Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,389
- 5,792
DAMASCO wamekatikiwa maji 
. Dar-is-a-slum

. Dar-is-a-slum

. Dar-is-a-slum
Km 740 unasafiri siku nne!hiyo ndiyo tofauti ambayo huwa tunabishana nao wakenya,huwa wanajifanya kuwa wanamtandao mkubwa wa rami,
vitu vyao ni fake fake tu on paper



wakija hapa ooh tuna km nyingi,reality yao ni upuuzi mtupuKm 740 unasafiri siku nne!![]()
Hahah chief usipanik... Hao wakenya wanadharau kiswahili sana. Ila akiongea mzungu wote wanasema kiswahili ni cha kwao.Sijakuelewa hapa.
Mkoloni aliondokaga na akili za wakunya.wakija hapa ooh tuna km nyingi,reality yao ni upuuzi mtupu
Hapa una andika, lafudhi yako na matamshi yatakuwa tofauti na maandishi yako haha.Kwa hivyo mimi na wewe tunatumia lugha gani kuwasiliana sasa hivi?
Tulianza na park road.... serikali pia imetenga fedha za ujenzi wa majengo ya bei nafuu upanda wa mukuru,makongeni,pumwani na kibera
Una moyo sn, mm siwezi kwakweli.Hii nayo ni jeevanje na iko thirty percent completeView attachment 2015710
Vipi tufananishe na Kenya au
MAZUZU WATAPINGA ...NILIWAAMBIA CCM BILA YA MAGUFULI NI MAVII YA KUKUHehehehee ndio naona hapa Tanesco kupitia ofisa wao eti wanasema kabisa "Watanzania tujiandae kwa mgao wa umeme" ss swali langu ni kwamba, je huu mgao ulisubiri Magufuli afe ndio maji yakauke? Ukweli ni kwamba kuna mchezo mchafu huwa unachezwa na Tanesco ambao Magu aliutaja hadharani kwamba some corrupt Tanesco officers wanalipwa pesa wanayafungulia maji ktk bwawa wanayaruhusu kumwagika usiku zen bwawa linapungukiwa maji zen power rationing, baada ya hapo watu wanafanya biashara ya mafuta na majenereta.
Ndio maana mm niliumia sana yule mzee alipofariki, wanasema alituacha salama lkn ukweli ni kwamba hakutuacha salama, alituacha kati kati ya hatari, watu wamerudisha michezo ile ile, nachelea kutafakari kama JNHPP itatusaidia, mafisadi hawapendi kabisa huu mradi mana utawakosesha pesa za bure.
Mama haambiwi ukweli, au anaambiwa ukweli lkn huenda naye ni mmoja wao au huenda hajui ku integrate, tutamkumbuka sana jemedari.
Eti TANESCO wanatoa sababu rahisi kabisa mama anakubali duuuhhh, yn anashindwa hata kufikiria mbn Tanesco mwaka jana hawakutoa sababu za kipuuzi km hizi, kweli kuna sababu ya elimu ya zenji kuangaliwa kwa umakini mkubwa.Kaka Tumepotezana mtu mwenye maono. Yaani alikuwa na uwezo wa kuliangalia jambo tofauti wengine.
Moja ya sifa ya mtu asiyekuwa na maono ni kushindwa hata kusoma alama za nyakati ulizonazo ili u solve tatizo la mbeleni.
Mfano mvua hazinyeshi,
Kwa akili za kawaida tu inatosha kukutaarifu kuwa kuna njaa mbeleni badala ya kudhibiti vyakula visiuzwe hovyo nje hakuna anayejali, hakuna wa kuhamasisha kulima mazao yanayohimili ukame.
Mabwawa ya umeme huwa hayaishiwi maji ghafla kuna vipimo huwa vinaonyesha level za maji mnajiandaa,
Magufuli alisimamia maono yake, yeyote aliyetaka kumkwamisha kwa ushauri au vinginevyo alimweka pembeni.
Hali ikiendelea hivi 2025 ccm itakuwa na wakati mgumu kwenye uchaguzi ambao haujawahi tokea labda asimamishwe mtu mwingine.
Wakati mwingine nahisi kuna kitu Mungu anataka tujifunze.
Wanaelewa maana ya Mega City kwanza. Au wanajua paper GDP tuu?


...mkuu si wanasema et city ya jua....
NMS sio campuni ya Nairobi waterVipi tufananishe na Kenya auView attachment 2015714View attachment 2015717

jaribu kingineMazuzu ........sijui sasa umeme wa kuendesha SGR YETU YA UMEME TUTAUPATA WAPI MAANA HADI SASA PROJECT ZOTE ZA MAGUFULI ZIMESIMAMA KWA 70%Eti TANESCO wanatoa sababu rahisi kabisa mama anakubali duuuhhh, yn anashindwa hata kufikiria mbn Tanesco mwaka jana hawakutoa sababu za kipuuzi km hizi, kweli kuna sababu ya elimu ya zenji kuangaliwa kwa umakini mkubwa.
Mkuu tusubiri tuone cos mkuu@The best 007 ....katoa ufafanuzi kidogo......ila enzi za JPM tulikuwa moto kweli, mimi mkaskazini alikuwa anambi chochote, nilijiona na niliamini tupo kwenye right way.....hofu yangu kwa sasa ni hawa wajamaa wataanza kuchezeachezea sharubu....hopeful mambo yatakuwa goodUchafu upo hadi kwenye mchanga wa bahari
AU watafanya pavement hadi majini?
Hao mawaziri wanaochukia jpm kutajwa thamani yao ni duni nguruweSerikali ya TUTA, nasubiri tuta tuta zao zigeuke reality, JPM alikuwa akiongea leo ujue wiki ijayo mambo yanaanza, kuna Watz hawapendi kuona tukimtaja taja JPM ati wanasema ameshakufa, lkn mm kama muajiri namkumbuka mfanyakazi wangu aliyepita kwamba alikuwa anafanya kazi vzr kuliko huyu wa ss, co zambi.