kenya ilirogwa na nani
dah maskin
.. pamoja na uwepo wa mdhamini kwenye TV broadcasting ya ligi bado kulikuwa na njaa kwa vilabu.. sasa huyo mdhamini kaondoka itakuwaje tena
.. si wachezaji watagoma kuingia uwanjan kwa kukosa mishahara na bonus.. kwa hali hii hata yule Title sponsor nae ataondoka.. maana TV broadcaster kasepa anyway, ligi kuu bara ndo itakuwa EPL/Laliga ya wachezaji wa ligi ya kenya.. mana bongo hakuna njaa.. kuna maisha safi




