Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,820
- 9,588
Tatizo Nairobi wanaiogopa sana which is understandable.That road is wiiiiide! Alafu utasikia vilaza wakiiamba eti Kenya kila kitu ni Nairobi tu
Tatizo Nairobi wanaiogopa sana which is understandable.That road is wiiiiide! Alafu utasikia vilaza wakiiamba eti Kenya kila kitu ni Nairobi tu
Wanaiogopa akina Otieno na Mama Ngina.Tatizo Nairobi wanaiogopa sana which is understandable.
Subiri mwakani ndo utajua ametenda au amewatendaEastern bypass expansion, uhuru ametenda bana. Tofauti ya uhuru na JPM ni mmoja anapenda sifa za kijinga. Imagine all the hype kwa kujenga flyover moja na ndege mbili kwa miaka tanoView attachment 2023482View attachment 2023483View attachment 2023484View attachment 2023486









Serikali ya Kenya haiwezi kujenga hata 1cm of railway kwa pesa za ndani.Hivi hawa jamaa wamekwama wapi, yaani hata ujenzi wa 5 Kilometers mnaenda kutembea bakuli South Africa, acheni kutuletea aibu....
New construction, Isiolo- mandera road, 740km. devolution ingeanza mapema tungekua mbali sana.View attachment 2023534View attachment 2023535









Africa bhn.Nice view, i can guess siyo jangwani hapo ?karibia huku fire eeh?Itawachukua Kenya miaka 200 kuwa na view kama hii.View attachment 2023582
Projects za makazi tumeweka hapa si haba (slum upgrading projects, Affordable housing projects za Ngara, Pagani nk) ila mwishowe mnatoa povu.Inamaana hapo Nairobi hakuna projects za serikali zenye kulenga huduma za kijamii?, Maji, makazi, ajira, Hospitali, usalama wa raia na chakula.
Is that a new word that you have come across today?You too, drop to your paygrade.![]()
Hapo ni lazima wapite kimya kimya 😂Well said👏👏, The best 007 usijifanye hujaona hii 🤣🤣🤣
If they cannot finance projects in waste management will they be able to finance rail projects? I tell you the country is a total failure ujuaji mwingi na kasumba ya mkoloni inawatafuna.Hii hela haifiki bilioni 300 za kibongo . Wanachukua mkopo angalia riba inakua mzigo kwa taifa. Sio fair. Serikali ya kunyaland wanaweza finance wenyewe hii project
Hujui Tz wewe Tanga city tuu hakuna city in EA inayoweza kuifikia kwa urban planning uliza uambiweMimi ni Mkenya?![]()
Japokuwa Kenya ina slum kubwa zaidi Afrika na slum list ndefu, Tanzania nayo ina slums na urban planning ya kusikitisha. Miji ya Tanzania inatia aibu kubwa. Labda mji mmoja wa Tanzania ambao upo vizuri ni Moshi. Na baadhi ya maeneo tajiri ya Dar, Mwanza na Arusha. Lakini sehemu nyingine Hamna kitu!
Mnachofanya hapa ni kuaibishana Kwa picha za makazi duni lakini hamtoi suluhusho la kutatua uwepo wa makazi haya! Huu uzi Una watazamaji wengi. Sitashangaa kama viongozi wa nchi pia wanaufatilia! Kwa hiyo ukiweka mawazo yako hapa yanafika mbali.
Slum hakuna na hata UN Habitat wametafuta wamekosa habari ndio hiyoAt least Kenya imejikubali na imeidentify mahali slums ziko, slums zote well documented and Kenya is working towards eradicating them.
Tanzania ata serikali na wanainchi hawajakubali kua kuna slums nchini kwa hiyo bado safari ndefu kumaliza slums upande huo wa bongo.
Lete picha zao tuone slums kama una balls.Kwa hivyo wanaoishi mazense, Vingungutu na Gongo la Mboto ni matajiri?
Usijifanye wewe ni mgeni humuLete picha zao tuone slums kama una balls.
Hujui Tz wewe Tanga city tuu hakuna city in EA inayoweza kuifikia kwa urban planning uliza uambiwe
😂😂😂😂 Tanga? Really?Mmmmh umewahi kusafiri wapi na wapi hapa Tz wewe tuanzie hapo kwanza.. unaijua Tanga wewe.?
Ubize mwingi.Welcome back ndugu Walker255. Ulizama hadi wapi?