Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hehehehee ndio naona hapa Tanesco kupitia ofisa wao eti wanasema kabisa "Watanzania tujiandae kwa mgao wa umeme" ss swali langu ni kwamba, je huu mgao ulisubiri Magufuli afe ndio maji yakauke? Ukweli ni kwamba kuna mchezo mchafu huwa unachezwa na Tanesco ambao Magu aliutaja hadharani kwamba some corrupt Tanesco officers wanalipwa pesa wanayafungulia maji ktk bwawa wanayaruhusu kumwagika usiku zen bwawa linapungukiwa maji zen power rationing, baada ya hapo watu wanafanya biashara ya mafuta na majenereta.

Ndio maana mm niliumia sana yule mzee alipofariki, wanasema alituacha salama lkn ukweli ni kwamba hakutuacha salama, alituacha kati kati ya hatari, watu wamerudisha michezo ile ile, nachelea kutafakari kama JNHPP itatusaidia, mafisadi hawapendi kabisa huu mradi mana utawakosesha pesa za bure.

Mama haambiwi ukweli, au anaambiwa ukweli lkn huenda naye ni mmoja wao au huenda hajui ku integrate, tutamkumbuka sana jemedari.
Daah inauma....mim hata mood ya kufwatilia ilishaisha, nilipoona baadhi ya sura kwenye safu ya mama, nilichoka kabisaaa
 
Mazuzu ........sijui sasa umeme wa kuendesha SGR YETU YA UMEME TUTAUPATA WAPI MAANA HADI SASA PROJECT ZOTE ZA MAGUFULI ZIMESIMAMA KWA 70%
Vi flyover vya bei nafuu kabisa vya pale Chang'ombe na uhasibu Magufuli angevikimbiza saizi vingekuwa vimeisha lkn mpk ss ni story za alfu Lela ulela, yn tumshukuru Mungu huyu mzee aliacha miradi ikiwa tayari kutekelezwa, ss inawawia vigumu hawa wazembe kuipiga chini, nimalize kwa kusema Watz kwa ss nchi inajiendesha yenyewe na haina kiongozi km enzi za Msoga.
 
Yani inasikitisha mpaka basi waliinza kwa kisingizio cha maintenance, sasa wametafuta kisingizio kingine daah, nchi inazalisha karibu surplus ya almost megawatt 350 ila kunamgao sasa nashindwa mbona kuwe na mgao kwenye majii tena ndio yaleyale, mama anajua sana sema ndio hivyoo hana meno eti anasema tuombe dua mvua zinyeshee
Acha tu kaka
 
Yani inasikitisha mpaka basi waliinza kwa kisingizio cha maintenance, sasa wametafuta kisingizio kingine daah, nchi inazalisha karibu surplus ya almost megawatt 350 ila kunamgao sasa nashindwa mbona kuwe na mgao kwenye majii tena ndio yaleyale, mama anajua sana sema ndio hivyoo hana meno eti anasema tuombe dua mvua zinyeshee
Acha tu kaka, et mpaka 2030 dah
 
Ile siku naenda kumuaga Magu moyo uliniuma sn na ndiyo maana nililia sana cku ile nilipomuona mwamba kalala kwenye lile jeneza, nilijua mwisho wetu ndiyo ule, mzee hakuwa na hatia yoyote zaidi ya kupigania maslahi ya nchi yake aliyoipenda toka moyoni, lkn ndio hivyo elimu ndogo tuliyonayo tumeshindwa kumlinda mzee wetu na wala sio kitu kingine, Africa tunateswa na elimu na ndiyo maana hatutakuja kuendelea, moyo unaniuma sn, naomba niishie hapa nisije kuongea nikapitiliza, ucku mwema na hii ni msg yng ya mwisho usiku wa leo.
 
Upcoming 3 Towers,Nyali, Mombasa 🔥🔥

download (12).jpeg


download (13).jpeg


download (14).jpeg


download (15).jpeg
 
Kaka Tumepotezana mtu mwenye maono. Yaani alikuwa na uwezo wa kuliangalia jambo tofauti wengine.
Moja ya sifa ya mtu asiyekuwa na maono ni kushindwa hata kusoma alama za nyakati ulizonazo ili u solve tatizo la mbeleni.

Mfano mvua hazinyeshi,
Kwa akili za kawaida tu inatosha kukutaarifu kuwa kuna njaa mbeleni badala ya kudhibiti vyakula visiuzwe hovyo nje hakuna anayejali, hakuna wa kuhamasisha kulima mazao yanayohimili ukame.

Mabwawa ya umeme huwa hayaishiwi maji ghafla kuna vipimo huwa vinaonyesha level za maji mnajiandaa,
Magufuli alisimamia maono yake, yeyote aliyetaka kumkwamisha kwa ushauri au vinginevyo alimweka pembeni.
Hali ikiendelea hivi 2025 ccm itakuwa na wakati mgumu kwenye uchaguzi ambao haujawahi tokea labda asimamishwe mtu mwingine.

Wakati mwingine nahisi kuna kitu Mungu anataka tujifunze.
Yap kaka, JPM alikuwa anajenga Msingi, lkn hawa wengine wanataka wanataka wajenge juu ya mchanga chapchap ili wapate mitaji ya kisiasa,
 
Ile siku naenda kumuaga Magu moyo uliniuma sn na ndiyo maana nililia sana cku ile nilipomuona mwamba kalala kwenye lile jeneza, nilijua mwisho wetu ndiyo ule, mzee hakuwa na hatia yoyote zaidi ya kupigania maslahi ya nchi yake aliyoipenda toka moyoni, lkn ndio hivyo elimu ndogo tuliyonayo tumeshindwa kumlinda mzee wetu na wala sio kitu kingine, Africa tunateswa na elimu na ndiyo maana hatutakuja kuendelea, moyo unaniuma sn, naomba niishie hapa nisije kuongea nikapitiliza, ucku mwema na hii ni msg yng ya mwisho usiku wa leo.
Mtu alikuwa nusu kaputi kwa ajili ya matibabu kikao kichafu kikafanyika ,wahuni wakamaliza kazi ,mimi sita acha kumlaani mkuu wa majeshi hata siku moja
 
Back
Top Bottom