Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,389
- 5,792
JPM alikua kiongozi bwakni na fala sana ju ya kukataza wanafunzi wajawazito kuendelea na shule.
Wewe ndio kiingereza chako kibovu. Every bridge is supposed to be normal. Sasa mtu akipost bridge na ucomment it's normal ni upuzi gani Huo? Yani direct translation from Kiswahili alafu unajiona gwiji wa lugha kisa umejifunza neno normal. 🚮Huyo jamaa amejifunza meaning ya abnormal juzi nini? Mwambie aelewe context kwanza aache kuropoka neno abnormal kama ametoka usingizini Kibera.
Majengo marefu yote ya Nairobi ni copy and paste, hakuna jengo hata moja walilolisanifu kwa akili zao, cha kushangaza ss hayo majengo wame copy and paste lkn most of them ni ugly cz hayako km yale waliyoiga. Wakenya hawana akili.
Marefu yote Dar yamebuniwa na Wakenya.Majengo marefu yote ya Nairobi ni copy and paste, hakuna jengo hata moja walilolisanifu kwa akili zao, cha kushangaza ss hayo majengo wame copy and paste lkn most of them ni ugly cz hayako km yale waliyoiga. Wakenya hawana akili.
Naomba mlete picha chombo kikitua hapo Naii.Kesho ndio kesho asemae kesho kutwa ni muongo. Ticket yangu kibindoni ready for slum tourism.View attachment 2022630
Ndiyo maana mimi nikipitia Facebook au Instagram na kukutana na msichana wa kenya kitu cha kwanza kumtambua kuwa kweli ni mkenya ni kutokucheka wasichana wakenya muda wote wamenuna nahisi ni kwasababu ya maisha wanayopitia kiuhalisiDuuuhhh aiseee ma slums mengine haya mapyaa kabisa
Tunacheka lkn haipaswi kucheka kabisa wallahi, huu ni unyama.
Dar es salaam hata kuweka mzigo juu ya gari bila vigezo unakamatwa itakuwa abiria hizo ni picha za kimikakati mimi toka nizaliwe sijawai kuwaona watu wamepanda juu ya basi hata siku moja ,tena nikujulishe hapa dar hata konda kuwacha mlango wazi wakati gari linakwenda nikosa trafiki wanakudaka ,kama uamini muulize mkenya yoyote kama alisha kuta watu wamepanda basi juu
Na wataipigia water salute watake wasitake![]()

nina wasiwasi wasiifanye.. wakasingizia maji hayatoshi
Du slum siyo vitu vya muhimu kuzungumziwaWewe endelea na battle zako za slums.
Vitu vya muhimu hutaki kuongelea kwasababu ya itikadi zisizo na msingi. Idadi ya Wanawake ni kubwa kuliko ya wanaume kwenye karibu kila nchi. Elimu Kwa Wanawake ni mwanzo mzuri wa kuleta maendeleo. Lakini nchi inayozuia kuwapa elimu Wanawake ni nchi isiyoelewa jinsi Wanawake wanavyoweza kuleta mchango mkubwa kwenye maendeleo ya nchi!



yani nyinyi kima mmeridhika na maisha ya slum kabisa du


mimi ningekuwa mkenya ajenda no 1, 2,,3 zote ingekuwa ni kutokomeza slum ,lakiwe wakenya wako very comfortable kuishi slumWakunya mkuje uwanjani kesho mcheki saluti ya ndege zetu ila wakenya msijesema maji ya kuzimwagia saluti ndege zetu hakuna au mkazimwagia maji machafuKesho ndio kesho asemae kesho kutwa ni muongo. Ticket yangu kibindoni ready for slum tourism.View attachment 2022630
"Mbavu za umbwa"Nyumba za Wakenya wa kawaida wanaounda over 80% of Kenya population, most of the houses are made of mabati.View attachment 2022500View attachment 2022501View attachment 2022502View attachment 2022503View attachment 2022504
Kwa jinc mlivyo na roho mbaya mngeweza kukubali Watz waje kuomba kwenu? Hao ni Wakenya wenzenu wanajitafutia rizki mnawapa uraia wa Tanzania, kwn nani asiyejua kwamba Kenya kuna njaa? Kwenye njaa lazima kuwe na ombaomba hiyo huwezi kukwepa.
Mchina hajacopy ila wao ndio wamemwambia tunataka jengo kama WTC yote kujilinganisha na nchi zilizoendekea wamecopy mpaka the gherkin London na majengo mengine mengi ya nchi za watu wanacopy tuu lakini yao yote ni dwarfs
Source; Jamii ForumsShida yenu ilianzia hapa kwenye huu utafiti, soma huu uzi, uzembe wenu ndio umesababisha tuwazidi mara mbili kiuchumi na mzalishe omba omba wengi wanaotuchafulia miji yetu.
![]()
Utafiti 1990: Watanzania ni wavivu
Posted on January 1, 1990 by editor Tanzanian workers are lazy and unproductive says Tanzania’s National Productivity Council (NPC) quoted in ‘Business News’ on September 29th 1989. The NPC Executive Secretary, Mr Nikubuka Shimwela attributes the trend to a lack of a productive culture in the...www.jamiiforums.com






Kwa hiyo informal Settlement ni lazima iwe slum? Dar es Salaam yote hakuna SLUM ila kuna baadhi ya maeneo ni unplanned settlement (watu wamejenga nyumba nzuri tu bila kufuata mipango miji).
View attachment 2022551
Is this what you call slums? Hata UNHABITAT wanatumia neno unplanned settlements not Slums. POLENI NA SLUMS ZENU ZILIZOTUKUKA