Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kenya ilirogwa na nani


dah maskin .. pamoja na uwepo wa mdhamini kwenye TV broadcasting ya ligi bado kulikuwa na njaa kwa vilabu.. sasa huyo mdhamini kaondoka itakuwaje tena.. si wachezaji watagoma kuingia uwanjan kwa kukosa mishahara na bonus.. kwa hali hii hata yule Title sponsor nae ataondoka.. maana TV broadcaster kasepa

anyway, ligi kuu bara ndo itakuwa EPL/Laliga ya wachezaji wa ligi ya kenya.. mana bongo hakuna njaa.. kuna maisha safi
 
Hivi hawa jamaa wamekwama wapi, yaani hata ujenzi wa 5 Kilometers mnaenda kutembea bakuli South Africa, acheni kutuletea aibu....
Ni wakati sasa wa Tz kuanzisha shirika lake la misaada napendekeza liitwe TANAID au TICA Tanzania International cooperation agency. Hii itatusaidia sisi EA kuondokana na aibu ndogondogo kama hizo hapo juu
 
View attachment 2023599
Hii si Ndio Tanga unayozungumzia? Hii Sio urban planning ninayozungumzia mimi. Urban planning Sio mpangilio wa makazi katika grids! Makazi haya Kwa kuyaangalia tu unaona ni duni! Hapa hata sewarage system sidhani kama ipo! Barabara zenyewe vumbi Tupu!

Inabidi tuwe honest. Kuficha uchafu uliipo ni Sawa na kuufanyia promotion undelee kuwepo. Tena nafurahi wakenya wanavyotubeza ili aibu tupate.
Acha ulimbukeni wewe dont shift goal posts.
 
Wewe huwa ni mpuuzi tu wala huwa ckuzingatii, kama cost za kumaliza Slums ni nyepesi mbn India, and even China wanashindwa kuzitoa, hivi unajua maana ya Slums wewe au unaongea ili mradi na ww uonekane upo kwenye uzi, unajua mazingira yaliyo kwenye Slums? Wacha upumbavu, watu kwenye slums wanakaa kibanda kimoja familia kumi je unajua cost za kuzihifadhi familia zote za kwenye slums? Au wewe unavyoambiwa slums ni mabati basi umekariri kwamba ni rahisi kuziondoa? FYI Slums co tu mabati mzee soma kwanza kabla ya kuropoka.

Ngoja nikwambie kitu dogo, kama hujui kujibu hoja bila kutukana watu mimi ntakushughulikia vizuri tu na utakaa ujutie siku umeamua kufungua account JF, huwa sina muali na watu wa aina yako. Nakuonya tu next time ukiona post yangu kama huna kitu significant cha kuandika achana nayo, usidhani uko salama sana kutukana watu ukiwa umejificha na ID fake. Usije kusema sijakuonya.
 
dah maskin .. pamoja na uwepo wa mdhamini kwenye TV broadcasting ya ligi bado kulikuwa na njaa kwa vilabu.. sasa huyo mdhamini kaondoka itakuwaje tena.. si wachezaji watagoma kuingia uwanjan kwa kukosa mishahara na bonus.. kwa hali hii hata yule Title sponsor nae ataondoka.. maana TV broadcaster kasepa

anyway, ligi kuu bara ndo itakuwa EPL/Laliga ya wachezaji wa ligi ya kenya.. mana bongo hakuna njaa.. kuna maisha safi
Azam wachangamkie udhamini hapo wamwage USD 100m
 
I
Ngoja nikwambie kitu dogo, kama hujui kujibu hoja bila kutukana watu mimi ntakushughulikia vizuri tu na utakaa ujutie siku umeamua kufungua account JF, huwa sina muali na watu wa aina yako. Nakuonya tu next time ukiona post yangu kama huna kitu significant cha kuandika achana nayo, usidhani uko salama sana kutukana watu ukiwa umejificha na ID fake. Usije kusema sijakuonya.

