Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dodoma inavyoipiga Nairobi na vitu vizito kichwani 😅😅😅😅

Hapa sio Magufuli City

Kama Capetown tu

View attachment 2021548
Dom inazidi kunoga,na mama kadhamiria ,kamwaga mabilioni mengine kuendelea na ujenzi 👇

Screenshot_20211123-111731.png
 
Wakati forex ya Tanzania inazidi kuongezeka due to improved exports,,huko kwa jirani ni machozi na kupoteana.

Kenya inasambaratika,GDP haijawa rescue😂😂

Screenshot_20211124-154854.png


Screenshot_20211124-154915.png
 
nchi inajinyea sasa
Tony254 zile pesa mlevi aliwadanganya KRA imekusanya ziko wapi???



Tumeona hii issue iko across the board from KQ employees to police officers yaani ni nchi nzima hakuna namna madeni yamekuwa mengi na obligations za end of year ni nyingi sana.
 
Wacha bangi.
You don't need a bank to be listed to know that Family Bank, Kenya's 10th biggest bank, makes more annual profits than your most profitable bank.
Tafuta excuse ingine for your low GDP.
Haya wewe mwenye GDP ya makaratasi unaeshindwa kulipa govt workers salary mpaka una slash their salaries
 
nchi inajinyea sasa 😂😂😂😂
Tony254 zile pesa mlevi aliwadanganya KRA imekusanya ziko wapi???




😂😂😂 Hawa jamaa itakua walivyonoma TRA wameripoti kukusanya mpunga mrefu wakaona na wao waseme wamakusanya mpunga mrefu mara mbili yetu 😂😂😂😂 Kumbe uhalisia ni kwamba wamekusanya pesa ndogo zaidi yetu.. ujinga wanaoufanya ni kutaka kukumbia kivuli Chao wenyewe 😂😂
 
nchi inajinyea sasa
Tony254 zile pesa mlevi aliwadanganya KRA imekusanya ziko wapi???



Normally worldwide whenever there is an economic boom it is always followed by a bust kama rate ya economic heating haitakuwa controlled. Sasa kwa hawa ndugu zetu they have been having artificial economic boom on papers hiyo bust yake sijui itakuwaje maana deflation itakuwa si ya kitoto lazima waanze upya from scratch kwenye economics zao.
 
mbona imekuuma sana watu kuzaliana au unataka wote tuwe mashoga kama wewe ili tusizaliane ,kama mama yako kazaa mtoto mpumbafuu kama wewe kwanini tuzuie wengine kuzaliana , ushauri wangu kwako ...piga mazoezi ,kula vumbi la1 kongo,kula karanga mbichi ,ili urudie kwenye uwanaume mambo ya kichoga siyo dili sana kama unavyo yaendekeza au kama vipi ni PM nikusaidie maana nimewasaidia watu kama wewe 6 hivi sasa hivi wanawatoto
Huyu kiumbe bhn
 
Nyie ndio nch pekee ukanda huu ya kujaza omba omba Kenya, sijui kwanini hamuwatumi kwingine, mnatuchafulia miji sana na kutia aibu, nilishangaa wapo mpaka miji mingine kama vile Eldoret, hovyoo na uzembe wenu huo ukiongeza na ulaji wa nyama za albino, mlisharogwa.
Kwa jinc mlivyo na roho mbaya mngeweza kukubali Watz waje kuomba kwenu? Hao ni Wakenya wenzenu wanajitafutia rizki mnawapa uraia wa Tanzania, kwn nani asiyejua kwamba Kenya kuna njaa? Kwenye njaa lazima kuwe na ombaomba hiyo huwezi kukwepa.
 
Back
Top Bottom