Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huwa wanachekesha sana, wangekuwa wanasema tu CBDs Mana hivyo vijengo viwili vitatu vinavyowafanya kuita hizo slums cbd vyote viko hapo hapo
endeleeni kuishi nao na muwazoee bila kusahau maneno 10 ya mkenya yoyote hata awe mchanga kazaliwa leo chukua neno moja tu
70F05854-760A-4626-B071-EBF4E54EAA43.jpeg
 
Asanti mama Samia kwa kukubali wanafunzi wajawazito wasome. Rais wa Tanzania (2021-2035)
FB_IMG_16370282894508437.jpg
 
View attachment 2023599
Hii si Ndio Tanga unayozungumzia? Hii Sio urban planning ninayozungumzia mimi. Urban planning Sio mpangilio wa makazi katika grids! Makazi haya Kwa kuyaangalia tu unaona ni duni! Hapa hata sewarage system sidhani kama ipo! Barabara zenyewe vumbi Tupu!

Inabidi tuwe honest. Kuficha uchafu uliipo ni Sawa na kuufanyia promotion undelee kuwepo. Tena nafurahi wakenya wanavyotubeza ili aibu tupate.
The best 007 usipite kimya😂😂😂
 
Ngoja nikwambie kitu dogo, kama hujui kujibu hoja bila kutukana watu mimi ntakushughulikia vizuri tu na utakaa ujutie siku umeamua kufungua account JF, huwa sina muali na watu wa aina yako. Nakuonya tu next time ukiona post yangu kama huna kitu significant cha kuandika achana nayo, usidhani uko salama sana kutukana watu ukiwa umejificha na ID fake. Usije kusema sijakuonya.
The best 007 🤣🤣🤣🤣🤣
 
kitu unaweza ww ni kupost estates zinazomilikiwa na wacahche sana wakat majority wamenrent na wengine wenginwako kwenye maisha ya nguruwe 😂😂😂😂 ikiwa kirubi alone anamiliki estates za 40b ksh ww utakua na ndoto ya kumiliki ardhi kweli ??🤣🤣🤣
Shugulika na uswazi za Dar kijana. Nairobi si rika yako. Povu utatoa lakini haitabadilisha chochote.

Lang'ata labda mlinganishe na moja ya mitaa yenu ya kifahari. Lanes please!
images(34).jpg
images(32).jpg
images(30).jpg
images(33).jpg
2c141565049d42eb832a35ca483b6434.jpg
images(36).jpg
2063071_IMG_20190517_185956.jpg
images (74).jpeg
images (70).jpeg
images(35).jpg
images (79).jpeg
images (67).jpeg
images (68).jpeg
images(31).jpg


images (70).jpeg
 
Back
Top Bottom