Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mtasubiri sana midanganyika. Sometimes it's important to do a little bit of homework before ranting, it will just expose your ignorance. Do you have any idea that more than 2/3 of all cargo that pass through the port of Mombasa is destined for the local Kenyan market?

As of 2019, Uganda remained Mombasa's ports biggest client, with more than 4 million tonnes imported through that port that year. The point is, Mombasa port can still remain afloat and functional even if all the neighboring countries stopped using it because most cargo that pass through it end up in Kenyan market. Hapo ndio sasa utajua umuhimu wa ''uchumi wa kwenye makaratasi'' We have a bigger purchasing power, a bigger industrial requirement, a bigger everything that's why our economy consumes more than a half of all cargos that pass through our main port
rwanda tulishamaliza toka 2015 na sasa ni uganda na mambo mazuri yashaanza kuonekana 😂😂😂😂
 
tutasubiri wakat wakenya wenzako wanalia twitter kila siku juu ya dar port kuchukua mizigo ya uganda na ndio mteja wenu mkubwa au nasema urongoo

mambo yamebadilika budaa niliwah kusema hapa hii sio tanzania ya 90s mukawa munajitekenya mukicheka

na hapo hapo ukitoa huge expansion ya dar port kuna tanga na mtwara zote ziko under huge expansion na usisahau zanzibar wanajenga another giant port

uhhehehhehe mwaka huu mutasimulia mizimu yenu
Bagamoyo still lurking around next year ujenzi unaanza majadiliano yako pazuri
 
mama kaleta mwekezaji wa 460b kutoka egypt
46D88583-36F0-4E31-B207-C30BFC55F8F8.jpeg
 
Ni nini kimechange Dar in those four years? Kujenga elevated road ya kwanza au nini?
hata sijui ni kipi kilichobadilika,

ila bila shaka nahisi majibu yanaweza kuwepo humu humu kuanzia uzi unaanza 2017 mpaka sasa labda ujaribu kuibuka huko
 
Huu ni ujinga unaweka hapa.

Kama mzigo mwingi unaingia Kenya ni mzigo gani huo? Mahindi na ngano au? Mngekuwa na viwanda vingi tungetarajia kuona bidhaa zenu nyingi za viwandani katika nchi zilizowazunguka. Lakini hakuna kitu.. Hadi nyie ndio mnatumia mbinu chafu kuzuia bidhaa za nchi nyingine kuingia kwenu.

Nimevamia vita kimya kimya..
huyo ni kichaa
 
Ndio swali nimekuuliza, huo mziko wa around 30m MT huwa unakwenda wapi? Kumbe population yenu ni ndogo. Pia mko na population masikini sana huko mashinani na mjini pia slums dwellers wakutosha ambao purchasing power hawana na pia sijui wata consume what type of imported merchandise in that bigger volume.

Kwenye viwanda ndio hamna kitu.. Nadhani hata Bongo ina export mizigo mingi na mikubwa kuliko Kenya. Kama Mngekuwa more industrialized kuliko wengine tungeona influx of your products kila mahali. Lakini tuna one nyie ndio mmezidiwa hadi mnazuia bidhaa za majirani kuingia kwenu ili kulinda soko la bidhaa zenu mnazotumia gharama kubwa zaidi za kiuzalishaji.
hapo mkuu umembana korodani huyo nyang'au ila inawwzekana wakawa wanategemea vitu vingi kutoka nje kwasababu uzalishaji wao wa ndani ni hafifu
 
tutasubiri wakat wakenya wenzako wanalia twitter kila siku juu ya dar port kuchukua mizigo ya uganda na ndio mteja wenu mkubwa au nasema urongoo

mambo yamebadilika budaa niliwah kusema hapa hii sio tanzania ya 90s mukawa munajitekenya mukicheka

na hapo hapo ukitoa huge expansion ya dar port kuna tanga na mtwara zote ziko under huge expansion na usisahau zanzibar wanajenga another giant port

uhhehehhehe mwaka huu mutasimulia mizimu yenu
wanakoelekea ni kufutika kabisa kwenye ramani
 
Back
Top Bottom