Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mimi ni Mkenya?

Japokuwa Kenya ina slum kubwa zaidi Afrika na slum list ndefu, Tanzania nayo ina slums na urban planning ya kusikitisha. Miji ya Tanzania inatia aibu kubwa. Labda mji mmoja wa Tanzania ambao upo vizuri ni Moshi. Na baadhi ya maeneo tajiri ya Dar, Mwanza na Arusha. Lakini sehemu nyingine Hamna kitu!

Mnachofanya hapa ni kuaibishana Kwa picha za makazi duni lakini hamtoi suluhusho la kutatua uwepo wa makazi haya! Huu uzi Una watazamaji wengi. Sitashangaa kama viongozi wa nchi pia wanaufatilia! Kwa hiyo ukiweka mawazo yako hapa yanafika mbali.
kabisa
 
Eastern bypass expansion, uhuru ametenda bana. Tofauti ya uhuru na JPM ni mmoja anapenda sifa za kijinga. Imagine all the hype kwa kujenga flyover moja na ndege mbili kwa miaka tano😂😂😂
FFBI2F7XMAEKRjx.jpeg
FFBI2UeXwAMo4qg.jpeg
FFBI2lnXIAIhE5R.jpeg
FFBI22xXoAIxYfN.jpeg
 
Saidia baba


Kenya turns to South Africa in new railway deal

theeastafrican.co.ke

Nov 25, 2021 9:57 AM

Kenya has turned to South Africa to revamp its old railway network, as it seeks solutions within the continent to revamp its railroad networks.

During a three-day state visit to Pretoria, Kenyan President Uhuru Kenyatta invited South African state-owned engineering company to revamp and upgrade its railway system.

President Kenyatta is seeking solutions within the continent to improve its railway system countrywide after Kenya failed to sign an agreement with a French company in July this year to fund a light rail from Jomo Kenyatta International Airport (JKIA) to Nairobi’s city centre.
During President Kenyatta’s visit in Paris in July, Kenya failed to ink $144 million financial deal to fund the infrastructure plan.

Kenyan Transport Cabinet Secretary James Macharia told The EastAfrican that the French trip did not lead to the signing of the deal that was meant to fund the construction of the five-kilometre metre-gauge line linking the airport to the standard gauge rail (SGR) terminus in Syokimau.
Earlier agreements had provided for the signing of the loan pact by June 30 this year when President Kenyatta was in France.
The deferring of signing means that the rail project, whose construction was initially set for August this year following a deal agreed between French President Emanuel Macron and his Kenyan counterpart in March 2019, faces further delays.


View attachment 2023065
Hivi hawa jamaa wamekwama wapi, yaani hata ujenzi wa 5 Kilometers mnaenda kutembea bakuli South Africa, acheni kutuletea aibu....
 
Back
Top Bottom