Ngoja nikwambie kitu dogo, kama hujui kujibu hoja bila kutukana watu mimi ntakushughulikia vizuri tu na utakaa ujutie siku umeamua kufungua account JF, huwa sina muali na watu wa aina yako. Nakuonya tu next time ukiona post yangu kama huna kitu significant cha kuandika achana nayo, usidhani uko salama sana kutukana watu ukiwa umejificha na ID fake. Usije kusema sijakuonya.
Huyo kijana wenu anakuanga hivyo. Anadhni matusi ndio hoja
 
Hivi hawa jamaa wamekwama wapi, yaani hata ujenzi wa 5 Kilometers mnaenda kutembea bakuli South Africa, acheni kutuletea aibu....
South Africa wenyewe wamechoka vibaya mno.

Wana kazi kubwa ya kuijenga reli yao baada ya kipindi cha lockdown, Mateja na wajinga wengine, kuharibu vibaya mno miundombinu ya reli na mfumo wa umeme wa relini kwa kuiba nyaya na mataruma kama chuma chakavu.

Uhuru Kenyatta ni mpumbavu!
 
Ngoja nikwambie kitu dogo, kama hujui kujibu hoja bila kutukana watu mimi ntakushughulikia vizuri tu na utakaa ujutie siku umeamua kufungua account JF, huwa sina muali na watu wa aina yako. Nakuonya tu next time ukiona post yangu kama huna kitu significant cha kuandika achana nayo, usidhani uko salama sana kutukana watu ukiwa umejificha na ID fake. Usije kusema sijakuonya.
Kwamba "unanijua mimi ni nani?" Hii mentality imerudi kwa kasi ya ajabu
 
This is Lang'ata bongolala. Does it look like the uswazi hovels of Dar? Achana na Nairobi Kijana, shugulika na uswazi za Dar, Nairobi itakukosesha usingizi bure!View attachment 2023543View attachment 2023544View attachment 2023546View attachment 2023547View attachment 2023548View attachment 2023549View attachment 2023550View attachment 2023551
hiii sio langata slum😂😂😂😂
ww na mzungu nani anaakili ?
0228A841-E34C-449D-8446-9496F6761E7F.png
F6072A45-3FB0-44A0-8A3B-D84548271F6E.png
 
This is Lang'ata bongolala. Does it look like the uswazi hovels of Dar? Achana na Nairobi Kijana, shugulika na uswazi za Dar, Nairobi itakukosesha usingizi bure!View attachment 2023543View attachment 2023544View attachment 2023546View attachment 2023547View attachment 2023548View attachment 2023549View attachment 2023550View attachment 2023551
kitu unaweza ww ni kupost estates zinazomilikiwa na wacahche sana wakat majority wamenrent na wengine wenginwako kwenye maisha ya nguruwe 😂😂😂😂 ikiwa kirubi alone anamiliki estates za 40b ksh ww utakua na ndoto ya kumiliki ardhi kweli ??🤣🤣🤣
 
Kijana wa Tandale, uswazi ni kitu ya kuogopa? Kama mitaa yenu ya kifahari ndio vituko sasa Tandale uswazini ndio niogope? Unaota!?
umeitaja tena tandale hujakoma tu 🤣🤣🤣 naona toka nilipokupa dawa huzungumzii tena tandale
 
View attachment 2023599
Hii si Ndio Tanga unayozungumzia? Hii Sio urban planning ninayozungumzia mimi. Urban planning Sio mpangilio wa makazi katika grids! Makazi haya Kwa kuyaangalia tu unaona ni duni! Hapa hata sewarage system sidhani kama ipo! Barabara zenyewe vumbi Tupu!

Inabidi tuwe honest. Kuficha uchafu uliipo ni Sawa na kuufanyia promotion undelee kuwepo. Tena nafurahi wakenya wanavyotubeza ili aibu tupate.
hio picha ni tanga ya over 15 yrs ago my friend tafuta picha sahihi ya tanga na tanga ni mji uliobadilika sana

pitia hapa
 
naomba tuoneshe new CBD

ikiwa hio hio picha upper hill iko ndani na kilimani ndani
Huwa wanachekesha sana, wangekuwa wanasema tu CBDs Mana hivyo vijengo viwili vitatu vinavyowafanya kuita hizo slums cbd vyote viko hapo hapo
 
Back
Top Bottom