Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Over 99% of Nairobi City is sorrounded with Slums.
JamiiForums-730765132.jpg
 
Mimi nakwambia tofauti ya dar na mombasa ni uswazi tu, mombasa Iko juu na mbali sana.
Jiji lolote duniani lisilo na miundombinu ya kisasa kama BRT system, cable stayed bridges, modern Airpots or electric sgr basi hilo jiji liko stone age.
 
Over 90% ya nyumba za wakazi wa Nairobi ni za mabati, hii ni zaidi ya unyama wanaofanyiwa Wakenya.
JamiiForums1273728807.jpg
 
Now that’s what I’m talkin’ about! 👏🏽👏🏽👏🏽

Elimu haibagui. Ni HAKI ya kila Mtanzania, including pregnant teens. Magufuli’s decision to ban pregnant girls from school was ridiculous, pathetic, and unreasonable.

 
Now that’s what I’m talkin’ about!

Elimu haibagui. Ni haki ya kila Mtanzania, including pregnant teens. Magufuli’s decision to ban pregnant girls from school was ridiculous, pathetic, and unreasonable.

Kwahiyo mkuu ukaamua kusaliti chama kwasababu ya wajawazito kufukuzwa shule, hongera sana mkuu ulipigania hili jambo naona ss bibi NGO karuhusu, now mwanao huna haja ya kumzuia asipate mimba, na nategemea ss tutaendelea na battle hili jambo limekwisha ss.
 
Kwahiyo mkuu ukaamua kusaliti chama kwasababu ya wajawazito kufukuzwa shule, hongera sana mkuu ulipigania hili jambo naona ss bibi NGO karuhusu, now mwanao huna haja ya kumzuia asipate mimba, na nategemea ss tutaendelea na battle hili jambo limekwisha ss.
Nimehama Chama? Unadhani mimi ni zezeta wa CCM? CCM Ndio chanzo cha matatizo yote ya Tanzania na Ndio sababu hadi leo tupo kwenye hali ya chini ya kiuchumi.

Of course kuna vitu vizuri vinvavyofanywa na viongozi wa nchi ambao pia ni viongozi wa CCM, lakini ideology ya CCM na historia yake ni uchafu mtupu.

Halafu, nilishaongea kabla na nitarudia tena. Kuzuia mtoto kurudi shule ni kumsukuma kwenye shimo la umasikini. Especially mtoto wa kike. Watoto wengi wanaopata ujauzito Sio kwamba wanataka kupata ujauzito, ni kwasababu hawapati elimu ya uzazi shule na kutoka kwa wazazi wao. Pili, wengi wao wanarubuniwa na watu wazima! Kwa hiyo umasikini pia unachangia! Unafikiri kwanini zamani kulikuwa na matangazo yanayoonyesha watoto wa kike wakirubuniwa kwa Chipsi? Halafu pia kuna ubakaji! Tena Hizi kesi za ubakaji Mara kwa Mara zinaishia chini chini bila kuripotiwa kwenye vyombo husika.

Hapa tunaongelea kuhusu watoto wenye umri chini ya Miaka 21! Ukimzuia mtoto mdogo namna hii kusoma, unampeleka wapi? Kujiuza? Kuwa house girl? Unamnyima fursa ya kujiendeleza kimaisha! Na huu ni upuuzi namba 1.
 
Nimehama Chama? Unadhani mimi ni zezeta wa CCM? CCM Ndio chanzo cha matatizo yote ya Tanzania na Ndio sababu hadi leo tupo kwenye hali ya chini ya kiuchumi.

Of course kuna vitu vizuri vinvavyofanywa na viongozi wa nchi ambao pia ni viongozi wa CCM, lakini ideology ya CCM na historian yake ni uchafu mtupu.

Halafu, nilishaongea kabla na nitarudia tena. Kuzuia mtoto kurudi shule ni kumsukuma kwenye shimo la umasikini. Especially mtoto wa kike. Watoto wengi wanaopata ujauzito Sio kwamba wanataka kupata ujauzito, ni kwasababu hawapati elimu ya uzazi shule na kutoka kwa wazazi wao. Pili, wengi wao wanarubuniwa na watu wazima! Kwa hiyo umasikini pia unachangia! Unafikiri kwanini zamani kulikuwa na matangazo yanayoonyesha watoto wa kike wakirubuniwa kwa Chipsi? Halafu pia kuna ubakaji! Tuna Hizi kesi za ubakaji Mara kwa Mara zinaishia chini chini bila kuripotiwa kwenye vyombo husika.

Hapa tunaongelea kuhusu watoto wenye umri chini ya Miaka 21! Ukimzuia mtoto mdogo namna hii kusoma, unampeleka wapi? Kujiuza? Kuwa house girl? Unamnyima fursa ya kumi endelea za kimaisha! Na huu ni upuuzi namba 1.
Ndio maana nasema jambo lako tayari limerudishwa so unaweza kurudi kwenye battle.
 
Kwahiyo mkuu ukaamua kusaliti chama kwasababu ya wajawazito kufukuzwa shule, hongera sana mkuu ulipigania hili jambo naona ss bibi NGO karuhusu, now mwanao huna haja ya kumzuia asipate mimba, na nategemea ss tutaendelea na battle hili jambo limekwisha ss.
Wewe endelea na battle zako za slums.
Vitu vya muhimu hutaki kuongelea kwasababu ya itikadi zisizo na msingi. Idadi ya Wanawake ni kubwa kuliko ya wanaume kwenye karibu kila nchi. Elimu Kwa Wanawake ni mwanzo mzuri wa kuleta maendeleo. Lakini nchi inayozuia kuwapa elimu Wanawake ni nchi isiyoelewa jinsi Wanawake wanavyoweza kuleta mchango mkubwa kwenye maendeleo ya nchi!
 
Wewe endelea na battle zako za slums.
Vitu vya muhimu hutaki kuongelea kwasababu ya itikadi zisizo na msingi. Idadi ya Wanawake ni kubwa kuliko ya wanaume kwenye karibu kila nchi. Elimu Kwa Wanawake ni mwanzo mzuri wa kuleta maendeleo. Lakini nchi inayozuia kuwapa elimu Wanawake ni nchi isiyoelewa jinsi Wanawake wanavyoweza kuleta mchango mkubwa kwenye maendeleo ya nchi!
Sasa mkuu hii battle ya wanawake ina jukwaa lake kule, jukwaa la wanawake, anyways tuachane na hii mada, nmekuelewa.
 
Sasa mkuu hii battle ya wanawake ina jukwaa lake kule, jukwaa la wanawake, anyways tuachane na hii mada, nmekuelewa.
Wewe Jamaa ni misogynist. Huna mama au dada? Huna mwanamke yoyote unayemthamini maishani? Ungependa kuona mwanamke anatupwa kwenye umasikini? Kinachokuogopesha ni nguvu ya wanawake.

Halafu, Kwa hiyo sina haki ya kuongelea kuhusu Wanawake wenye hii thread? Nitaongea jambo lolote ninalotaka hapa. As long as linafuata taratibu za JF.
 
Wewe endelea na battle zako za slums.
Vitu vya muhimu hutaki kuongelea kwasababu ya itikadi zisizo na msingi. Idadi ya Wanawake ni kubwa kuliko ya wanaume kwenye karibu kila nchi. Elimu Kwa Wanawake ni mwanzo mzuri wa kuleta maendeleo. Lakini nchi inayozuia kuwapa elimu Wanawake ni nchi isiyoelewa jinsi Wanawake wanavyoweza kuleta mchango mkubwa kwenye maendeleo ya nchi!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 umembana pumbu
 
Back
Top Bottom