombaomba Mana wanasikia jinsi nchi yenu inavyoomba misaada kila kukicha so wameona wakimbilie kwenye nchi yao ya origin.
Wanakimbilia Kenya kutoka nchi gani?
 
Mzee Coco reborn na bwana Nicxie tukiachana na Dom hii old Dom CBD View attachment 2024394kuna Dodoma hii new CBD underway View attachment 2024397View attachment 2024398View attachment 2024400kuna huu mradi wa makazi ya watu 1k houses View attachment 2024406View attachment 2024408
View attachment 2024410halafu kuna huu mradi wa watumishi housing mradi wa nyumba 120, na kama unavyojua individual development level ya Dom sio ya kupima mzee. . lafu kuna upcoming Dom administrative city au wenyewe tunaita Magufuli City . Hayo majengo yote yanayoonekana kwenye renda hapo juu yapo under construction ..
1. Msalato international airport
2. DOM international football stadium
3. Dom indoor Arena
4. Dom international SGR terminus
5. State House
6. DOM outer ring road 112 km
7. Miradi mengine ya barabara ndani ya Dom kibao
Vyote hivyo vipi under construction .. sijui mtaleta mji gani kushindana na Dom ifikapo 2024 ni bakora tu ..
Mkuu kwa ss naona kwa ss inabidi tukutaftie kiti huku juu Mana co kwa vitasa hivi unavyowapa wakunya
 
Back
Top Bottom